0 Comentários
·0 Compartilhamentos
·7 Visualizações
-
0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·3 Visualizações
-
2 Mambo ya Nyakati 7:16
[16]Maana sasa nimeichagua nyumba hii na kuitakasa, ili kwamba jina langu lipate kuwako huko milele; yatakuwako na macho yangu, na moyo wangu daima.
Nyumba yako inaweza chaguliwa na Bwana n kutakaswa sababu cya wewe tu umemlingana Bwana.
Wewe unweza kuwa mwema mbele ya mbingu kiasi ambacho Mungu akaona iko sababu kuichagua nyumba yako yote .
Mungu alimwambia suleimani mambo hayo baada ya kufanya yaliyo adili machoni pako.
Ndio maana maandiko yanasema *"mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi"*
Lazima uwe mtu uliye chagua kutembea na Mungu katika kila hatua siyo mtu wa kutembea na Mungu nusu nusu ,hapana lazma uwe unatembea na Mungu jumla jumla.
Bwana akiichagua nyumba yako nakuitakasa inamaana kuna mambo mengi sana nyumba yako hawata itaji kutumia nguvu katika kuyafanya badala yake wanahitaji nguvu kidogo tu na matokeo makubwa sana.
Kama mke ni mtii na wa kumtafuta Mungu nyumba yake itaiitwa nyumba ya sala na nyumba ya hekima sababu tu ni mwanamke muombaji ..
Mithali 14:1-2
[1]Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake;
Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.
[2]Yeye aendaye kwa unyofu wake humcha BWANA;
Bali aliye mkaidi katika njia zake humdharau.
Wenye hekima ndiyo wanao chaguliwa na Bwana mke ambaye anaweza kusimama kuibeba ndoa yake katika kila hali .
Mke ambaye anaweza kubeba nyumba yake kwa maombi kuna mambo mengi watoto zake wanaeushwa sababu tu ya maombi yake yanapelekea Mungu kuichagua nyumba yake nz kuitakasa.
Mume mwenye hekima ni ulinzi tosha kwa familia sababu Mungu ndiye aliye mpa hekima na kuichagua nyumba yake lazima awe mtu wa matokeo tu.
Nyumba iliyo amua kutembea na bwana katika kila hali ina muomba Mungu tu
2 Mambo ya Nyakati 6:40
[40]Na sasa, Ee Mungu wangu, macho yako yafumbuke, nakusihi, masikio yako yakasikilize maombi yaombwayo mahali hapa.
Ni maombi yangu Bwana akufumbue macho ya hekima uenende na hekima yake na mwendelezo wa maarifa ya kiungu.
MUNGU amekuchagua ila wewe tu ndo unaogopa kutii na kufuata anayo yataka Mungu.
Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden
Karibu kujifunza neno lisilo goshiwa katika group letu la watsap.
https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
#restore men position
#build new eden2 Mambo ya Nyakati 7:16 [16]Maana sasa nimeichagua nyumba hii na kuitakasa, ili kwamba jina langu lipate kuwako huko milele; yatakuwako na macho yangu, na moyo wangu daima. Nyumba yako inaweza chaguliwa na Bwana n kutakaswa sababu cya wewe tu umemlingana Bwana. Wewe unweza kuwa mwema mbele ya mbingu kiasi ambacho Mungu akaona iko sababu kuichagua nyumba yako yote . Mungu alimwambia suleimani mambo hayo baada ya kufanya yaliyo adili machoni pako. Ndio maana maandiko yanasema *"mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi"* Lazima uwe mtu uliye chagua kutembea na Mungu katika kila hatua siyo mtu wa kutembea na Mungu nusu nusu ,hapana lazma uwe unatembea na Mungu jumla jumla. Bwana akiichagua nyumba yako nakuitakasa inamaana kuna mambo mengi sana nyumba yako hawata itaji kutumia nguvu katika kuyafanya badala yake wanahitaji nguvu kidogo tu na matokeo makubwa sana. Kama mke ni mtii na wa kumtafuta Mungu nyumba yake itaiitwa nyumba ya sala na nyumba ya hekima sababu tu ni mwanamke muombaji .. Mithali 14:1-2 [1]Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe. [2]Yeye aendaye kwa unyofu wake humcha BWANA; Bali aliye mkaidi katika njia zake humdharau. Wenye hekima ndiyo wanao chaguliwa na Bwana mke ambaye anaweza kusimama kuibeba ndoa yake katika kila hali . Mke ambaye anaweza kubeba nyumba yake kwa maombi kuna mambo mengi watoto zake wanaeushwa sababu tu ya maombi yake yanapelekea Mungu kuichagua nyumba yake nz kuitakasa. Mume mwenye hekima ni ulinzi tosha kwa familia sababu Mungu ndiye aliye mpa hekima na kuichagua nyumba yake lazima awe mtu wa matokeo tu. Nyumba iliyo amua kutembea na bwana katika kila hali ina muomba Mungu tu 2 Mambo ya Nyakati 6:40 [40]Na sasa, Ee Mungu wangu, macho yako yafumbuke, nakusihi, masikio yako yakasikilize maombi yaombwayo mahali hapa. Ni maombi yangu Bwana akufumbue macho ya hekima uenende na hekima yake na mwendelezo wa maarifa ya kiungu. MUNGU amekuchagua ila wewe tu ndo unaogopa kutii na kufuata anayo yataka Mungu. Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden Karibu kujifunza neno lisilo goshiwa katika group letu la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #restore men position #build new eden0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1 Visualizações