• Good hope that
    Good hope that
    0 Kommentare ·0 Anteile ·416 Ansichten
  • Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·198 Ansichten
  • "Siamini na sitakaa niamini kama TFF kupitia kamati yake inakwenda kumfungia Ali Kamwe kama tetesi zinavyosema, nataka kuamini huenda wanaanzisha jambo kuangalia mapokeo ya watu”

    “Maoni yangu kama kuna jambo ambalo TFF linapaswa kulitazama ni hili la kuanza kuwaandama wasemaji wa vilabu haswa klabu ya Yanga, kwa taarifa niliyonayo na ninayoifahamu alifungiwa Hassan Bumbuli, Antonio Nugaz, nimefungiwa mimi (Jerry Muro),amefunguwa Haji Manara na sasa wanataka kumfungia Ali Kamwe watu watano katika kipindi cha miaka mitano sitaki kusema kama hawa waliofungiwa wamefanya makosa kuliko wengine”

    “Wasemaji ni sehemu ya familia ya mpira japo sio main actors kwenye mpira sio wachezaji,sio benchi la ufundi, sio mwenyekiti wala makatibu hawa ni familia ya mpira,nachotaka kuwashauri kabla ya kuwafungia wasemaji sasa ni wakati wa TFF kutengeneza kanuni na miongozo na taratibu zinazosimamia eneo la usemaji kama zinavyotengenezwa kanuni za chama cha marefa au soka la wanawake” - Jerry Muro.

    "Siamini na sitakaa niamini kama TFF kupitia kamati yake inakwenda kumfungia Ali Kamwe kama tetesi zinavyosema, nataka kuamini huenda wanaanzisha jambo kuangalia mapokeo ya watu” “Maoni yangu kama kuna jambo ambalo TFF linapaswa kulitazama ni hili la kuanza kuwaandama wasemaji wa vilabu haswa klabu ya Yanga, kwa taarifa niliyonayo na ninayoifahamu alifungiwa Hassan Bumbuli, Antonio Nugaz, nimefungiwa mimi (Jerry Muro),amefunguwa Haji Manara na sasa wanataka kumfungia Ali Kamwe watu watano katika kipindi cha miaka mitano sitaki kusema kama hawa waliofungiwa wamefanya makosa kuliko wengine” “Wasemaji ni sehemu ya familia ya mpira japo sio main actors kwenye mpira sio wachezaji,sio benchi la ufundi, sio mwenyekiti wala makatibu hawa ni familia ya mpira,nachotaka kuwashauri kabla ya kuwafungia wasemaji sasa ni wakati wa TFF kutengeneza kanuni na miongozo na taratibu zinazosimamia eneo la usemaji kama zinavyotengenezwa kanuni za chama cha marefa au soka la wanawake” - Jerry Muro.
    Like
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·768 Ansichten
  • Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·169 Ansichten
  • Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·152 Ansichten
  • Mpenzi wa zamani wa Israel Adesanya ambaye ni Msanii wa Sanaa za mapigano kutoka Nchini New Zealand mwenye asili ya Nigeria , Charlotte Powdrell amepigwa na butwaa kisha kulia machozi baada ya kumlipa "X" wake Israel dola laki tano (500.000) ambazo ni takribani Shilingi Bilioni 1.3 kwa kumpeleka Mahakamani baada ya kuachana kwao.

    Charlotte na lsreal hawakuwahi kuoana wala kuwa na Watoto, lakini walipoachana, Charlotte alimpeleka mahakamani akidai alistahili nusu ya mali ya Israel kwa sababu ya muda waliokaa kwenye uhusiano, akidai kwamba alistahili kuolewa naye. Makadirio ya utajiri wa Adesanya ulikadiriwa kuwa dola milioni 15 ambazo ni zaidi Shilingi Bilioni 39 .1 hivyo Charlotte alidai kwamba pesa hizo walipaswa kugawana baada ya kuachana.

    Mahakama baada ya kufuatilia na kuchunguza kesi hiyo kwa zaidi ya mwaka mmoja toka mwaka 2023, Mahakama hiyo hatimaye ilipitisha uamuzi kwamba apewe nusu ya utajiri wa lsreal Adesanya, lakini ikagundulika kuwa thamani ya Isreal Adesanya ni sifuri yaani hana chochote anachomiliki wala hajawahi kumiliki akaunti ya benki maisha yake yote.

    Na kwa kuwa Charlotte ana thamani ya dola milioni moja na tajiri zaidi kuliko aliyekuwa Mpenzi wake Adesanya, pesa zake mwenyewe zilipaswa kugawanywa kati yao kwa usawa na kumuacha Israeli na kiasi cha dola laki tano (500.000). Inaripotiwa kuwa pesa zote za Israel Adesanya ambazo ni zaidi dola milioni 15 zinasimamiwa na Mama yake Mzazi, Taiwo na amekuwa akisimamia fedha zake tangu mwanzo wa kazi yake.
    Mpenzi wa zamani wa Israel Adesanya ambaye ni Msanii wa Sanaa za mapigano kutoka Nchini New Zealand 🇳🇿 mwenye asili ya Nigeria 🇳🇬, Charlotte Powdrell amepigwa na butwaa kisha kulia machozi baada ya kumlipa "X" wake Israel dola laki tano (500.000) ambazo ni takribani Shilingi Bilioni 1.3 kwa kumpeleka Mahakamani baada ya kuachana kwao. Charlotte na lsreal hawakuwahi kuoana wala kuwa na Watoto, lakini walipoachana, Charlotte alimpeleka mahakamani akidai alistahili nusu ya mali ya Israel kwa sababu ya muda waliokaa kwenye uhusiano, akidai kwamba alistahili kuolewa naye. Makadirio ya utajiri wa Adesanya ulikadiriwa kuwa dola milioni 15 ambazo ni zaidi Shilingi Bilioni 39 .1 hivyo Charlotte alidai kwamba pesa hizo walipaswa kugawana baada ya kuachana. Mahakama baada ya kufuatilia na kuchunguza kesi hiyo kwa zaidi ya mwaka mmoja toka mwaka 2023, Mahakama hiyo hatimaye ilipitisha uamuzi kwamba apewe nusu ya utajiri wa lsreal Adesanya, lakini ikagundulika kuwa thamani ya Isreal Adesanya ni sifuri yaani hana chochote anachomiliki wala hajawahi kumiliki akaunti ya benki maisha yake yote. Na kwa kuwa Charlotte ana thamani ya dola milioni moja na tajiri zaidi kuliko aliyekuwa Mpenzi wake Adesanya, pesa zake mwenyewe zilipaswa kugawanywa kati yao kwa usawa na kumuacha Israeli na kiasi cha dola laki tano (500.000). Inaripotiwa kuwa pesa zote za Israel Adesanya ambazo ni zaidi dola milioni 15 zinasimamiwa na Mama yake Mzazi, Taiwo na amekuwa akisimamia fedha zake tangu mwanzo wa kazi yake.
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·712 Ansichten
  • Mazingira salama uanza na mm

    Jengo la EMERGENCY TUNDURU

    #SUPASABUFC
    Mazingira salama uanza na mm Jengo la EMERGENCY TUNDURU #SUPASABUFC
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·420 Ansichten
  • Like
    Love
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·265 Ansichten
  • YANGA PRINCES BINGWA KOMBE LA SAMIA WOMEN'S SUPER CUP
    YANGA PRINCES BINGWA KOMBE LA SAMIA WOMEN'S SUPER CUP
    Like
    Love
    3
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·296 Ansichten
  • YANGA PRINCES BINGWA KOMBE LA SAMIA WOMEN'S SUPER CUP
    YANGA PRINCES BINGWA KOMBE LA SAMIA WOMEN'S SUPER CUP
    Like
    Love
    3
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·302 Ansichten