• "Pengine ulitegemea baada ya kutumikia kifungo cha 'kikatili’ dhidi yangu na kilichojaa Uonevu usiomithilika,labda tukikutana ntaleta nongwa ya Kizaramo? Hapana laa hasha!! Sipo hivyo na nilishasamehe.

    Ila haiondoi ukweli pamoja na ‘ cheko hili tukikutana’ inabidi akubali kuwajibika yeye na wenzie.
    Tutacheka lakini tutaendelea kushinikiza aombe radhi na apumzike uongozi kwa sasa.

    #KariaMustGo" - Haji Manara baada ya kukutana na Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Nchini Tanzania (TFF).

    "Pengine ulitegemea baada ya kutumikia kifungo cha 'kikatili’ dhidi yangu na kilichojaa Uonevu usiomithilika,labda tukikutana ntaleta nongwa ya Kizaramo? Hapana laa hasha!! Sipo hivyo na nilishasamehe. Ila haiondoi ukweli pamoja na ‘ cheko hili tukikutana’ inabidi akubali kuwajibika yeye na wenzie. Tutacheka lakini tutaendelea kushinikiza aombe radhi na apumzike uongozi kwa sasa. #KariaMustGo" - Haji Manara baada ya kukutana na Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Nchini Tanzania (TFF).
    Like
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·853 Visualizações
  • Rais wa Nchi Burkina Faso , Kapteni IbrahimTraoré (37) amekataa ongezeko lolote kwenye mshahara wake anaoupata kama kapteni, akisisitiza kuwa anajitolea kwa ajili ya Wananchi wa Nchi hiyo.

    Rais huyo kijana zaidi Duniani, ambaye alichukua madaraka kupitia mapinduzi ya kijeshi, alitangaza kuwa makadirio ya utajiri wake wote ni Shilingi milioni 340 za Kitanzania na ataendelea kupokea mshahara wake uleule wa kawaida kama kapteni wa Jeshi.

    Uamuzi huo wa kukataa ongezeko la mshahara ni tofauti kubwa na hatua za baadhi ya watangulizi wake, ambapo anaonyesha taswira ya Uongozi mpya kabisa katika Nchi ya Burkina Faso.

    Rais wa Nchi Burkina Faso 🇧🇫, Kapteni IbrahimTraoré (37) amekataa ongezeko lolote kwenye mshahara wake anaoupata kama kapteni, akisisitiza kuwa anajitolea kwa ajili ya Wananchi wa Nchi hiyo. Rais huyo kijana zaidi Duniani, ambaye alichukua madaraka kupitia mapinduzi ya kijeshi, alitangaza kuwa makadirio ya utajiri wake wote ni Shilingi milioni 340 za Kitanzania na ataendelea kupokea mshahara wake uleule wa kawaida kama kapteni wa Jeshi. Uamuzi huo wa kukataa ongezeko la mshahara ni tofauti kubwa na hatua za baadhi ya watangulizi wake, ambapo anaonyesha taswira ya Uongozi mpya kabisa katika Nchi ya Burkina Faso.
    Like
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·947 Visualizações
  • Nchi ya China imeanzisha utafiti wa Wataalam kuwa na uwezo kutambua (kubaini) ugonjwa wa Mtu kupitia mshuzi wake ambapo wataandaliwa Watu maalum ambao watapewa mafunzo kisa kupewa kibali baada ya mafunzo hayo ili kuonyesha kuwa wao ni "Professional Fart Smeller" na watakuwa na kazi maalum ya kubaini ugonjwa wa Mtu kupitia mshuzi wake.

    Nchi ya China 🇨🇳 imeanzisha utafiti wa Wataalam kuwa na uwezo kutambua (kubaini) ugonjwa wa Mtu kupitia mshuzi wake ambapo wataandaliwa Watu maalum ambao watapewa mafunzo kisa kupewa kibali baada ya mafunzo hayo ili kuonyesha kuwa wao ni "Professional Fart Smeller" na watakuwa na kazi maalum ya kubaini ugonjwa wa Mtu kupitia mshuzi wake.
    Like
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·481 Visualizações
  • Balozi wa Afrika Kusini Nchini Marekani , Ebrahim Rasool ambaye ametimuliwa na Nchi ya Marekani kutokana na kukosoa sera za Donald Trump, amerejea Afrika Kusini kwa ufakhari mkubwa na kupokewa kwa shangwe na mamia ya Wananchi waliofurika kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town Nchini Afrika Kusini.

    Balozi huyo na mkewe, Rosieda, waliwasili jana katika Uwanda wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town baada ya kusafari kutoka Nchini Marekani kupitia Qatar na wamekaribishwa vyema na kwa shangwe na mamia ya Wafuasi wao. Mapema mwezi huu, Balozi Rasool alitangazwa na Serikali ya Marekani kuwa ni Mtu asiyetakiwa kuweko Nchini humo baada ya kukosoa sera za Donald Trump, hatua ambayo inaonesha wazi jinsi madai ya uhuru wa kusema yasivyothaminiwa Nchini Marekani licha ya majigambo makubwa ya Nchi Marekani ya kupigania haki za Binadamu na demokrasia.

    Akiwahutubia mamia ya Mashabiki wake kwenye Uwanja wa Ndege wa Cape Town, Balozi Rasool amesema kwamba ingawa ametakiwa kuondoka huko Marekani lakini jambo hilo limeshindwa kufikia lengo lake kwani Viongozi wa Marekani wanadhani wamemdhalilisha wakati yeye anaona fakhari kwa maneno aliyotoa na Wananchi wa Afrika Kusini nao wanajivunia msimamo huo ndio maana wamejitokea kwa mamia kumpokea kishujaa.

    "Unaporejea nyumbani na kupokewa kwa shangwe na umati kama huu wa watu, mtu unaona fakhari na unajivunia msimamo wako." alisema Rasool.

    Alipoulizwa iwapo diplomasia imeshindwa, amesema ukweli kwamba matamshi yake yamemfanya Trump na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio kuwa makini na hatua ya Serikali ya Marekani ya kumtangaza kuwa ni Mtu asiyetakiwa nchini humo ni ushahidi kwamba ujumbe wake umefika ngazi za juu kabisa za serikali ya Marekani.

    Balozi wa Afrika Kusini 🇿🇦 Nchini Marekani 🇺🇸, Ebrahim Rasool ambaye ametimuliwa na Nchi ya Marekani kutokana na kukosoa sera za Donald Trump, amerejea Afrika Kusini kwa ufakhari mkubwa na kupokewa kwa shangwe na mamia ya Wananchi waliofurika kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town Nchini Afrika Kusini. Balozi huyo na mkewe, Rosieda, waliwasili jana katika Uwanda wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town baada ya kusafari kutoka Nchini Marekani kupitia Qatar na wamekaribishwa vyema na kwa shangwe na mamia ya Wafuasi wao. Mapema mwezi huu, Balozi Rasool alitangazwa na Serikali ya Marekani kuwa ni Mtu asiyetakiwa kuweko Nchini humo baada ya kukosoa sera za Donald Trump, hatua ambayo inaonesha wazi jinsi madai ya uhuru wa kusema yasivyothaminiwa Nchini Marekani licha ya majigambo makubwa ya Nchi Marekani ya kupigania haki za Binadamu na demokrasia. Akiwahutubia mamia ya Mashabiki wake kwenye Uwanja wa Ndege wa Cape Town, Balozi Rasool amesema kwamba ingawa ametakiwa kuondoka huko Marekani lakini jambo hilo limeshindwa kufikia lengo lake kwani Viongozi wa Marekani wanadhani wamemdhalilisha wakati yeye anaona fakhari kwa maneno aliyotoa na Wananchi wa Afrika Kusini nao wanajivunia msimamo huo ndio maana wamejitokea kwa mamia kumpokea kishujaa. "Unaporejea nyumbani na kupokewa kwa shangwe na umati kama huu wa watu, mtu unaona fakhari na unajivunia msimamo wako." alisema Rasool. Alipoulizwa iwapo diplomasia imeshindwa, amesema ukweli kwamba matamshi yake yamemfanya Trump na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio kuwa makini na hatua ya Serikali ya Marekani ya kumtangaza kuwa ni Mtu asiyetakiwa nchini humo ni ushahidi kwamba ujumbe wake umefika ngazi za juu kabisa za serikali ya Marekani.
    Love
    Like
    3
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • Ajira Ai Tanzania,
    Get it on Google playstore
    Ajira Ai Tanzania, Get it on Google playstore
    Love
    Like
    5
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·952 Visualizações
  • Strong WhatsApp Hacking Bot

    Check this video
    https://youtu.be/qxhw3tqGr2M?si=C90xW51_pWmy41Az
    Strong WhatsApp Hacking Bot Check this video https://youtu.be/qxhw3tqGr2M?si=C90xW51_pWmy41Az
    Love
    1
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·832 Visualizações
  • Love
    Like
    3
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·364 Visualizações
  • 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·267 Visualizações
  • #cktvtanzania
    #cktvtanzania
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·936 Visualizações
  • 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·120 Visualizações