... MSHAMBULIAJI MWINGINE
“Kama ambavyo nilisema kwenye interview zangu zilizopita bado tuna shida kwenye eneo la ushambuliaji, siridhishwi na hali ya sasa na klabu inapambana kupata Mshambuliaji anayekidhi zaidi ila kama hatopatikana nitaendelea kupambana na hawa waliopo”
Fadlu Davies, Kocha wa Simba kuelekea mchezo dhidi ya Coastal Union. #paulswai
“Kama ambavyo nilisema kwenye interview zangu zilizopita bado tuna shida kwenye eneo la ushambuliaji, siridhishwi na hali ya sasa na klabu inapambana kupata Mshambuliaji anayekidhi zaidi ila kama hatopatikana nitaendelea kupambana na hawa waliopo”
Fadlu Davies, Kocha wa Simba kuelekea mchezo dhidi ya Coastal Union. #paulswai
...🚨 MSHAMBULIAJI MWINGINE
“Kama ambavyo nilisema kwenye interview zangu zilizopita bado tuna shida kwenye eneo la ushambuliaji, siridhishwi na hali ya sasa na klabu inapambana kupata Mshambuliaji anayekidhi zaidi ila kama hatopatikana nitaendelea kupambana na hawa waliopo”
🗣️Fadlu Davies, Kocha wa Simba kuelekea mchezo dhidi ya Coastal Union. #paulswai