نتائج البحث
عرض كل النتائج
Socialpop Socialpop Socialpop
الرئيسية
المجموعات
الصفحات
سوق المنتجات
شاهد المزيد
المجموعات الصفحات سوق المنتجات المناسبات المدونات التمويل مفاوضاتي وظائف Courses المنتديات الافلام
انضم إلينا
تسجيل الدخول تسجيل
Theme Switcher
الوضع المظلم
الدليل
المستخدمون
المنشورات
الصفحات
المجموعات
المناسبات
  • David Atto @Mefa أضاف صورة
    2025-03-10 04:45:51 ·
    Like
    Love
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·235 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Semindu Mkumbi @Semindu أضاف صورة
    2025-03-10 08:43:29 ·
    MAJINA 99 YA MWENYEZI MUNGU
    "99 Names of Allah"
    MAJINA 99 YA MWENYEZI MUNGU "99 Names of Allah"
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·440 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Semindu Mkumbi @Semindu أضاف صورة
    2025-03-10 08:44:18 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·224 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Semindu Mkumbi @Semindu أضاف صورة
    2025-03-10 08:45:03 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·234 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Semindu Mkumbi @Semindu أضاف فيديو in عام
    2025-03-10 08:46:32 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·231 مشاهدة ·1
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Semindu Mkumbi @Semindu أضاف فيديو in عام
    2025-03-10 08:47:54 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·222 مشاهدة ·0
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Semindu Mkumbi @Semindu أضاف فيديو in عام
    2025-03-10 08:49:52 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·232 مشاهدة ·0
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-03-10 19:17:25 ·
    Privaldinhon

    "Huyu anasema bodi ya ligi sahihi kuahirisha mchezo, sasa tujiulize Ametumia kanuni ya 34 kuwa inawapa nafasi bodi ya ligi kufanya maamuzi ya kusimamisha mchezo?

    However nimeona Amejikita kwenye kipengele cha Dharura. Its fine, wacha tuangalie kanuni hiyo inasemaje?

    Sasa tujiulize hii dharura iliripotiwa na nani? Madhara kiasi gani yalipelekea makolo wasicheze hii mechi? Kuzuiwa kuingia uwanjani ni dharura?

    Ukimsikiliza Jemedari anasema eti sio lazima wasimamizi wa mchezo kuwepo wakati wa mazoezi, sasa hiyo report ya kupima madhara na athari inayoweza kukumbana nayo timu wakati wa mazoezi ya mwisho itaandaliwa na nani?

    Geof Leah ametoa mfano mzuri kuwa Mazembe walizuiwa kuingia uwanja wa mazoezi siku tatu kule Sudani dhidi ya Al Hilal lakini siku ya mchezo walicheza kwa mwamvuli wa “Under Protest”.

    Je kuna mchezaji wa Makolo aliumizwa? Kuna ofisa aliumizwa? Kuna maafa yalitokea? Je walifika kwa Pre Match Meeting kuelezea madhara waliyokumbana nayo?

    Je ni sahihi kwa klabu kuweka shiniko kupitia mitandao ya kijamii kutishia kuwa haitacheza bila kueleza madhara waliyokumbana nayo yaliyopelekea washindwe kucheza? Kimsingi ni kama Klabu imetoa maagizo kwa mamlaka kitu gani cha kufanya.

    Huyu mtu ni kiongozi wa timu ya mpira ambaye anahubiri mpira wa miguu kusitishwa kuchezwa kwa sababu za kisiasa ambazo kimsingi adhabu ipo wazi kwenye kanuni??

    FIFA mara zote wanahubiri mpira kuchezwa hata kama kuna malalamiko basi taratibu za malalamiko ziko wazi.

    Ni aibu kwa mtu mzoefu kwenye mpira kama huyu kuzidiwa hoja na Bwana mdogo Hans. Hans leo ameuthibitishia UMMMA kuwa kuna shida kubwa mahala"

    Privaldinhon ✍️ "Huyu anasema bodi ya ligi sahihi kuahirisha mchezo, sasa tujiulize Ametumia kanuni ya 34 kuwa inawapa nafasi bodi ya ligi kufanya maamuzi ya kusimamisha mchezo? However nimeona Amejikita kwenye kipengele cha Dharura. Its fine, wacha tuangalie kanuni hiyo inasemaje? Sasa tujiulize hii dharura iliripotiwa na nani? Madhara kiasi gani yalipelekea makolo wasicheze hii mechi? Kuzuiwa kuingia uwanjani ni dharura? Ukimsikiliza Jemedari anasema eti sio lazima wasimamizi wa mchezo kuwepo wakati wa mazoezi, sasa hiyo report ya kupima madhara na athari inayoweza kukumbana nayo timu wakati wa mazoezi ya mwisho itaandaliwa na nani? Geof Leah ametoa mfano mzuri kuwa Mazembe walizuiwa kuingia uwanja wa mazoezi siku tatu kule Sudani dhidi ya Al Hilal lakini siku ya mchezo walicheza kwa mwamvuli wa “Under Protest”. Je kuna mchezaji wa Makolo aliumizwa? Kuna ofisa aliumizwa? Kuna maafa yalitokea? Je walifika kwa Pre Match Meeting kuelezea madhara waliyokumbana nayo? Je ni sahihi kwa klabu kuweka shiniko kupitia mitandao ya kijamii kutishia kuwa haitacheza bila kueleza madhara waliyokumbana nayo yaliyopelekea washindwe kucheza? Kimsingi ni kama Klabu imetoa maagizo kwa mamlaka kitu gani cha kufanya. Huyu mtu ni kiongozi wa timu ya mpira ambaye anahubiri mpira wa miguu kusitishwa kuchezwa kwa sababu za kisiasa ambazo kimsingi adhabu ipo wazi kwenye kanuni?? FIFA mara zote wanahubiri mpira kuchezwa hata kama kuna malalamiko basi taratibu za malalamiko ziko wazi. Ni aibu kwa mtu mzoefu kwenye mpira kama huyu kuzidiwa hoja na Bwana mdogo Hans. Hans leo ameuthibitishia UMMMA kuwa kuna shida kubwa mahala"
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·478 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-03-10 19:17:56 ·
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·101 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-03-10 19:18:10 ·
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·151 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • عرض (23491-23500 من 26198)
  • «
  • السابق
  • 2348
  • 2349
  • 2350
  • 2351
  • 2352
  • التالي
  • »
ترقية الحساب
اختر الخطة التي تناسبك
ترقية
© 2025 Socialpop
Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل المطوريين