Результаты поиска
Все результаты
Socialpop Socialpop Socialpop
Главная
Группы
Страницы
Marketplace
Больше
Группы Страницы Marketplace Мероприятия Статьи пользователей Funding Offers Jobs Courses Форумы Кинозал
Вступить
Войти Регистрация
Theme Switcher
Ночной режим
Каталог
Пользователи
Записей
Страницы
Группы
Мероприятия
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-04-02 20:49:21 ·
    "Simba SC wamepoteza lakini HII WANAVUKA, NO DOUBT. Sioni Al Masry wakileta ubishi kwa Mkapa, dhahiri watatii Sheria iwe kwa shuruti au bila shuruti. Heads up boys, come finish your job. TANZANIA KWANZA" - Jemedari Said, Mchambuzi.

    "Simba SC wamepoteza lakini HII WANAVUKA, NO DOUBT. Sioni Al Masry wakileta ubishi kwa Mkapa, dhahiri watatii Sheria iwe kwa shuruti au bila shuruti. Heads up boys, come finish your job. TANZANIA 🇹🇿 KWANZA" - Jemedari Said, Mchambuzi.
    Like
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·908 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Molly Wilson @mollywilson обновить изображение профиля
    2025-04-03 06:14:54 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·278 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-04-03 06:28:50 ·
    Muigizaji maarufu na Mkongwe Duniani, Jean-Claude Van Damme anakabiliwa na mashtaka ya kujibu baada ya kudaiwa kufanya ngono na Wanawake waliotekwa nyara Nchini Romania .

    Kwa mujibu wa CNN, Idara ya Romania ya Uchunguzi wa Uhalifu wa kupangwa na Ugaidi (DIICOT) imewasilisha malalamiko ya jinai dhidi ya Van Damme, ikidai alifanya ngono kwa kujua na Wanawake kadhaa waliokuwa wakitumiwa katika biashara haramu ya ngono.

    Kulingana na ripoti hiyo, Mwigizaji huyo Raia wa Ubelgiji anadaiwa kukutana na Watu kadhaa ambao pia wanachunguzwa kwa uhalifu wa usafirishaji wa Binadamu, ambao walimpa fursa ya kufanya ngono na Wanamitindo watano (5) wa Kiromania kama zawadi.

    Tukio hilo linaripotiwa kutokea Cannes Nchini Ufaransa hivyo, Serikali ya hiyo inapaswa kuidhinisha mashitaka hayo ya jinai lakini haikuwekwa wazi ni lini tukio hilo lilitokea hapo Ufaransa.

    Muigizaji maarufu na Mkongwe Duniani, Jean-Claude Van Damme anakabiliwa na mashtaka ya kujibu baada ya kudaiwa kufanya ngono na Wanawake waliotekwa nyara Nchini Romania 🇷🇴. Kwa mujibu wa CNN, Idara ya Romania ya Uchunguzi wa Uhalifu wa kupangwa na Ugaidi (DIICOT) imewasilisha malalamiko ya jinai dhidi ya Van Damme, ikidai alifanya ngono kwa kujua na Wanawake kadhaa waliokuwa wakitumiwa katika biashara haramu ya ngono. Kulingana na ripoti hiyo, Mwigizaji huyo Raia wa Ubelgiji 🇧🇪 anadaiwa kukutana na Watu kadhaa ambao pia wanachunguzwa kwa uhalifu wa usafirishaji wa Binadamu, ambao walimpa fursa ya kufanya ngono na Wanamitindo watano (5) wa Kiromania kama zawadi. Tukio hilo linaripotiwa kutokea Cannes Nchini Ufaransa 🇫🇷 hivyo, Serikali ya hiyo inapaswa kuidhinisha mashitaka hayo ya jinai lakini haikuwekwa wazi ni lini tukio hilo lilitokea hapo Ufaransa.
    Like
    Love
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·811 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Molly Wilson @mollywilson добавлена новая статья in Health
    2025-04-03 07:22:08 ·
    Fildena 100 (Sildenafil) - Uses, Side Effects, and More
    Fildena 100 Purple Pills is a formulation of sildenafil citrate. Erectile dysfunction (ED) can have a significant impact on men’s self-confidence and relationships. It restores intimacy and satisfaction in their relationships. It is the same active ingredient found in Viagra. It increases blood flow to the penis and helps men overcome ED naturally during sexual arousal.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·780 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-04-03 08:04:14 ·
    Msemaji wa klabu ya Yanga SC, Ali Kamwe alikamatwa na Jeshi Polisi baada ya mchezo wao dhidi ya klabu ya Tabora United majira ya saa saba na nusu usiku wa kuamkia leo hii. Ali Kamwe alipelekwa kituo kikubwa cha Polisi cha Mkoa na amelala ndani hapo na hadi sasa bado hajaachiwa.

    Viongozi wa Yanga SC bado wanaendelea kufanya jitihada za kumtoa Ali Kamwe hapo haijawekwa bayana makosa aliyoyafanya Msemaji huyo. Taarifa iliyopo ni kuwa, inadaiwa Ali Kamwe alitoa kauli isiyokuwa nzuri kipindi anamjibu Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha kabla ya mechi kama sehemu ya utani baada ya Mkuu huyo kutoa ahadi ya Shilingi milioni sitini (60) endapo klabu ya Tabora United ikimfunga Yanga SC ambapo mchezo ulimalizika kwa ushindi wa Yanga SC wa mabao matatu kwa bila (0-3).

    Msemaji wa klabu ya Yanga SC, Ali Kamwe alikamatwa na Jeshi Polisi baada ya mchezo wao dhidi ya klabu ya Tabora United majira ya saa saba na nusu usiku wa kuamkia leo hii. Ali Kamwe alipelekwa kituo kikubwa cha Polisi cha Mkoa na amelala ndani hapo na hadi sasa bado hajaachiwa. Viongozi wa Yanga SC bado wanaendelea kufanya jitihada za kumtoa Ali Kamwe hapo haijawekwa bayana makosa aliyoyafanya Msemaji huyo. Taarifa iliyopo ni kuwa, inadaiwa Ali Kamwe alitoa kauli isiyokuwa nzuri kipindi anamjibu Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha kabla ya mechi kama sehemu ya utani baada ya Mkuu huyo kutoa ahadi ya Shilingi milioni sitini (60) endapo klabu ya Tabora United ikimfunga Yanga SC ambapo mchezo ulimalizika kwa ushindi wa Yanga SC wa mabao matatu kwa bila (0-3).
    Like
    Wow
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·688 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-04-03 08:04:33 ·
    "Ni kweli tunamshikilia Ali Kamwe ambaye ni Msemaji wa Klabu ya Yanga na tunamfanyia mahojiano kwa tuhuma za kutoa maneno machafu kwa Viongozi wa Serikali na tutatoa taarifa rasmi baada ya mahojiano kukamilika" - RPC Richard Abwao, Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani wa Tabora.

    "Ni kweli tunamshikilia Ali Kamwe ambaye ni Msemaji wa Klabu ya Yanga na tunamfanyia mahojiano kwa tuhuma za kutoa maneno machafu kwa Viongozi wa Serikali na tutatoa taarifa rasmi baada ya mahojiano kukamilika" - RPC Richard Abwao, Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani wa Tabora.
    Like
    3
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·645 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Ally Syd @Allysyd обновить изображение профиля
    2025-04-03 14:31:13 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·241 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Rosemary Khong @Rosemary1
    2025-04-03 14:38:18 ·
    I real love you..
    I real love you..❤️❤️❤️❤️
    1 Комментарии ·0 Поделились ·528 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Duduu Mendez @Duduu_mendez добавлены фото
    2025-04-03 15:16:59 ·
    HOW TO DEPLOY WHATSAPP BOT FOR FREE ONLINE 24/7

    Watch this video
    https://m.youtube.com/watch?v=7NFWBdXHpw8


    Deployment Site
    https://host.talkdrove.com/auth/signup?ref=E565C590




    #DUDUU_MENDEZ
    #DML_TECH
    HOW TO DEPLOY WHATSAPP BOT FOR FREE ONLINE 24/7 Watch this video https://m.youtube.com/watch?v=7NFWBdXHpw8 Deployment Site https://host.talkdrove.com/auth/signup?ref=E565C590 #DUDUU_MENDEZ #DML_TECH
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·921 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Soccer Sports @2024pesa добавлены фото
    2025-04-03 22:09:04 ·
    Jifunze namna ya kucheza free kick kupitia gemu la NBC PREMIER LEAGUE
    Pakua gemu Bure
    https://mabillioneatips.wordpress.com/2024/10/17/pakua-gemu-la-2024-2025/
    Jifunze namna ya kucheza free kick kupitia gemu la NBC PREMIER LEAGUE 👇 Pakua gemu Bure https://mabillioneatips.wordpress.com/2024/10/17/pakua-gemu-la-2024-2025/
    Love
    Like
    3
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·766 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (23901-23910 из 27088)
  • «
  • Назад
  • 2389
  • 2390
  • 2391
  • 2392
  • 2393
  • Далее
  • »
Обновить до Про
Выберите подходящий план
Обновить
© 2025 Socialpop
Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог Разработчики