Risultati di ricerca
Mostra tutti i risultati
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Gruppi
Pagine
Marketplace
Mostra tutto
Gruppi Pagine Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Iscriviti
Registrati Iscriviti
Theme Switcher
Night Mode
Elenco
Utenti
Articoli
Pagine
Gruppi
Events
  • Dullah Tz98 @DullahX98 ha aggiunto una foto
    2025-03-16 12:41:50 路
    "Masaa 72 Yanga waliowapa TPLB yamekwisha, Sasa tukutane CAS

    Tukumbuke tarehe March 10, 2025.

    Yanga waliandika barua Kwa bodi ya ligi kudai haki Yao ya magoli 3 pamoja na points 3 na fidia ya Tshs million 56,435,000 baada ya uvunjifu wa mchezo ambao ulikuwa ufanyike tarehe 8 March

    Simba waliwashinikiza bodi ya ligi katika hali isiyo ya kawaida bodi ya ligi Kwa kuongozwa na hisia na bila ya kufuata kanuni wanavunja mchezo

    Bodi ya ligi walijulishwa wao wakachagua kukaa kimya bila kujibu madai ya young Africans

    Sasa baada ya saa 72 kutamatika shauri linaenda kwenye mahakama ya usulihisi wa michezo kimataifa CAS

    Hapa hata bodi ya ligi walipanga tarehe mpya ya mchezo hakuna kitakachoendelea Kwa kuwa shauri litakuwa CAS

    Kila la heri Young Africans

    Yanga bingwa" - Mwalimu Yanga, Shabiki kindakindaki wa klabu ya Yanga SC.

    "Masaa 72 Yanga waliowapa TPLB yamekwisha, Sasa tukutane CAS Tukumbuke tarehe March 10, 2025. Yanga waliandika barua Kwa bodi ya ligi kudai haki Yao ya magoli 3 pamoja na points 3 na fidia ya Tshs million 56,435,000 baada ya uvunjifu wa mchezo ambao ulikuwa ufanyike tarehe 8 March Simba waliwashinikiza bodi ya ligi katika hali isiyo ya kawaida bodi ya ligi Kwa kuongozwa na hisia na bila ya kufuata kanuni wanavunja mchezo Bodi ya ligi walijulishwa wao wakachagua kukaa kimya bila kujibu madai ya young Africans Sasa baada ya saa 72 kutamatika shauri linaenda kwenye mahakama ya usulihisi wa michezo kimataifa CAS Hapa hata bodi ya ligi walipanga tarehe mpya ya mchezo hakuna kitakachoendelea Kwa kuwa shauri litakuwa CAS Kila la heri Young Africans Yanga bingwa" - Mwalimu Yanga, Shabiki kindakindaki wa klabu ya Yanga SC.
    0 Commenti 路0 condivisioni 路593 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Youtube Vanced @youtubevanced ha aggiunto una foto in Music
    2025-03-16 14:40:30 路
    Can Google Ban My Account for Using Vanced?
    What is YouTube Vanced? YouTube Vanced was a modified version of the official YouTube app that offered premium features like background playback, ad blocking, and dark mode without requiring a YouTube Premium subscription. It gained popularity among users looking to enhance their YouTube experience without paying for Premium. However, it's important to note that YouTube Vanced ceased...
    0 Commenti 路0 condivisioni 路657 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • David Atto @Mefa ha aggiunto una foto
    2025-03-16 16:44:46 路
    Love
    1
    路 0 Commenti 路0 condivisioni 路232 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • David Atto @Mefa ha aggiunto una foto
    2025-03-16 16:45:02 路
    Love
    1
    路 0 Commenti 路0 condivisioni 路235 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • David Atto @Mefa ha aggiunto una foto
    2025-03-16 16:45:15 路
    Love
    1
    路 1 Commenti 路0 condivisioni 路243 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 ha aggiunto una foto
    2025-03-16 19:26:39 路
    0 Commenti 路0 condivisioni 路81 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 ha aggiunto una foto
    2025-03-16 19:26:50 路
    0 Commenti 路0 condivisioni 路88 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 ha aggiunto una foto
    2025-03-16 19:27:07 路
    Margaret Nduta Macharia (37) ambaye ni Raia wa Kenya aliyekamatwa mwaka 2023 Nchini Vietnam na kilogramu mbili (2) za dawa za kulevya aina ya Cocaine, anatarajiwa kunyongwa hadi kufa kesho Jumatatu Machi 17, 2025.

    Kwa mujibu wa tovuti ya Daily Nation, Margaret aliyepewa hukumu hiyo Machi 6, 2025 alisema alipewa mzigo huo wa dawa za kulevya na Mwanaume mmoja kutoka Nchini Kenya aliyemtaja kwa jina moja la John. Pia, taarifa hiyo inaeleza kuwa alifanikiwa kupita katika Viwanja vitatu (3) vya Ndege bila kukamatwa, kabla ya kugundulika Nchini Vietnam. Viwanja hivyo ni pamoja na Jomo Kenyatta (Kenya), Bole (Ethiopia) na Hamad (Qatar).

    Hata hivyo, Margaret akijitetea Mahakamani Nchini Vietnam alidai hakufahamu kama mzigo ule ulikuwa ni dawa za kulevya. Taarifa kutoka Nchini Vietnam, Margaret atakula chakula chake cha mwisho kesho saa 1:30 usiku na kisha kunyongwa saa 2:30 za usiku.

    Margaret Nduta Macharia (37) ambaye ni Raia wa Kenya 馃嚢馃嚜 aliyekamatwa mwaka 2023 Nchini Vietnam 馃嚮馃嚦 na kilogramu mbili (2) za dawa za kulevya aina ya Cocaine, anatarajiwa kunyongwa hadi kufa kesho Jumatatu Machi 17, 2025. Kwa mujibu wa tovuti ya Daily Nation, Margaret aliyepewa hukumu hiyo Machi 6, 2025 alisema alipewa mzigo huo wa dawa za kulevya na Mwanaume mmoja kutoka Nchini Kenya aliyemtaja kwa jina moja la John. Pia, taarifa hiyo inaeleza kuwa alifanikiwa kupita katika Viwanja vitatu (3) vya Ndege bila kukamatwa, kabla ya kugundulika Nchini Vietnam. Viwanja hivyo ni pamoja na Jomo Kenyatta (Kenya), Bole (Ethiopia) na Hamad (Qatar). Hata hivyo, Margaret akijitetea Mahakamani Nchini Vietnam alidai hakufahamu kama mzigo ule ulikuwa ni dawa za kulevya. Taarifa kutoka Nchini Vietnam, Margaret atakula chakula chake cha mwisho kesho saa 1:30 usiku na kisha kunyongwa saa 2:30 za usiku.
    0 Commenti 路0 condivisioni 路565 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 ha aggiunto una foto
    2025-03-17 12:32:01 路
    Adhabu ya Raia kutoka Nchini Kenya ambaye alikuwa anyongwe mpaka kifo baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya aina ya cocaine Nchini Vietnam imepunguzwa baada ya jitihada nyingi za Viongozi wa Kenya kuomba sana kwa Serikali hiyo impunguzie adhabu ya Magreth Nduta.

    Kwa sasa adhabu ya Magret Nduta imesogezwa mpaka mwezi June ili kuona kama Vietnam watakubali Magreth kurudishwa ili aje apewe kifungo na nchi yake ya Kenya .

    Ikumbukwe kuwa Vietnam ni moja ya Nchi yenye misimamo mikali sana kuhusu Wauzaji na Wasambazaji wa madawa ya kulevya ambapo adhabu yake ni kufa.

    Adhabu ya Raia kutoka Nchini Kenya 馃嚢馃嚜 ambaye alikuwa anyongwe mpaka kifo baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya aina ya cocaine Nchini Vietnam 馃嚮馃嚦 imepunguzwa baada ya jitihada nyingi za Viongozi wa Kenya 馃嚢馃嚜 kuomba sana kwa Serikali hiyo impunguzie adhabu ya Magreth Nduta. Kwa sasa adhabu ya Magret Nduta imesogezwa mpaka mwezi June ili kuona kama Vietnam 馃嚮馃嚦 watakubali Magreth kurudishwa ili aje apewe kifungo na nchi yake ya Kenya 馃嚢馃嚜. Ikumbukwe kuwa Vietnam 馃嚮馃嚦 ni moja ya Nchi yenye misimamo mikali sana kuhusu Wauzaji na Wasambazaji wa madawa ya kulevya ambapo adhabu yake ni kufa.
    0 Commenti 路0 condivisioni 路439 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 ha aggiunto una foto
    2025-03-17 12:32:15 路
    0 Commenti 路0 condivisioni 路105 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Mostrati (23581-23590 di 24337)
  • «
  • Prec.
  • 2357
  • 2358
  • 2359
  • 2360
  • 2361
  • Succ.
  • »
Passa a Pro
Scegli il piano pi霉 adatto a te
AGGIORNA
© 2025 Socialpop
Italiano
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termini e Condizioni Privacy Contattaci Elenco Developers