• ... MSHAMBULIAJI MWINGINE

    “Kama ambavyo nilisema kwenye interview zangu zilizopita bado tuna shida kwenye eneo la ushambuliaji, siridhishwi na hali ya sasa na klabu inapambana kupata Mshambuliaji anayekidhi zaidi ila kama hatopatikana nitaendelea kupambana na hawa waliopo”

    Fadlu Davies, Kocha wa Simba kuelekea mchezo dhidi ya Coastal Union. #paulswai
    ...🚨 MSHAMBULIAJI MWINGINE “Kama ambavyo nilisema kwenye interview zangu zilizopita bado tuna shida kwenye eneo la ushambuliaji, siridhishwi na hali ya sasa na klabu inapambana kupata Mshambuliaji anayekidhi zaidi ila kama hatopatikana nitaendelea kupambana na hawa waliopo” 🗣️Fadlu Davies, Kocha wa Simba kuelekea mchezo dhidi ya Coastal Union. #paulswai
    Like
    1
    1 Reacties 0 aandelen 152 Views
  • AWESU AWESU BADO NI MALI YA KMC!!!

    Baada ya kikao cha kamati ya sheria na hadhi za wachezaji ya (TFF) kilichofanyika leo kuhusu sakata la uhamisho wa Awesu Awesu kutoka KMC kwenda Simba SC. Mwanasheria wa KMC amesema...

    "Awesu Awesu bado ni mchezaji halali wa klabu ya KMC, Simba SC wakimtaka warudi mezani kwa mazungumzo wakiwa na Sh 200 milioni."

    "Mambo yamekwenda vizuri Tunasubiri uamuzi wa kamati"

    Chief Said.
    Mwanasheria wa KMC na mjumbe wa bodi ya Wakurugenzi KMC Football Club. #paulswai
    🚨AWESU AWESU BADO NI MALI YA KMC!!! Baada ya kikao cha kamati ya sheria na hadhi za wachezaji ya (TFF) kilichofanyika leo kuhusu sakata la uhamisho wa Awesu Awesu kutoka KMC kwenda Simba SC. Mwanasheria wa KMC amesema... "Awesu Awesu bado ni mchezaji halali wa klabu ya KMC, Simba SC wakimtaka warudi mezani kwa mazungumzo wakiwa na Sh 200 milioni." "Mambo yamekwenda vizuri Tunasubiri uamuzi wa kamati" ©️ Chief Said. Mwanasheria wa KMC na mjumbe wa bodi ya Wakurugenzi KMC Football Club. #paulswai
    Like
    5
    1 Reacties 0 aandelen 502 Views
  • . “Hii ni kama tuna wiki tatu na nusu tumecheza hivi, nawapongeza wachezaji wangu walicheza vizuri lakini nadhani kwa hiki tulichoonyesha kuna mengi mazuri tutaweza kuyafanya, nawapa pole mashabiki wetu kwa kupoteza mechi kubwa lakini nimewapenda namna walivyoiunga mkono timu yao,”

    — Kocha wa Simba, Fadlu Davids.
    #paulswai
    . 🗣️ “Hii ni kama tuna wiki tatu na nusu tumecheza hivi, nawapongeza wachezaji wangu walicheza vizuri lakini nadhani kwa hiki tulichoonyesha kuna mengi mazuri tutaweza kuyafanya, nawapa pole mashabiki wetu kwa kupoteza mechi kubwa lakini nimewapenda namna walivyoiunga mkono timu yao,” — Kocha wa Simba, Fadlu Davids. #paulswai
    Like
    5
    2 Reacties 0 aandelen 212 Views
  • SIMBA ITAFANYA USAJILI WA STREKA KABLA DIRISHA HALIJAFUNGWA.

    ……………..
    #paulswai
    🚨 SIMBA ITAFANYA USAJILI WA STREKA KABLA DIRISHA HALIJAFUNGWA. …………….. #paulswai
    Like
    5
    3 Reacties 0 aandelen 180 Views
  • MKANDAJI
    #paulswai
    MKANDAJI #paulswai
    Like
    4
    3 Reacties 0 aandelen 156 Views
  • Ninachojua watacheza Simbasc msimu Ujao

    #paulswai
    Ninachojua watacheza Simbasc msimu Ujao ✍️ #paulswai
    Like
    Love
    5
    3 Reacties 0 aandelen 181 Views
  • Mechi zetu Tano Za Awali Ligi Kuu baaada ya ratiba kutoka

    Simba sc vs Tabora (Kmc Complex)
    Simba Sc vs Fountain Gate (Kmc C.)
    Simbasc vs Prisons (Sokoine)
    Simba Sc vs Azam (Benjamin Mkapa)
    Simba Sc Vs Namungo (Kmc C.)

    #paulswai
    Mechi zetu Tano Za Awali Ligi Kuu baaada ya ratiba kutoka🎌 ▫️Simba sc vs Tabora (Kmc Complex) ▫️Simba Sc vs Fountain Gate (Kmc C.) ▫️Simbasc vs Prisons (Sokoine) ▫️Simba Sc vs Azam (Benjamin Mkapa) ▫️Simba Sc Vs Namungo (Kmc C.) #paulswai
    Like
    Love
    6
    2 Reacties 2 aandelen 361 Views
  • Kikosi cha leo. #NgaoYaJamii2024 #WenyeNchi #NguvuMoja
    Kikosi cha leo. #NgaoYaJamii2024 #WenyeNchi #NguvuMoja
    Like
    Love
    4
    2 Reacties 0 aandelen 2K Views
  • PIRA UBAYA UBWELA
    .
    12’—⚽️ Saleh Karabaka
    PIRA UBAYA UBWELA 🔥 . 12’—⚽️ Saleh Karabaka
    Like
    2
    1 Reacties 0 aandelen 180 Views