• Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·117 Ansichten
  • Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·119 Ansichten
  • Like
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·129 Ansichten
  • Rais wa Marekani , Donald Trump ametoa siri kuwa Ofisi yake imepokea barua kutoka kwa Rais wa Ukraine , Volodymyr Zelensky, ikisema yuko tayari kwa mazungumzo na Russia na kusaini makubaliano ya madini adimu.

    “Ukraine iko tayari kukaa kwenye meza ya mazungumzo haraka iwezekanavyo ili kuleta amani ya kudumu. Hakuna anayetaka amani zaidi ya Waukraine,” Trump amesema katika hotuba yake bungeni usiku wa kuamkia leo huku akinukuu barua hiyo.

    “Mimi na timu yangu tuko tayari kufanya kazi chini ya uongozi thabiti wa Rais Trump ili kupata amani ya kudumu’,” Trump alinukuu maneno ya Zelenskyy.

    “Si hilo lingekuwa jambo zuri?” aliuliza. “Ni wakati wa kukomesha huu upuuzi. Ni wakati wa kusitisha mauaji. Ni wakati wa kumaliza vita hivi visivyo na maana. Ukitaka kumaliza vita, lazima uzungumze na pande zote mbili,” amesema Trump.

    Kauli hiyo ya Trump imekuja siku chache baada ya mvutano mkali kati yake na Zelenskyy katika Ofisi ya Oval iliyoko Ikulu ya White House, hali iliyosababisha Marekani kusitisha msaada muhimu wa kijeshi kwa Ukraine.

    Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump ametoa siri kuwa Ofisi yake imepokea barua kutoka kwa Rais wa Ukraine 🇺🇦, Volodymyr Zelensky, ikisema yuko tayari kwa mazungumzo na Russia 🇷🇺 na kusaini makubaliano ya madini adimu. “Ukraine iko tayari kukaa kwenye meza ya mazungumzo haraka iwezekanavyo ili kuleta amani ya kudumu. Hakuna anayetaka amani zaidi ya Waukraine,” Trump amesema katika hotuba yake bungeni usiku wa kuamkia leo huku akinukuu barua hiyo. “Mimi na timu yangu tuko tayari kufanya kazi chini ya uongozi thabiti wa Rais Trump ili kupata amani ya kudumu’,” Trump alinukuu maneno ya Zelenskyy. “Si hilo lingekuwa jambo zuri?” aliuliza. “Ni wakati wa kukomesha huu upuuzi. Ni wakati wa kusitisha mauaji. Ni wakati wa kumaliza vita hivi visivyo na maana. Ukitaka kumaliza vita, lazima uzungumze na pande zote mbili,” amesema Trump. Kauli hiyo ya Trump imekuja siku chache baada ya mvutano mkali kati yake na Zelenskyy katika Ofisi ya Oval iliyoko Ikulu ya White House, hali iliyosababisha Marekani kusitisha msaada muhimu wa kijeshi kwa Ukraine.
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·551 Ansichten
  • How are you all?
    How are you all?
    0 Kommentare ·0 Anteile ·348 Ansichten
  • Good hope that
    Good hope that
    0 Kommentare ·0 Anteile ·202 Ansichten
  • Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·113 Ansichten
  • "Siamini na sitakaa niamini kama TFF kupitia kamati yake inakwenda kumfungia Ali Kamwe kama tetesi zinavyosema, nataka kuamini huenda wanaanzisha jambo kuangalia mapokeo ya watu”

    “Maoni yangu kama kuna jambo ambalo TFF linapaswa kulitazama ni hili la kuanza kuwaandama wasemaji wa vilabu haswa klabu ya Yanga, kwa taarifa niliyonayo na ninayoifahamu alifungiwa Hassan Bumbuli, Antonio Nugaz, nimefungiwa mimi (Jerry Muro),amefunguwa Haji Manara na sasa wanataka kumfungia Ali Kamwe watu watano katika kipindi cha miaka mitano sitaki kusema kama hawa waliofungiwa wamefanya makosa kuliko wengine”

    “Wasemaji ni sehemu ya familia ya mpira japo sio main actors kwenye mpira sio wachezaji,sio benchi la ufundi, sio mwenyekiti wala makatibu hawa ni familia ya mpira,nachotaka kuwashauri kabla ya kuwafungia wasemaji sasa ni wakati wa TFF kutengeneza kanuni na miongozo na taratibu zinazosimamia eneo la usemaji kama zinavyotengenezwa kanuni za chama cha marefa au soka la wanawake” - Jerry Muro.

    "Siamini na sitakaa niamini kama TFF kupitia kamati yake inakwenda kumfungia Ali Kamwe kama tetesi zinavyosema, nataka kuamini huenda wanaanzisha jambo kuangalia mapokeo ya watu” “Maoni yangu kama kuna jambo ambalo TFF linapaswa kulitazama ni hili la kuanza kuwaandama wasemaji wa vilabu haswa klabu ya Yanga, kwa taarifa niliyonayo na ninayoifahamu alifungiwa Hassan Bumbuli, Antonio Nugaz, nimefungiwa mimi (Jerry Muro),amefunguwa Haji Manara na sasa wanataka kumfungia Ali Kamwe watu watano katika kipindi cha miaka mitano sitaki kusema kama hawa waliofungiwa wamefanya makosa kuliko wengine” “Wasemaji ni sehemu ya familia ya mpira japo sio main actors kwenye mpira sio wachezaji,sio benchi la ufundi, sio mwenyekiti wala makatibu hawa ni familia ya mpira,nachotaka kuwashauri kabla ya kuwafungia wasemaji sasa ni wakati wa TFF kutengeneza kanuni na miongozo na taratibu zinazosimamia eneo la usemaji kama zinavyotengenezwa kanuni za chama cha marefa au soka la wanawake” - Jerry Muro.
    Like
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·563 Ansichten
  • Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·92 Ansichten
  • Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·90 Ansichten