0 Comments
0 Shares
64 Views
Directory
Share your ideas, Make money with Social Pop, enjoy on our lager village
-
Please log in to like, share and comment!
-
-
Hanuman Idol for Car – Travel with Faith, Protection, and Inner StrengthDriving is a part of everyday life, yet every journey carries responsibility and emotion. Whether you are navigating crowded city roads or enjoying peaceful highway drives, the environment inside your car affects your mindset. A hanuman idol for car brings spiritual protection, courage, and calm energy to your dashboard, helping you travel with confidence, focus, and peace. Why a Hanuman Idol...0 Comments 0 Shares 209 Views
-
Rhinoplasty in Dubai Supported by Surgical InnovationRhinoplasty, widely recognized as a transformative facial procedure, has seen remarkable advancements in recent years. Rhinoplasty in Dubai stands out for its combination of innovative surgical techniques, world-class expertise, and personalized treatment plans. For individuals seeking to enhance nasal aesthetics or address functional issues such as breathing difficulties, Dubai...0 Comments 0 Shares 182 Views
-
Trusted Wood Dealers Delivering Premium Factory Wood Solutions at LuliMallFinding dependable wood dealers is essential for businesses that rely on quality, consistency, and long-term value. At LuliMall, we bring together trusted factory-level suppliers to meet global demand for high-grade wood products. One of the standout manufacturing hubs featured on LuliMall is the Hu Nan factory, known for its advanced production capabilities and commitment to quality...0 Comments 0 Shares 122 Views
-
Fire NOC is Mandatory in Karnataka for Commercial
https://www.prbusinesswires.com/Fire-NOC-is-Mandatory--for-Commercial-&-Industrial-Buildings
Fire safety is a critical compliance requirement for commercial and industrial buildings in Karnataka. With increasing urbanization, high-rise structures, factories, warehouses, hospitals, malls, and IT parks, the risk of fire incidents has grown significantly.
#firesafety
#noc
#businessFire NOC is Mandatory in Karnataka for Commercial https://www.prbusinesswires.com/Fire-NOC-is-Mandatory--for-Commercial-&-Industrial-Buildings Fire safety is a critical compliance requirement for commercial and industrial buildings in Karnataka. With increasing urbanization, high-rise structures, factories, warehouses, hospitals, malls, and IT parks, the risk of fire incidents has grown significantly. #firesafety #noc #business
WWW.PRBUSINESSWIRES.COMWhy Fire NOC is Mandatory in Karnataka for Commercial & Industrial BuildingsFire safety is a critical compliance requirement for commercial and industrial buildings in Karnataka. With increasing urbanization, high-rise structures, factories, warehouses, hospitals, malls, and IT parks, the risk of fire incidents has grown significantly. To ensure public safety and prevent loss of life and property, the Karnataka Fire and Emergency Services Department mandates a Fire NOC Certificate for eligible buildings.0 Comments 0 Shares 392 Views -
Why Digital E-Cards Are the Future of Thoughtful Online CommunicationAs the world becomes increasingly digital, the way people express emotions has evolved. Digital e-cards have emerged as a meaningful alternative to traditional greetings, offering warmth, personalization, and instant delivery. They allow people to celebrate, appreciate, apologize, and connect without delay, regardless of distance. Platforms like LovingEcards make it easy to turn everyday...0 Comments 0 Shares 203 Views
-
Ukiona unafanya jambo usilo lipenda ni uhakika wa wazi kuwa kuna jambo bado ujalijua kuhusu zambi ,kwa lugha rahisi zambi imeikalia nafsi yako na kuiongoza.
#Warumi 7:18-19
[18]Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema; kwa kuwa kutaka nataka, bali kutenda lililo jema sipati.
[19]Kwa maana lile jema nilipendalo, silitendi; bali lile baya nisilolipenda ndilo nilitendalo.
.
Ndiyo sababu gheto unaenda kwa moyo wako wote ,nguo mnavua vizuri pamoja na ni wanakwaya mkimaliza kuzini unakuta mmoja anaanza kumlaumu mwenzake kuwa tamaa zako zimetuponza tumezini.
Siyo kuwa tamaa zimewaponza ni kuwa either kuna jambo ujajua kuhusu zinaa ambalo ungelijua usinge thubutu kujitoa ufahamu kwenda getho la mtu na unaenda peke yako kabisa.
#Chanzo ni nini ni kadiri unavyotaka kutumia akiri zako ndivyo unavyo fungua mlango wa shetani kukushanbulia kupitia ujinga wako.
#Kumbe kama ungemuangalia Yusuph alicho fanya ungejua uzinzi hatuneni kwa lugha na kubakia hapo hapo tunakimbia mbali kabisa kwa kuwa usipo kimbia mwili wako utazidiwa na matokeo yako utaanguka.
#Mwanzo 39:11-12
[11]Ikawa, siku moja, akaingia nyumbani atende kazi yake, wala hapakuwa na mtu katika watu wa nyumbani humo ndani;
[12]huyo mwanamke akamshika nguo zake, akisema, Lala nami. Yusufu akaiacha nguo yake mkononi mwake, akakimbia, akatoka nje.
Hii ndiyo sababu biblia inasema pia ikimbieni zinaa
1 Wakorintho 6:18
[18]Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe.
#Ukishindwa kukimbia shetani atakukamata .
Lengo ni nini nimesema kila aliye shinda zambi au jambo furani kuna ufahamu anao ambao wewe una.
Jitahidi kutafuta maarifa kuna aina ya zambi hazitoki kwa maombi peke yake bila kujua kanuni ya kushinda iyo zambi.
Kitakacho tokea ni kuwa unaomba sana lakini ukitoka kuomba shetani anakuletea tena zambi ile ile na unaanguka tena
#Shetani aogopi kipawa au karama uliyo nayo kuhusu kukushambulia ila anaogopa maarifa uliyo nayo kuhusu ilo jambo.Kadiri unavyo juuw siri nyingi juu ya jambo fulani ndivyo unavyo funga mlango wa mahambulizi ya shetani.
Isaya amekuwa nabii lakini kila siku alikuwa nabii lakini pia ana midomo michafu mpaka siku alipo pata ufunuo ambao uliambatana na ukombozi ndio akaendelea kuwa mtu safi.
Isaya 6:5-7
[5]Ndipo niliposema, Ole wangu! Kwa maana nimepotea; kwa sababu mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu; na macho yangu yamemwona Mfalme, BWANA wa majeshi.
[6]Kisha mmoja wa maserafi wale akaruka akanikaribia; naye alikuwa na kaa la moto mkononi mwake, ambalo alikuwa amelitwaa kwa makoleo toka juu ya madhabahu;
[7]akanigusa kinywa changu kwa kaa hilo, akaniambia, Tazama, hili limekugusa midomo yako, na uovu wako umeondolewa, na dhambi yako imefunikwa.
Ukombozi wa Isaya ulitegemea sana na ufunuo alio pokea siku hiyi maana kila siku aliendelea kuwa nabii lakin kumbe kuna jambo liko nyuma ya pazia na ndicho kizuizi chake.
MUNGU ALIYE MTOKEA ISAYA KATIKA ULE MWAKA WA KUFA KWA MFALME UZIA NDIO MUNGU AKAKUTOKEE NA WEWE NA MIMI PIA ILI ATUTIE UFUNUO WA KUJUA MAKOSA YETU NA UKOMBOZI WAKE UPITE MOJA KWA MOJA.
Sylvester Mwakabende (0622625340)
#2026_Sisi_ndio_wale_tunao_piganiwa_na_Bwana.Ukiona unafanya jambo usilo lipenda ni uhakika wa wazi kuwa kuna jambo bado ujalijua kuhusu zambi ,kwa lugha rahisi zambi imeikalia nafsi yako na kuiongoza. #Warumi 7:18-19 [18]Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema; kwa kuwa kutaka nataka, bali kutenda lililo jema sipati. [19]Kwa maana lile jema nilipendalo, silitendi; bali lile baya nisilolipenda ndilo nilitendalo. . Ndiyo sababu gheto unaenda kwa moyo wako wote ,nguo mnavua vizuri pamoja na ni wanakwaya mkimaliza kuzini unakuta mmoja anaanza kumlaumu mwenzake kuwa tamaa zako zimetuponza tumezini. Siyo kuwa tamaa zimewaponza ni kuwa either kuna jambo ujajua kuhusu zinaa ambalo ungelijua usinge thubutu kujitoa ufahamu kwenda getho la mtu na unaenda peke yako kabisa. #Chanzo ni nini ni kadiri unavyotaka kutumia akiri zako ndivyo unavyo fungua mlango wa shetani kukushanbulia kupitia ujinga wako. #Kumbe kama ungemuangalia Yusuph alicho fanya ungejua uzinzi hatuneni kwa lugha na kubakia hapo hapo tunakimbia mbali kabisa kwa kuwa usipo kimbia mwili wako utazidiwa na matokeo yako utaanguka. #Mwanzo 39:11-12 [11]Ikawa, siku moja, akaingia nyumbani atende kazi yake, wala hapakuwa na mtu katika watu wa nyumbani humo ndani; [12]huyo mwanamke akamshika nguo zake, akisema, Lala nami. Yusufu akaiacha nguo yake mkononi mwake, akakimbia, akatoka nje. Hii ndiyo sababu biblia inasema pia ikimbieni zinaa 1 Wakorintho 6:18 [18]Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe. #Ukishindwa kukimbia shetani atakukamata . Lengo ni nini nimesema kila aliye shinda zambi au jambo furani kuna ufahamu anao ambao wewe una. Jitahidi kutafuta maarifa kuna aina ya zambi hazitoki kwa maombi peke yake bila kujua kanuni ya kushinda iyo zambi. Kitakacho tokea ni kuwa unaomba sana lakini ukitoka kuomba shetani anakuletea tena zambi ile ile na unaanguka tena #Shetani aogopi kipawa au karama uliyo nayo kuhusu kukushambulia ila anaogopa maarifa uliyo nayo kuhusu ilo jambo.Kadiri unavyo juuw siri nyingi juu ya jambo fulani ndivyo unavyo funga mlango wa mahambulizi ya shetani. Isaya amekuwa nabii lakini kila siku alikuwa nabii lakini pia ana midomo michafu mpaka siku alipo pata ufunuo ambao uliambatana na ukombozi ndio akaendelea kuwa mtu safi. Isaya 6:5-7 [5]Ndipo niliposema, Ole wangu! Kwa maana nimepotea; kwa sababu mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu; na macho yangu yamemwona Mfalme, BWANA wa majeshi. [6]Kisha mmoja wa maserafi wale akaruka akanikaribia; naye alikuwa na kaa la moto mkononi mwake, ambalo alikuwa amelitwaa kwa makoleo toka juu ya madhabahu; [7]akanigusa kinywa changu kwa kaa hilo, akaniambia, Tazama, hili limekugusa midomo yako, na uovu wako umeondolewa, na dhambi yako imefunikwa. Ukombozi wa Isaya ulitegemea sana na ufunuo alio pokea siku hiyi maana kila siku aliendelea kuwa nabii lakin kumbe kuna jambo liko nyuma ya pazia na ndicho kizuizi chake. MUNGU ALIYE MTOKEA ISAYA KATIKA ULE MWAKA WA KUFA KWA MFALME UZIA NDIO MUNGU AKAKUTOKEE NA WEWE NA MIMI PIA ILI ATUTIE UFUNUO WA KUJUA MAKOSA YETU NA UKOMBOZI WAKE UPITE MOJA KWA MOJA. Sylvester Mwakabende (0622625340) #2026_Sisi_ndio_wale_tunao_piganiwa_na_Bwana.0 Comments 0 Shares 649 Views -
Viagra Headache? Quick Relief Tips You Need to KnowViagra Headache? Quick Relief Tips You Need to Know0 Comments 0 Shares 74 Views
-
How to Prevent a Headache After Taking Viagra?How to Prevent a Headache After Taking Viagra?0 Comments 0 Shares 91 Views