• Simba la masimba
    Simba la masimba 😂😂
    Like
    Haha
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·288 Views
  • SOFTWARE ZINAZOTUMIKA KUFLASH SIMU ZA AINA ZOTE

    software hizo apo unaweza kutumia kutoa lock za simu, na lock z mordem zitumie line zote

    Hizo apo chini ndo list ya software zenyewe

    Softwares
    Miracle box
    Oss Client Pro
    Z3x Premium
    Gsm Alladin
    Infinix Box
    Octopus Samsung
    DC Unlocker
    NCK Box & Nck Dongle
    SP Flash Tool
    Infinity Best Dongle box
    Furious gold tool box
    Mtk Tool Box
    Octoplus Suite
    Volcano box
    Merapi tool
    Xt2 clip box
    SP Flash Tool
    Infinity Chinese miracle 2 Mtk box
    GbKEY Dongle
    Smart clip 2 tool
    CS Tool Dongle
    Medusa Pro Box
    BST dongle
    UFI Box International Version
    Atf box
    Avenger box
    Magma box
    Ultimate Multi Tool Box
    GPG Dragon
    Zamsung Crypter Advance Frp Tool Remover

    Je unatka kusoma na kupata izi link za program.
    🎉SOFTWARE ZINAZOTUMIKA KUFLASH SIMU ZA AINA ZOTE 🦠software hizo apo unaweza kutumia kutoa lock za simu, na lock z mordem zitumie line zote 🦠Hizo apo chini ndo list ya software zenyewe Softwares 💢Miracle box 💢Oss Client Pro 💢Z3x Premium 💢Gsm Alladin 💢Infinix Box 💢Octopus Samsung 💢DC Unlocker 💢NCK Box & Nck Dongle 💢SP Flash Tool 💢Infinity Best Dongle box 💢Furious gold tool box 💢Mtk Tool Box 💢Octoplus Suite 💢Volcano box 💢Merapi tool 💢Xt2 clip box 💢SP Flash Tool 💢Infinity Chinese miracle 2 Mtk box 💢GbKEY Dongle 💢Smart clip 2 tool 💢CS Tool Dongle 💢Medusa Pro Box 💢BST dongle 💢UFI Box International Version 💢Atf box 💢Avenger box 💢Magma box 💢Ultimate Multi Tool Box 💢GPG Dragon 💢Zamsung Crypter Advance Frp Tool Remover Je unatka kusoma na kupata izi link za program. 🥱🥱🥱
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·686 Views
  • DDoS Attack ni Nini?

    DDoS (Distributed Denial of Service) attack ni aina ya shambulio la mtandao ambapo mifumo mingi hutumiwa kwa pamoja kuzidisha mzigo wa trafiki kwenye lengo fulani (kama tovuti, seva, au mtandao). Hii husababisha mfumo kulala au kushindwa kufanya kazi vizuri.


    ---

    Jinsi DDoS Attack Inavyofanyika

    Shambulio la DDoS kwa kawaida hufuata hatua hizi:

    1. Kuunda Botnet: Mshambuliaji huambukiza vifaa vingi (kompyuta, vifaa vya IoT, seva) kwa programu hasidi (malware), na kuvifanya kuwa "bots" au "zombies" anazoweza kudhibiti kwa mbali. Huu mtandao wa vifaa vilivyoathirika huitwa botnet.


    2. Kuchagua Shabaha: Mshambuliaji huchagua tovuti, seva, au huduma ya mtandao ambayo anataka kushambulia. Hii inaweza kuwa seva ya michezo, tovuti ya biashara, au hata tovuti ya serikali.


    3. Kuzidisha Trafiki: Botnet hutuma mamilioni ya maombi feki (kama maombi ya HTTP, paketi za UDP, au miunganisho ya TCP) kwenye shabaha. Kwa kuwa mfumo una uwezo mdogo wa kushughulikia maombi kwa wakati mmoja, unazidiwa na kushindwa kujibu maombi halali.


    4. Kukatizwa kwa Huduma: Watumiaji halali hawawezi kufikia tovuti au huduma kwa sababu seva inashughulikia trafiki nyingi za mashambulizi.




    ---

    Mfano wa DDoS Attack

    Tuseme unaendesha duka la mtandaoni.

    Kawaida, unapata wateja 1,000 kwa saa, na seva yako inaweza kushughulikia hadi wateja 5,000 kwa wakati mmoja.

    Mshambuliaji anazindua DDoS attack kwa kutumia botnet yenye vifaa 100,000 vilivyoathirika ili kutuma mamilioni ya maombi feki kwenye tovuti yako.

    Seva yako inazidiwa na kushindwa kufanya kazi, na wateja halali hawawezi kufikia duka lako.

    Hii inasababisha kupoteza mapato, muda wa kupumzika wa tovuti (downtime), na kuharibu sifa ya biashara yako.



    ---

    Aina za DDoS Attacks

    1. Volumetric Attacks – Kuzidisha matumizi ya bandwidth (mfano: UDP Flood, ICMP Flood).


    2. Protocol Attacks – Kudhoofisha mifumo ya mtandao (mfano: SYN Flood, Ping of Death).


    3. Application Layer Attacks – Kulenga huduma maalum kama tovuti (mfano: HTTP Flood).




    ---

    Jinsi ya Kuzuia DDoS Attack

    Tumia huduma za ulinzi wa DDoS kama Cloudflare, AWS Shield, au Akamai.

    Weka firewall na mipaka ya maombi (rate-limiting) ili kuzuia trafiki isiyo ya kawaida.

    Tumia mfumo wa kugundua mashambulizi (IDS) na Web Application Firewall (WAF).

    Angalia trafiki yako kwa kutumia uchambuzi wa wakati halisi (real-time analytics) ili kutambua ongezeko lisilo la kawaida.
    DDoS Attack ni Nini? DDoS (Distributed Denial of Service) attack ni aina ya shambulio la mtandao ambapo mifumo mingi hutumiwa kwa pamoja kuzidisha mzigo wa trafiki kwenye lengo fulani (kama tovuti, seva, au mtandao). Hii husababisha mfumo kulala au kushindwa kufanya kazi vizuri. --- Jinsi DDoS Attack Inavyofanyika Shambulio la DDoS kwa kawaida hufuata hatua hizi: 1. Kuunda Botnet: Mshambuliaji huambukiza vifaa vingi (kompyuta, vifaa vya IoT, seva) kwa programu hasidi (malware), na kuvifanya kuwa "bots" au "zombies" anazoweza kudhibiti kwa mbali. Huu mtandao wa vifaa vilivyoathirika huitwa botnet. 2. Kuchagua Shabaha: Mshambuliaji huchagua tovuti, seva, au huduma ya mtandao ambayo anataka kushambulia. Hii inaweza kuwa seva ya michezo, tovuti ya biashara, au hata tovuti ya serikali. 3. Kuzidisha Trafiki: Botnet hutuma mamilioni ya maombi feki (kama maombi ya HTTP, paketi za UDP, au miunganisho ya TCP) kwenye shabaha. Kwa kuwa mfumo una uwezo mdogo wa kushughulikia maombi kwa wakati mmoja, unazidiwa na kushindwa kujibu maombi halali. 4. Kukatizwa kwa Huduma: Watumiaji halali hawawezi kufikia tovuti au huduma kwa sababu seva inashughulikia trafiki nyingi za mashambulizi. --- Mfano wa DDoS Attack Tuseme unaendesha duka la mtandaoni. Kawaida, unapata wateja 1,000 kwa saa, na seva yako inaweza kushughulikia hadi wateja 5,000 kwa wakati mmoja. Mshambuliaji anazindua DDoS attack kwa kutumia botnet yenye vifaa 100,000 vilivyoathirika ili kutuma mamilioni ya maombi feki kwenye tovuti yako. Seva yako inazidiwa na kushindwa kufanya kazi, na wateja halali hawawezi kufikia duka lako. Hii inasababisha kupoteza mapato, muda wa kupumzika wa tovuti (downtime), na kuharibu sifa ya biashara yako. --- Aina za DDoS Attacks 1. Volumetric Attacks – Kuzidisha matumizi ya bandwidth (mfano: UDP Flood, ICMP Flood). 2. Protocol Attacks – Kudhoofisha mifumo ya mtandao (mfano: SYN Flood, Ping of Death). 3. Application Layer Attacks – Kulenga huduma maalum kama tovuti (mfano: HTTP Flood). --- Jinsi ya Kuzuia DDoS Attack Tumia huduma za ulinzi wa DDoS kama Cloudflare, AWS Shield, au Akamai. Weka firewall na mipaka ya maombi (rate-limiting) ili kuzuia trafiki isiyo ya kawaida. Tumia mfumo wa kugundua mashambulizi (IDS) na Web Application Firewall (WAF). Angalia trafiki yako kwa kutumia uchambuzi wa wakati halisi (real-time analytics) ili kutambua ongezeko lisilo la kawaida.
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·684 Views
  • Like
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·226 Views
  • Huyu mchezaji sijui Yanga walimsajili kutoka timu gani. Alikuwa anakata umeme utadhani mwanaume
    Huyu mchezaji sijui Yanga walimsajili kutoka timu gani. Alikuwa anakata umeme utadhani mwanaume
    Like
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·530 Views
  • Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·87 Views
  • Yanga SC

    Golkipa wa klabu ya Yanga SC A. Mshery amefunga ndoa leo hii.
    Yanga SC ✍️ Golkipa wa klabu ya Yanga SC A. Mshery amefunga ndoa leo hii.
    Love
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·248 Views
  • Maskari wa Jeshi la Ulinzi la Afrika Kusini (SANDF) waliojeruhiwa katika mapigano Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , limeanza kurejea nyumbani kupitia Jijini Kigali, Rwanda baada ya kukwama katika kambi zao kwa takriban mwezi mmoja DR Congo.

    Wanajeshi hao ni miongoni mwa Askari wa (SANDF) walioko chini ya Kikosi cha Walinda Amani wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SAMIDRC), wanaoimarisha ulinzi Mashariki mwa DR Congo pamoja na kukabiliana na uovu wa Waasi wa kundi la M23 dhidi ya Raia wa DR Congo.

    Televisheni ya Afrika Kusini ya SABC imesema, Wanajeshi hao ambao walishindwa kupambana na Waasi wa kundi la M23 ambao waliitwaa Miji ya mashariki mwa Nchi hiyo, walionekana wakiondoka Mjini Goma kuanzia juzi jioni kwa barabara bila vifaa na sare zao za Kijeshi. Ripoti ya Jarida la Afrika Kusini la Rapport iliyochapishwa Jumapili ilieleza kuwa Wanajeshi wa Afrika Kusini waliojeruhiwa ni zaidi ya 189.

    Kwa mujibu wa Jarida hilo, miongoni mwa waliojeruhiwa ni Wanajeshi wawili (2) ambao ni Wajawazito, huku idadi ya Wanajeshi wa (SANDF) wanaoendelea kukwama Nchini DR Congo ikikadiriwa kuwa kati ya elfu moja (1,000) na elfu mbili (2,000).

    Maskari wa Jeshi la Ulinzi la Afrika Kusini 🇿🇦 (SANDF) waliojeruhiwa katika mapigano Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩, limeanza kurejea nyumbani kupitia Jijini Kigali, Rwanda 🇷🇼 baada ya kukwama katika kambi zao kwa takriban mwezi mmoja DR Congo. Wanajeshi hao ni miongoni mwa Askari wa (SANDF) walioko chini ya Kikosi cha Walinda Amani wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SAMIDRC), wanaoimarisha ulinzi Mashariki mwa DR Congo pamoja na kukabiliana na uovu wa Waasi wa kundi la M23 dhidi ya Raia wa DR Congo. Televisheni ya Afrika Kusini ya SABC imesema, Wanajeshi hao ambao walishindwa kupambana na Waasi wa kundi la M23 ambao waliitwaa Miji ya mashariki mwa Nchi hiyo, walionekana wakiondoka Mjini Goma kuanzia juzi jioni kwa barabara bila vifaa na sare zao za Kijeshi. Ripoti ya Jarida la Afrika Kusini la Rapport iliyochapishwa Jumapili ilieleza kuwa Wanajeshi wa Afrika Kusini waliojeruhiwa ni zaidi ya 189. Kwa mujibu wa Jarida hilo, miongoni mwa waliojeruhiwa ni Wanajeshi wawili (2) ambao ni Wajawazito, huku idadi ya Wanajeshi wa (SANDF) wanaoendelea kukwama Nchini DR Congo ikikadiriwa kuwa kati ya elfu moja (1,000) na elfu mbili (2,000).
    Sad
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·403 Views
  • "Naona Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye amefunga safari hadi Congo kumuona Rais Tshisekedi, sijui ni kipi hasa kinaendelea katika jumuiya ya Afrika mashariki lakini ni kama kuna muungano ndani ya muungano, eeeh kuna muungano kati ya Congo na Burundi ambao unalenga kupambana dhidi ya Rwanda

    Yaani ukiwatazama Congo na Burundi ni kama wameungana kupambana na Rwanda na M23 eeeh ipo wazi na tayari mapigano kati ya majeshi ya Congo Burundi dhidi ya Rwanda na M23 yameshuhudiwa, EAC wasipodhibiti hali ya Congo mzozo huu utaenda kutanuka na kuwa wa kikanda

    Ngoja tuone ila yajayo sio mazuri kwa diplomasia ya EAC , kiufupi ziara ya Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, nchini Congo inalenga kuonana na mwenzake wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Felix Tshisekedi, huku lengo kuu ikiwa na mazungumzo kuhusu mzozo unaolikumba eneo la mashariki mwa Kongo" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.

    "Naona Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye amefunga safari hadi Congo kumuona Rais Tshisekedi, sijui ni kipi hasa kinaendelea katika jumuiya ya Afrika mashariki lakini ni kama kuna muungano ndani ya muungano, eeeh kuna muungano kati ya Congo na Burundi ambao unalenga kupambana dhidi ya Rwanda Yaani ukiwatazama Congo na Burundi ni kama wameungana kupambana na Rwanda na M23 eeeh ipo wazi na tayari mapigano kati ya majeshi ya Congo Burundi dhidi ya Rwanda na M23 yameshuhudiwa, EAC wasipodhibiti hali ya Congo mzozo huu utaenda kutanuka na kuwa wa kikanda 😭 Ngoja tuone ila yajayo sio mazuri kwa diplomasia ya EAC , kiufupi ziara ya Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, nchini Congo inalenga kuonana na mwenzake wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Felix Tshisekedi, huku lengo kuu ikiwa na mazungumzo kuhusu mzozo unaolikumba eneo la mashariki mwa Kongo" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·611 Views
  • Chelsea Vs Southampton
    Chelsea Vs Southampton
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·422 Views