• Kuna umri utaufikisha utagundua kupata Mwanamke wa kuoa sio jambo Jepesi, Ila wepesi upo kupata Mwanamke.
    Kuna umri utaufikisha utagundua kupata Mwanamke wa kuoa sio jambo Jepesi, Ila wepesi upo kupata Mwanamke.
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·11 Vue
  • Hauna mikosi, Punguza watu wasiojielewa Kwenye Maisha Yako.
    Hauna mikosi, Punguza watu wasiojielewa Kwenye Maisha Yako.
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·13 Vue
  • Walioaminiwa mwanzo wakavunja uaminifu, Ndio hao wanafanya Tusiaminiwe Tena.
    Walioaminiwa mwanzo wakavunja uaminifu, Ndio hao wanafanya Tusiaminiwe Tena.
    Like
    Wow
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·13 Vue
  • HAKUNA TOFAUTI KATI YA MAMA YANGU NA MOYO WANGU-VYOTE WAMWEKA HAI.

    Yeye sio tu mwanamke aliyenipa maisha-
    Yeye ni maisha yangu.

    Kama mapigo ya moyo wangu, upendo wake ni wa kudumu.
    Kama pumzi yangu, sala zake hazijulikani - lakini zinanibeba kupitia dhoruba.
    Nguvu zake zimekuwa mdundo ambao uliniweka thabiti wakati ulimwengu ulitetemeka chini yangu.

    Alinishikilia nilipokuwa mchanga sana kuelewa ulimwengu ...
    Na bado ananishikilia sasa, ikiwa tu kwa maneno yake, hekima yake, ukimya wake unaosema "Najua."

    Aliacha usingizi kwa ajili ya ndoto zangu, machozi kwa tabasamu langu, faraja kwa faraja yangu.
    Hakuwahi kuuliza chochote kama malipo, lakini alinipa kila kitu.

    Upendo wake? Aina ambayo haina kelele.
    Ni kimya. Imara. Mtakatifu.

    Kwa hivyo ninaposema hakuna tofauti kati ya mama yangu na moyo wangu,
    Namaanisha kila neno.
    Kwa sababu bila yoyote—ningeacha tu kuwa.

    #WeweNdiweMaishaYangu#
    #MamaYanguMoyoWangu#
    #Upendo Usio na Masharti
    #MileleAsante#
    #MamaNiNyumbaYangu#
    #MaishaKwasababuYake#
    HAKUNA TOFAUTI KATI YA MAMA YANGU NA MOYO WANGU-VYOTE WAMWEKA HAI. Yeye sio tu mwanamke aliyenipa maisha- Yeye ni maisha yangu. Kama mapigo ya moyo wangu, upendo wake ni wa kudumu. Kama pumzi yangu, sala zake hazijulikani - lakini zinanibeba kupitia dhoruba. Nguvu zake zimekuwa mdundo ambao uliniweka thabiti wakati ulimwengu ulitetemeka chini yangu. Alinishikilia nilipokuwa mchanga sana kuelewa ulimwengu ... Na bado ananishikilia sasa, ikiwa tu kwa maneno yake, hekima yake, ukimya wake unaosema "Najua." Aliacha usingizi kwa ajili ya ndoto zangu, machozi kwa tabasamu langu, faraja kwa faraja yangu. Hakuwahi kuuliza chochote kama malipo, lakini alinipa kila kitu. Upendo wake? Aina ambayo haina kelele. Ni kimya. Imara. Mtakatifu. Kwa hivyo ninaposema hakuna tofauti kati ya mama yangu na moyo wangu, Namaanisha kila neno. Kwa sababu bila yoyote—ningeacha tu kuwa. #WeweNdiweMaishaYangu# #MamaYanguMoyoWangu# #Upendo Usio na Masharti #MileleAsante# #MamaNiNyumbaYangu# #MaishaKwasababuYake#
    Love
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·13 Vue
  • NUKUU YA FALSAFA YA USTOA

    "Si aishiye kwa muda mrefu , aliye ishi miaka mingi , bali aliye yaishi maisha kwa busara " Seneca

    Kuna umuhimu sana katika ubora wa maisha tunayo ishi kuliko urefu wake, si katika sifa za kuwapo kwa miaka mingi lakini katika sifa za kuonesha kuwa uliishi kwa maana

    Kihitaji kila wakati kuwa na maisha marefu bila undani ni upotezi wa hitaji hilo, ndiyo maana si kila Mzee ameyaelewa maisha na si kila aliye ishi kwa muda mrefu basi ni hakika ameyaelewa maisha, wengine huishi kama wazimu hata sehemu ya maisha yao hawachukui nafasi ya ukuu wao

    Lazima unapo amka ufahamu thamani ya siku yako , kujua hivyo ni kuelewa sababu ya uwepo wako ulimwenguni. Ishi kwa kusudi, kutafakari na kutenda. Jipe sanaa ya kujitazama upya ili uishi .

    Je ukiambiwa leo ni siku yako ya mwisho utajivunia leo?Kwa kuishi maisha huyafanya kuwa marefu licha ya kutokuwa hakika , kwasababu tunahitajika kukumbatia wakati ulio tupa thamani , kuishi katika wakati wa sasa kunamaanisha kuwa huru katika kutumiza kusudi
    NUKUU YA FALSAFA YA USTOA "Si aishiye kwa muda mrefu , aliye ishi miaka mingi , bali aliye yaishi maisha kwa busara " Seneca Kuna umuhimu sana katika ubora wa maisha tunayo ishi kuliko urefu wake, si katika sifa za kuwapo kwa miaka mingi lakini katika sifa za kuonesha kuwa uliishi kwa maana Kihitaji kila wakati kuwa na maisha marefu bila undani ni upotezi wa hitaji hilo, ndiyo maana si kila Mzee ameyaelewa maisha na si kila aliye ishi kwa muda mrefu basi ni hakika ameyaelewa maisha, wengine huishi kama wazimu hata sehemu ya maisha yao hawachukui nafasi ya ukuu wao Lazima unapo amka ufahamu thamani ya siku yako , kujua hivyo ni kuelewa sababu ya uwepo wako ulimwenguni. Ishi kwa kusudi, kutafakari na kutenda. Jipe sanaa ya kujitazama upya ili uishi . Je ukiambiwa leo ni siku yako ya mwisho utajivunia leo?Kwa kuishi maisha huyafanya kuwa marefu licha ya kutokuwa hakika , kwasababu tunahitajika kukumbatia wakati ulio tupa thamani , kuishi katika wakati wa sasa kunamaanisha kuwa huru katika kutumiza kusudi
    0 Commentaires ·0 Parts ·12 Vue
  • Mchana mwema
    Mchana mwema✍️
    0 Commentaires ·0 Parts ·7 Vue