Результаты поиска
Все результаты
Socialpop Socialpop Socialpop
Главная
Группы
Страницы
Marketplace
Больше
Группы Страницы Marketplace Мероприятия Статьи пользователей Funding Offers Jobs Courses Форумы Кинозал
Вступить
Войти Регистрация
Theme Switcher
Ночной режим
Каталог
Пользователи
Записей
Страницы
Группы
Мероприятия
  • David Atto @Mefa добавлены фото
    2025-03-10 04:45:51 ·
    Like
    Love
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·235 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Semindu Mkumbi @Semindu добавлены фото
    2025-03-10 08:43:29 ·
    MAJINA 99 YA MWENYEZI MUNGU
    "99 Names of Allah"
    MAJINA 99 YA MWENYEZI MUNGU "99 Names of Allah"
    0 Комментарии ·0 Поделились ·440 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Semindu Mkumbi @Semindu добавлены фото
    2025-03-10 08:44:18 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·224 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Semindu Mkumbi @Semindu добавлены фото
    2025-03-10 08:45:03 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·234 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Semindu Mkumbi @Semindu добавлено видео in Общий
    2025-03-10 08:46:32 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·231 Просмотры ·1
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Semindu Mkumbi @Semindu добавлено видео in Общий
    2025-03-10 08:47:54 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·222 Просмотры ·0
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Semindu Mkumbi @Semindu добавлено видео in Общий
    2025-03-10 08:49:52 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·232 Просмотры ·0
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-03-10 19:17:25 ·
    Privaldinhon

    "Huyu anasema bodi ya ligi sahihi kuahirisha mchezo, sasa tujiulize Ametumia kanuni ya 34 kuwa inawapa nafasi bodi ya ligi kufanya maamuzi ya kusimamisha mchezo?

    However nimeona Amejikita kwenye kipengele cha Dharura. Its fine, wacha tuangalie kanuni hiyo inasemaje?

    Sasa tujiulize hii dharura iliripotiwa na nani? Madhara kiasi gani yalipelekea makolo wasicheze hii mechi? Kuzuiwa kuingia uwanjani ni dharura?

    Ukimsikiliza Jemedari anasema eti sio lazima wasimamizi wa mchezo kuwepo wakati wa mazoezi, sasa hiyo report ya kupima madhara na athari inayoweza kukumbana nayo timu wakati wa mazoezi ya mwisho itaandaliwa na nani?

    Geof Leah ametoa mfano mzuri kuwa Mazembe walizuiwa kuingia uwanja wa mazoezi siku tatu kule Sudani dhidi ya Al Hilal lakini siku ya mchezo walicheza kwa mwamvuli wa “Under Protest”.

    Je kuna mchezaji wa Makolo aliumizwa? Kuna ofisa aliumizwa? Kuna maafa yalitokea? Je walifika kwa Pre Match Meeting kuelezea madhara waliyokumbana nayo?

    Je ni sahihi kwa klabu kuweka shiniko kupitia mitandao ya kijamii kutishia kuwa haitacheza bila kueleza madhara waliyokumbana nayo yaliyopelekea washindwe kucheza? Kimsingi ni kama Klabu imetoa maagizo kwa mamlaka kitu gani cha kufanya.

    Huyu mtu ni kiongozi wa timu ya mpira ambaye anahubiri mpira wa miguu kusitishwa kuchezwa kwa sababu za kisiasa ambazo kimsingi adhabu ipo wazi kwenye kanuni??

    FIFA mara zote wanahubiri mpira kuchezwa hata kama kuna malalamiko basi taratibu za malalamiko ziko wazi.

    Ni aibu kwa mtu mzoefu kwenye mpira kama huyu kuzidiwa hoja na Bwana mdogo Hans. Hans leo ameuthibitishia UMMMA kuwa kuna shida kubwa mahala"

    Privaldinhon ✍️ "Huyu anasema bodi ya ligi sahihi kuahirisha mchezo, sasa tujiulize Ametumia kanuni ya 34 kuwa inawapa nafasi bodi ya ligi kufanya maamuzi ya kusimamisha mchezo? However nimeona Amejikita kwenye kipengele cha Dharura. Its fine, wacha tuangalie kanuni hiyo inasemaje? Sasa tujiulize hii dharura iliripotiwa na nani? Madhara kiasi gani yalipelekea makolo wasicheze hii mechi? Kuzuiwa kuingia uwanjani ni dharura? Ukimsikiliza Jemedari anasema eti sio lazima wasimamizi wa mchezo kuwepo wakati wa mazoezi, sasa hiyo report ya kupima madhara na athari inayoweza kukumbana nayo timu wakati wa mazoezi ya mwisho itaandaliwa na nani? Geof Leah ametoa mfano mzuri kuwa Mazembe walizuiwa kuingia uwanja wa mazoezi siku tatu kule Sudani dhidi ya Al Hilal lakini siku ya mchezo walicheza kwa mwamvuli wa “Under Protest”. Je kuna mchezaji wa Makolo aliumizwa? Kuna ofisa aliumizwa? Kuna maafa yalitokea? Je walifika kwa Pre Match Meeting kuelezea madhara waliyokumbana nayo? Je ni sahihi kwa klabu kuweka shiniko kupitia mitandao ya kijamii kutishia kuwa haitacheza bila kueleza madhara waliyokumbana nayo yaliyopelekea washindwe kucheza? Kimsingi ni kama Klabu imetoa maagizo kwa mamlaka kitu gani cha kufanya. Huyu mtu ni kiongozi wa timu ya mpira ambaye anahubiri mpira wa miguu kusitishwa kuchezwa kwa sababu za kisiasa ambazo kimsingi adhabu ipo wazi kwenye kanuni?? FIFA mara zote wanahubiri mpira kuchezwa hata kama kuna malalamiko basi taratibu za malalamiko ziko wazi. Ni aibu kwa mtu mzoefu kwenye mpira kama huyu kuzidiwa hoja na Bwana mdogo Hans. Hans leo ameuthibitishia UMMMA kuwa kuna shida kubwa mahala"
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·478 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-03-10 19:17:56 ·
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·101 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-03-10 19:18:10 ·
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·151 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (23491-23500 из 26198)
  • «
  • Назад
  • 2348
  • 2349
  • 2350
  • 2351
  • 2352
  • Далее
  • »
Обновить до Про
Выберите подходящий план
Обновить
© 2025 Socialpop
Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог Разработчики