Rezultatele cautarii
Vedeti tot
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Grupuri
Pagini
Marketplace
Arata mai mult
Grupuri Pagini Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Conecteaza-te
Conecteaza-te Inscrie-te
Theme Switcher
Night Mode
Director
Utilizatori
Postari
Pagini
Grupuri
Events
  • David Atto @Mefa a adăugat o fotografie
    2025-03-10 04:45:51 ·
    Like
    Love
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·235 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Semindu Mkumbi @Semindu a adăugat o fotografie
    2025-03-10 08:43:29 ·
    MAJINA 99 YA MWENYEZI MUNGU
    "99 Names of Allah"
    MAJINA 99 YA MWENYEZI MUNGU "99 Names of Allah"
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·440 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Semindu Mkumbi @Semindu a adăugat o fotografie
    2025-03-10 08:44:18 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·224 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Semindu Mkumbi @Semindu a adăugat o fotografie
    2025-03-10 08:45:03 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·234 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Semindu Mkumbi @Semindu a adăugat un videoclip in General
    2025-03-10 08:46:32 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·231 Views ·1
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Semindu Mkumbi @Semindu a adăugat un videoclip in General
    2025-03-10 08:47:54 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·222 Views ·0
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Semindu Mkumbi @Semindu a adăugat un videoclip in General
    2025-03-10 08:49:52 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·232 Views ·0
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 a adăugat o fotografie
    2025-03-10 19:17:25 ·
    Privaldinhon

    "Huyu anasema bodi ya ligi sahihi kuahirisha mchezo, sasa tujiulize Ametumia kanuni ya 34 kuwa inawapa nafasi bodi ya ligi kufanya maamuzi ya kusimamisha mchezo?

    However nimeona Amejikita kwenye kipengele cha Dharura. Its fine, wacha tuangalie kanuni hiyo inasemaje?

    Sasa tujiulize hii dharura iliripotiwa na nani? Madhara kiasi gani yalipelekea makolo wasicheze hii mechi? Kuzuiwa kuingia uwanjani ni dharura?

    Ukimsikiliza Jemedari anasema eti sio lazima wasimamizi wa mchezo kuwepo wakati wa mazoezi, sasa hiyo report ya kupima madhara na athari inayoweza kukumbana nayo timu wakati wa mazoezi ya mwisho itaandaliwa na nani?

    Geof Leah ametoa mfano mzuri kuwa Mazembe walizuiwa kuingia uwanja wa mazoezi siku tatu kule Sudani dhidi ya Al Hilal lakini siku ya mchezo walicheza kwa mwamvuli wa “Under Protest”.

    Je kuna mchezaji wa Makolo aliumizwa? Kuna ofisa aliumizwa? Kuna maafa yalitokea? Je walifika kwa Pre Match Meeting kuelezea madhara waliyokumbana nayo?

    Je ni sahihi kwa klabu kuweka shiniko kupitia mitandao ya kijamii kutishia kuwa haitacheza bila kueleza madhara waliyokumbana nayo yaliyopelekea washindwe kucheza? Kimsingi ni kama Klabu imetoa maagizo kwa mamlaka kitu gani cha kufanya.

    Huyu mtu ni kiongozi wa timu ya mpira ambaye anahubiri mpira wa miguu kusitishwa kuchezwa kwa sababu za kisiasa ambazo kimsingi adhabu ipo wazi kwenye kanuni??

    FIFA mara zote wanahubiri mpira kuchezwa hata kama kuna malalamiko basi taratibu za malalamiko ziko wazi.

    Ni aibu kwa mtu mzoefu kwenye mpira kama huyu kuzidiwa hoja na Bwana mdogo Hans. Hans leo ameuthibitishia UMMMA kuwa kuna shida kubwa mahala"

    Privaldinhon ✍️ "Huyu anasema bodi ya ligi sahihi kuahirisha mchezo, sasa tujiulize Ametumia kanuni ya 34 kuwa inawapa nafasi bodi ya ligi kufanya maamuzi ya kusimamisha mchezo? However nimeona Amejikita kwenye kipengele cha Dharura. Its fine, wacha tuangalie kanuni hiyo inasemaje? Sasa tujiulize hii dharura iliripotiwa na nani? Madhara kiasi gani yalipelekea makolo wasicheze hii mechi? Kuzuiwa kuingia uwanjani ni dharura? Ukimsikiliza Jemedari anasema eti sio lazima wasimamizi wa mchezo kuwepo wakati wa mazoezi, sasa hiyo report ya kupima madhara na athari inayoweza kukumbana nayo timu wakati wa mazoezi ya mwisho itaandaliwa na nani? Geof Leah ametoa mfano mzuri kuwa Mazembe walizuiwa kuingia uwanja wa mazoezi siku tatu kule Sudani dhidi ya Al Hilal lakini siku ya mchezo walicheza kwa mwamvuli wa “Under Protest”. Je kuna mchezaji wa Makolo aliumizwa? Kuna ofisa aliumizwa? Kuna maafa yalitokea? Je walifika kwa Pre Match Meeting kuelezea madhara waliyokumbana nayo? Je ni sahihi kwa klabu kuweka shiniko kupitia mitandao ya kijamii kutishia kuwa haitacheza bila kueleza madhara waliyokumbana nayo yaliyopelekea washindwe kucheza? Kimsingi ni kama Klabu imetoa maagizo kwa mamlaka kitu gani cha kufanya. Huyu mtu ni kiongozi wa timu ya mpira ambaye anahubiri mpira wa miguu kusitishwa kuchezwa kwa sababu za kisiasa ambazo kimsingi adhabu ipo wazi kwenye kanuni?? FIFA mara zote wanahubiri mpira kuchezwa hata kama kuna malalamiko basi taratibu za malalamiko ziko wazi. Ni aibu kwa mtu mzoefu kwenye mpira kama huyu kuzidiwa hoja na Bwana mdogo Hans. Hans leo ameuthibitishia UMMMA kuwa kuna shida kubwa mahala"
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·478 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 a adăugat o fotografie
    2025-03-10 19:17:56 ·
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·101 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 a adăugat o fotografie
    2025-03-10 19:18:10 ·
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·151 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Afiseaza (23491-23500 de 26198)
  • «
  • Anterior
  • 2348
  • 2349
  • 2350
  • 2351
  • 2352
  • Următor
  • »
Upgrade to Pro
Alege planul care ți se potrivește
Upgrade
© 2025 Socialpop
Romaian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termeni Confidențialitate Contacteaza-ne Director Developers