0 Kommentare
·0 Anteile
·6 Ansichten
-
-
.DIRISHA LA USAJILI YANGA SC 2025 –2026 MABADILIKO MAKUBWA YAMEANZA KUFANYIKA MAPEMA!
Muda wa kujipanga upya kwa mashindano makubwa – NBCPL & CAF!
---
WALIOSAJILIWA (RASMI):
1. Feisal Salum – Kiungo mnyumbulifu anarudi nyumbani kuongoza mashambulizi.
2. Jonathan Sowah – Mshambuliaji hatari, amekuja kuvuruga mabeki!
3. Arthur Bada – Kiungo chipukizi wa Kitanzania mwenye vision ya juu.
4. Obasogie – Kipa mpya, ukuta mpya wa mabingwa.
---
WALIOUZWA (CONFIRMED):
Aziz Ki
Djigui Diarra
Clement Mzize
Yanga wamefanya biashara kubwa kuwatoa mastaa hawa baada ya mchango wao mkubwa.
---
HAWAMO KWENYE MPANGO:
Kennedy Musonda
Aboubakar Khomeiny
Yao Kouassi
Taarifa zinasema hawa jamaa hawapo tena kwenye ramani ya Yanga msimu ujao.
---
WANAOWINDWA:
Aishi Manula
Pascal Msindo
Kelvin Nashon
Henock Inonga Baka
Yanga wanataka kutengeneza mashine mpya ya ushindi.
---
WANAOFANYIWA TATHMINI (Loan/Exit):
Jonas Mkude
Aziz Andambwile
Sureboy
Farid Musa
Jonathan Ikangalombo
Mwalimu anatazama uwezo wao kabla ya kufanya maamuzi ya mwisho.
---
MABADILIKO YA KISHINDO – YANGA SC INAJIPANGA UPYA KIBINGWA!.DIRISHA LA USAJILI YANGA SC 2025 –2026 MABADILIKO MAKUBWA YAMEANZA KUFANYIKA MAPEMA! Muda wa kujipanga upya kwa mashindano makubwa – NBCPL & CAF! --- ✅ WALIOSAJILIWA (RASMI): 1. Feisal Salum – Kiungo mnyumbulifu anarudi nyumbani kuongoza mashambulizi. ✍️ 2. Jonathan Sowah – Mshambuliaji hatari, amekuja kuvuruga mabeki! ⚔️ 3. Arthur Bada – Kiungo chipukizi wa Kitanzania mwenye vision ya juu. 🔥 4. Obasogie – Kipa mpya, ukuta mpya wa mabingwa. 🧤 --- 🔁 WALIOUZWA (CONFIRMED): Aziz Ki Djigui Diarra Clement Mzize Yanga wamefanya biashara kubwa kuwatoa mastaa hawa baada ya mchango wao mkubwa. --- ⛔ HAWAMO KWENYE MPANGO: Kennedy Musonda Aboubakar Khomeiny Yao Kouassi Taarifa zinasema hawa jamaa hawapo tena kwenye ramani ya Yanga msimu ujao. --- 🎯 WANAOWINDWA: Aishi Manula Pascal Msindo Kelvin Nashon Henock Inonga Baka Yanga wanataka kutengeneza mashine mpya ya ushindi. --- 🕵️♂️ WANAOFANYIWA TATHMINI (Loan/Exit): Jonas Mkude Aziz Andambwile Sureboy Farid Musa Jonathan Ikangalombo Mwalimu anatazama uwezo wao kabla ya kufanya maamuzi ya mwisho. --- MABADILIKO YA KISHINDO – YANGA SC INAJIPANGA UPYA KIBINGWA!0 Kommentare ·0 Anteile ·5 Ansichten -
3.Virtue (MKE MWEMA)
Mke mwema ni gharama kumjua lakini mfalme suleiman alitusaidia kutupa quality za mke mwema .
mithali 31:10 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato
Mke mwema lazima awe multitasking.
Mke mwema ni yule ambaye anauliza kuhusu maono yako kabla ya kujua utajiri wako .kiufupi ababaishwi na ela yako anaangaika kujua maono yko ili ajue kama anaweza kukusaidia kuyatimiza au raha.
Unapaswa kutafuta mke ambaye ni mwalimu wa wanao ,mama wa watoto wako, na msaidizi wako .
Mke mwema anaweza pia akawa anafanya kazi na mume wake kapata economic crisis na familia ikaenda bila majirani kuona tofauti yeyote yaani mtoto anataka ela ya kiatu na yeye ndo anatoa lakini anampa mume wake ili awape watato ilo watoto waone baba bado ndo kichwa cha nyuma.
*Mke mwema khatu awezi wachukia ndugu za mume wake badala yake uwapenda na kiwakumbatia.*
Ok naitwa sylvester Mwakabende (kutoka Build new eden)
Kwa mafundisho zaidi unaweza save namba yangu 0622625340
#build new eden
Restoremenposition3.Virtue (MKE MWEMA) Mke mwema ni gharama kumjua lakini mfalme suleiman alitusaidia kutupa quality za mke mwema . mithali 31:10 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato Mke mwema lazima awe multitasking. Mke mwema ni yule ambaye anauliza kuhusu maono yako kabla ya kujua utajiri wako .kiufupi ababaishwi na ela yako anaangaika kujua maono yko ili ajue kama anaweza kukusaidia kuyatimiza au raha. Unapaswa kutafuta mke ambaye ni mwalimu wa wanao ,mama wa watoto wako, na msaidizi wako . Mke mwema anaweza pia akawa anafanya kazi na mume wake kapata economic crisis na familia ikaenda bila majirani kuona tofauti yeyote yaani mtoto anataka ela ya kiatu na yeye ndo anatoa lakini anampa mume wake ili awape watato ilo watoto waone baba bado ndo kichwa cha nyuma. *Mke mwema khatu awezi wachukia ndugu za mume wake badala yake uwapenda na kiwakumbatia.* Ok naitwa sylvester Mwakabende (kutoka Build new eden) Kwa mafundisho zaidi unaweza save namba yangu 0622625340 #build new eden Restoremenposition0 Kommentare ·0 Anteile ·22 Ansichten -
KWANI UMU KULIPWA MPAKA TUFIKISHE NGAPI MANA POINT NYINGI AD NATAMANI NITEKWEKWANI UMU KULIPWA MPAKA TUFIKISHE NGAPI MANA POINT NYINGI AD NATAMANI NITEKWE0 Kommentare ·0 Anteile ·3 Ansichten
-
THIS IS SIMBA 🦁 MNYAMAAA.... CONGRATULATIONS 👏🎉🎉🎉🎉 #sindaboyproentertainment #sokachampions0 Kommentare ·0 Anteile ·1 Ansichten
-
-
USIPO TIKI MKEKA HUU NAACHA BASHIRI KUANZIA LEO💯💯 #sokachampions #soccersports0 Kommentare ·0 Anteile ·2 Ansichten