• Like
    Love
    4
    · 0 Comments ·0 Shares ·251 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·523 Views
  • 6/21 .MTAKATIFU ANAYE ISHI.

    Utakatifu ni kitendo cha kutakaswa. na kutakaswa ni kuwa safi .
    Kiebrania HAGOIS usimama kama maneno ,vitu na watu waliotengwa kwa ajiri ya Mungu.

    1samweli 2:2
    *Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA; Kwa maana hakuna yeyote ila wewe, Wala hakuna mwamba kama Mungu wetu*

    Fasiri stahiki ni kuwa Mungu ana viwango vyake vya utakatifu tofauti na sisi wanadamu .

    Lengo la Mungu kumuumba mwanadamu ilikuwa awe copy yake au mfano wake .
    Mwanzo 2:27
    *Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba*

    Kama sisi tu mfano au mfanano na Mungu wetu kwa asili ni mtakatifu kumbe hata sisi yatupasa kuwa watakatifu.

    Lawi 19:2.
    *Nena na mkutano wote wa wana wa Israeli, uwaambie, Mtakuwa watakatifu; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wenu, ni mtakatifu*

    Kuna watu sababu ya uelewa wao mkubwa utasikia hilo ni agano la kale sisi tuko ndani ya neema .

    Ok Petro mtume na shujaa aliye kabidhiwa kanisa na Kristo mwenyewe ananukuu

    1 Petro 1:15-16
    *Bali mnapaswa kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote, kama vile yule aliyewaiteni ni mtakatifu. Maandiko yasema: “Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi alivyo mtakatifu.”*
    Utakatifu ndio unao tusogeza njia ya ukamolifu.
    Yesu mwenyewe anaonyesha
    Mathayo 5:48 NIV
    *Basi, muwe wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.*

    Na ili uwe mkamilifu kama Mungu lazima uwe mtakatifu.

    Utakatifu kwetu si tukio u pendekezo bali ni maisha ya mwamini.

    *Sababu ya kanisa kukosa utakatifu tumezalisha kizazi cha kuombewa kila siku na hata wakati mwingine tunaishi na shida zetu sababu tumeshindwa mlingana mungu.*

    *Utakatifu kwa mwokovu ni swala la lazima na siyo hiari*

    Nakupenda wewe jasiri wa imani ambaye unamtafuta Mungu kuliko chochote kile na mungu lazima atakujibu tu kama hautazimia moyo.

    Kama wafuasi wa maisha ya kristo lazima utuishi katika utakatifu kwani ndiyo toka uumbaji MAPENZI yake MUNGU.

    Neno neema lisikuponze kiasi cha kuona kuwa upaswi kuishi kwa utakatifu ni kujipotezea muda wewe mwenyewe .

    Bwana awezi kuwa mkuu kwako ikiwa wewe uwezi kumuheshimu kiwango anacho stahili.

    Nazungumza na mtu mmoja ambaye ni praise team lakini pia kila weekend anazini kamwe uwezi muona Mungu sawa sawa na mapenzi yake.

    Kaka ukichagua kuokokz lazima uwe mtakatifu unayeishi duniani .

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka BUILD NEW EDEN

    #build new eden
    #restore men position
    6/21 .MTAKATIFU ANAYE ISHI. Utakatifu ni kitendo cha kutakaswa. na kutakaswa ni kuwa safi . Kiebrania HAGOIS usimama kama maneno ,vitu na watu waliotengwa kwa ajiri ya Mungu. 1samweli 2:2 *Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA; Kwa maana hakuna yeyote ila wewe, Wala hakuna mwamba kama Mungu wetu* Fasiri stahiki ni kuwa Mungu ana viwango vyake vya utakatifu tofauti na sisi wanadamu . Lengo la Mungu kumuumba mwanadamu ilikuwa awe copy yake au mfano wake . Mwanzo 2:27 *Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba* Kama sisi tu mfano au mfanano na Mungu wetu kwa asili ni mtakatifu kumbe hata sisi yatupasa kuwa watakatifu. Lawi 19:2. *Nena na mkutano wote wa wana wa Israeli, uwaambie, Mtakuwa watakatifu; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wenu, ni mtakatifu* Kuna watu sababu ya uelewa wao mkubwa🤣 utasikia hilo ni agano la kale sisi tuko ndani ya neema . Ok Petro mtume na shujaa aliye kabidhiwa kanisa na Kristo mwenyewe ananukuu 1 Petro 1:15-16 *Bali mnapaswa kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote, kama vile yule aliyewaiteni ni mtakatifu. Maandiko yasema: “Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi alivyo mtakatifu.”* Utakatifu ndio unao tusogeza njia ya ukamolifu. Yesu mwenyewe anaonyesha Mathayo 5:48 NIV *Basi, muwe wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.* Na ili uwe mkamilifu kama Mungu lazima uwe mtakatifu. Utakatifu kwetu si tukio u pendekezo bali ni maisha ya mwamini. *Sababu ya kanisa kukosa utakatifu tumezalisha kizazi cha kuombewa kila siku na hata wakati mwingine tunaishi na shida zetu sababu tumeshindwa mlingana mungu.* *Utakatifu kwa mwokovu ni swala la lazima na siyo hiari* Nakupenda wewe jasiri wa imani ambaye unamtafuta Mungu kuliko chochote kile na mungu lazima atakujibu tu kama hautazimia moyo. Kama wafuasi wa maisha ya kristo lazima utuishi katika utakatifu kwani ndiyo toka uumbaji MAPENZI yake MUNGU. Neno neema lisikuponze kiasi cha kuona kuwa upaswi kuishi kwa utakatifu ni kujipotezea muda wewe mwenyewe . Bwana awezi kuwa mkuu kwako ikiwa wewe uwezi kumuheshimu kiwango anacho stahili. Nazungumza na mtu mmoja ambaye ni praise team lakini pia kila weekend anazini kamwe uwezi muona Mungu sawa sawa na mapenzi yake. Kaka ukichagua kuokokz lazima uwe mtakatifu unayeishi duniani . Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka BUILD NEW EDEN #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·191 Views
  • MTAKATIFU ANAYE ISHI PART TWO.

    MTAZAMO CHANYA KUHUSU UTAKATIFU.

    1.*UTAKATIFU NI KUTENGWA*(KUKUBALI KUACHA)

    Dunia inamtazamo wake kuhusu utakatifu na Mbingu pia ina mtazamo wake kuhusu utakatifu.

    *Kitendo cha biblia kukufahamu kama mtakatifu ni lazima Mungu awe amekutenga kwa kusudi maalamu.*

    Kila aliye okoka ni kiungo katika kuukamilisha mwili wa Kristo katika eneo alilo itiwa .inaweza kuwa uchungaji ,ualimu ,uinjiristi ,,biashara ,siasa , utumishi wa uma nk .

    *Na nieleweke zaidi ninapo sema "Kutengwa" au "kuitwa '' simahanishi kuwa muhudumu wa madhabau peke yake hapana na maanisha kila jambo unalo lifanya ukiokoka na ukafanya sawa sawa na mapenzi ya Mungu ndio wito wako wengine wameitwa kuwa wafanya biashara ,wengine watawala ,wengine wachungaji ,wengine ni wasomi na washauri ko kila mmoja katika gield yake anapaswa kujua ametengwa na "Mungu kuwa mtakatifu"*

    Warumi 1:1 *Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu*

    Paulo yeye alitengwa kwa ajiri ya injiri ya mataifa ,mimi sijui wewe umeitwa katika karia gani ila najenga msingi kuwa katika field uliyo itwa Bwana amekutenga uwe mtakatifu.

    Warumi 12:2. *Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.*

    Kumbuka kuwa Mungu alimuumba mwanadamu ili awe mkamirifu .

    Ndo mana ni rahisi sana kwa mtucasite jua wokovu kuona kama utakatifu unapaswa kuzingatiwa na makuhani peke yake ,

    *Lakini uhalisia utakatifu ni maisha ya mwamini kila wakati na mwamini lazima ujue wewe ni barua unasomwa na wengi*

    Mifano ya watu ambao hawakuwa makuhani wala manabii ila waliupendeza moyo wa Mungu .

    *-Daudi alipendezwa na Mungu na akuwa kuhani wala nabii alikuwa mwanasiasa (mfalme) wa nchi lakini kiwango cha unyenyekevu wake kilimpendeza Mungu.*

    -Daniel akuwa nabii lakini alikuwa mwanasiasa kwa maana ya (ukuu wa wilaya) lugha nyepesi kada wa mlengo wa mfalme (mwanasiasa) lakini alisimama na kukubali kutengwa na kutimiza kusudi la Mungu ata katika ugenini.

    Danieli 10:12. *Aliitwa apendwaye sana sibahati bali ni kwa sababu alikubali kujitenga na kuishi utakatifu , ni wewe tu mwokovu wa leo unaona kama kuishi utakatifu haiwezekani .*

    -Yusuph alikuwa si muhubiri pia wala kuhani lakini alichagua kujitenga na uharibifu wa zinaa na alikuwa mwanasiasa karsmatic leader ko ni wewe tu blaza unatumia ushawishi wako vibaya .

    *Ok nataka kusema hivi kama kila mtu ataamua kuwa barua ya kristo katika eneo alilo itiwa basi jua kabisa tutmpendeza Mungu cna baraka zitatufuata duniani kisha uzima wa milele .*

    Utakatifu ni maisha siyo tukio ukiweza kujua hilo basi utakuwa uleishu kadiri roho apendavyo.

    Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden ) kwa mafundisho zaidi unaweza nitafuta kwa namba 0622625340 ni ku add kwenye mfululizo wa mafundisho .

    #build new eden
    #restore men position
    MTAKATIFU ANAYE ISHI PART TWO. MTAZAMO CHANYA KUHUSU UTAKATIFU. 1.*UTAKATIFU NI KUTENGWA*(KUKUBALI KUACHA) Dunia inamtazamo wake kuhusu utakatifu na Mbingu pia ina mtazamo wake kuhusu utakatifu. *Kitendo cha biblia kukufahamu kama mtakatifu ni lazima Mungu awe amekutenga kwa kusudi maalamu.* Kila aliye okoka ni kiungo katika kuukamilisha mwili wa Kristo katika eneo alilo itiwa .inaweza kuwa uchungaji ,ualimu ,uinjiristi ,,biashara ,siasa , utumishi wa uma nk . *Na nieleweke zaidi ninapo sema "Kutengwa" au "kuitwa '' simahanishi kuwa muhudumu wa madhabau peke yake hapana na maanisha kila jambo unalo lifanya ukiokoka na ukafanya sawa sawa na mapenzi ya Mungu ndio wito wako wengine wameitwa kuwa wafanya biashara ,wengine watawala ,wengine wachungaji ,wengine ni wasomi na washauri ko kila mmoja katika gield yake anapaswa kujua ametengwa na "Mungu kuwa mtakatifu"* Warumi 1:1 *Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu* Paulo yeye alitengwa kwa ajiri ya injiri ya mataifa ,mimi sijui wewe umeitwa katika karia gani ila najenga msingi kuwa katika field uliyo itwa Bwana amekutenga uwe mtakatifu. Warumi 12:2. *Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.* Kumbuka kuwa Mungu alimuumba mwanadamu ili awe mkamirifu . Ndo mana ni rahisi sana kwa mtucasite jua wokovu kuona kama utakatifu unapaswa kuzingatiwa na makuhani peke yake , *Lakini uhalisia utakatifu ni maisha ya mwamini kila wakati na mwamini lazima ujue wewe ni barua unasomwa na wengi* Mifano ya watu ambao hawakuwa makuhani wala manabii ila waliupendeza moyo wa Mungu . *-Daudi alipendezwa na Mungu na akuwa kuhani wala nabii alikuwa mwanasiasa (mfalme) wa nchi lakini kiwango cha unyenyekevu wake kilimpendeza Mungu.* -Daniel akuwa nabii lakini alikuwa mwanasiasa kwa maana ya (ukuu wa wilaya) lugha nyepesi kada wa mlengo wa mfalme (mwanasiasa) lakini alisimama na kukubali kutengwa na kutimiza kusudi la Mungu ata katika ugenini. Danieli 10:12. *Aliitwa apendwaye sana sibahati bali ni kwa sababu alikubali kujitenga na kuishi utakatifu , ni wewe tu mwokovu wa leo unaona kama kuishi utakatifu haiwezekani .* -Yusuph alikuwa si muhubiri pia wala kuhani lakini alichagua kujitenga na uharibifu wa zinaa na alikuwa mwanasiasa karsmatic leader ko ni wewe tu blaza unatumia ushawishi wako vibaya . *Ok nataka kusema hivi kama kila mtu ataamua kuwa barua ya kristo katika eneo alilo itiwa basi jua kabisa tutmpendeza Mungu cna baraka zitatufuata duniani kisha uzima wa milele .* Utakatifu ni maisha siyo tukio ukiweza kujua hilo basi utakuwa uleishu kadiri roho apendavyo. Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden ) kwa mafundisho zaidi unaweza nitafuta kwa namba 0622625340 ni ku add kwenye mfululizo wa mafundisho . #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Another day same me 🤦🏿‍♂️
    Another day same me 🤦🏿‍♂️
    Like
    Haha
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·574 Views
  • 8/21 NGUVU YA MSAMAHA.

    Msamaha si tukio la kimwili bali ni tukio la kiroho .

    Mungu mwenyewe ndo mwenye asili ya msamaha hivyo basi kukosa ndo tabia ya mwanadamu lakini kusamehe ni tabia ya mungu mwenyewe.
    Efeso 4:32 BHN
    *Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe mwenzake kama naye Mungu alivyowasamehe*

    Moja y ishara inayo thibitisha upendo wetu kwa Mungu ni msamaha ,tunasamehe ili tumuone Mungu katika namna ya upendo wake .

    Lawi 19:18
    *Usifanye kisasi, wala kuwa na kinyongo juu ya wana wa watu wako; bali umpende jirani yako kama nafsi yako; Mimi ndimi BWANA.*

    *Kumbe msamaha uashiria upendo na upendo ni Amri kuu ambayo Mungu alituachia ya kuwa yatupasa pendana*

    *Atusamehe ili tumnufaishe aliye tukosea tunasamehe ili tumuone Mungu katika maisha yetu*

    Kwanini tunasamehe.

    1.kusamehe kuna kupa fursa ya kusamehewa makosa yako
    Mathayo 6:12 *Na utusamehe makosa yetu kama sisi tulivyokwisha kuwa samehe waliotukosea*

    2.kusamehe kunakupa fursa ya kusikilizwa maombi yako .
    Isaya 59:1-2

    Kumbe ili kusamehewa na Mungu wetu ni lazima wewe usamehe pia.

    3.kusamehe kunaweza saidia kufungua mlango wa sadaka ili ipate kibali.
    Mathayo 5:23-24

    4.Msamaha ni mlango wa uponyaji wako .yakobo5:14-15

    5.Msamaha ni mlango wa baraka katika maisha yako
    mwanzo 37:23-27

    6.Msamaha ni mlango wa wokovu kwa watu wengine.
    Luka 23:33-34
    Rumi 12:14

    Ko kumbe ukitizama vizuri tunasamehe kwa ajiri ya kutimiza kusudi lake Mungu wetu.

    *Jifunze kusamehe ili utumiwe na Mungu na kusikilizwa haja zako.*

    Ahsante naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #Restoremenposition
    8/21 NGUVU YA MSAMAHA. Msamaha si tukio la kimwili bali ni tukio la kiroho . Mungu mwenyewe ndo mwenye asili ya msamaha hivyo basi kukosa ndo tabia ya mwanadamu lakini kusamehe ni tabia ya mungu mwenyewe. Efeso 4:32 BHN *Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe mwenzake kama naye Mungu alivyowasamehe* Moja y ishara inayo thibitisha upendo wetu kwa Mungu ni msamaha ,tunasamehe ili tumuone Mungu katika namna ya upendo wake . Lawi 19:18 *Usifanye kisasi, wala kuwa na kinyongo juu ya wana wa watu wako; bali umpende jirani yako kama nafsi yako; Mimi ndimi BWANA.* *Kumbe msamaha uashiria upendo na upendo ni Amri kuu ambayo Mungu alituachia ya kuwa yatupasa pendana* *Atusamehe ili tumnufaishe aliye tukosea tunasamehe ili tumuone Mungu katika maisha yetu* Kwanini tunasamehe. 1.kusamehe kuna kupa fursa ya kusamehewa makosa yako Mathayo 6:12 *Na utusamehe makosa yetu kama sisi tulivyokwisha kuwa samehe waliotukosea* 2.kusamehe kunakupa fursa ya kusikilizwa maombi yako . Isaya 59:1-2 Kumbe ili kusamehewa na Mungu wetu ni lazima wewe usamehe pia. 3.kusamehe kunaweza saidia kufungua mlango wa sadaka ili ipate kibali. Mathayo 5:23-24 4.Msamaha ni mlango wa uponyaji wako .yakobo5:14-15 5.Msamaha ni mlango wa baraka katika maisha yako mwanzo 37:23-27 6.Msamaha ni mlango wa wokovu kwa watu wengine. Luka 23:33-34 Rumi 12:14 Ko kumbe ukitizama vizuri tunasamehe kwa ajiri ya kutimiza kusudi lake Mungu wetu. *Jifunze kusamehe ili utumiwe na Mungu na kusikilizwa haja zako.* Ahsante naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #Restoremenposition
    0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·247 Views
  • Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·245 Views
  • Tujuane tujenge connection ama bond zenye manufaa urafiki wenye faida kama mwanamke mzuri labd umepata mchumba muaminifu like me.
    Tujuane tujenge connection ama bond zenye manufaa urafiki wenye faida kama mwanamke mzuri labd umepata mchumba muaminifu like me.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·590 Views