• Mchezaji wa Aston Villa Ollie Watkins na Rodrigo Muniz wa Fulham wameongezwa kwenye rada za Newcastle United endapo Benjamin Sesko atachagua kwenda Manchester United..

    (Source:Daily Mail Sport)

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ Mchezaji wa Aston Villa Ollie Watkins na Rodrigo Muniz wa Fulham wameongezwa kwenye rada za Newcastle United endapo Benjamin Sesko atachagua kwenda Manchester United.. (Source:Daily Mail Sport) #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท236 Views
  • BREAKING: Nottingham Forest
    imekamilisha usajili wa Dan Ndoye kutoka Bologna kwa kiasi cha £34m

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ๐ŸšจBREAKING: Nottingham Forest imekamilisha usajili wa Dan Ndoye kutoka Bologna kwa kiasi cha £34m โœ…๐ŸŒณ #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท341 Views
  • Tottenham Hotspur iko kwenye majadiliano na Bayern Munich juu ya uhamisho wa Joao Palhinha โšช๏ธ

    #SportsElite
    Tottenham Hotspur iko kwenye majadiliano na Bayern Munich juu ya uhamisho wa Joao Palhinha โœ๏ธโšช๏ธ #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท176 Views
  • Watu wako serious huku pre-season
    ๐ŸŽฏ๐ŸŽฏWatu wako serious huku pre-season
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท86 Views
  • Nyota wa Newcastle united Alexander Isak anafanya mazoezi katika vituo vya klabu yake ya zamani ya Real Sociedad huku akiuguza jeraha dogo la paja.

    Hadi kufikia sasa mustakabali wake na Newcastle bado haujulikani baada ya Isak kuweka wazi kuwa anataka kuondoka klabuni hapo.

    (Chanzo: Daily Mail Sport)

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ๐ŸšจNyota wa Newcastle united Alexander Isak anafanya mazoezi katika vituo vya klabu yake ya zamani ya Real Sociedad huku akiuguza jeraha dogo la paja. Hadi kufikia sasa mustakabali wake na Newcastle bado haujulikani baada ya Isak kuweka wazi kuwa anataka kuondoka klabuni hapo. (Chanzo: Daily Mail Sport) #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท317 Views
  • #CONFIRMED;Ligi kuu Tanzania Nbc premier league inatarajiwa kuanza September 16,2025

    #NBCPremierLeague #Tff #BodiYaLigi

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ#CONFIRMED;Ligi kuu Tanzania Nbc premier league inatarajiwa kuanza September 16,2025 #NBCPremierLeague #Tff #BodiYaLigi #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท976 Views
  • Klabu ya Chelsea imefikia makubaliano ya kumsajili beki Jorrel Hato kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 40 akitokea Ajax Amsterdam ya Nchini Uholanzi.

    Hato (19) raia wa Uholanzi ambaye anamudu kucheza kama beki wa kati na beki wa kushoto amekubali kusaini mkataba wa miaka 7 utakaombakisha klabuni hapo mpana Juni 2032.

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ๐ŸšจKlabu ya Chelsea imefikia makubaliano ya kumsajili beki Jorrel Hato kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 40 akitokea Ajax Amsterdam ya Nchini Uholanzi. Hato (19) raia wa Uholanzi ambaye anamudu kucheza kama beki wa kati na beki wa kushoto amekubali kusaini mkataba wa miaka 7 utakaombakisha klabuni hapo mpana Juni 2032. #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท406 Views
  • MORICE ABRAHAM NI MNYAMA KWENYE MBUGA YA BUNJU

    Ni yule Kiungo mdambwi dambwi mBongo aliyekuwa nje huko

    Alianza mazoezi na Simba kabla ligi haijaisha…!

    Anajua boli

    #SportsElite
    ๐ŸšจMORICE ABRAHAM NI MNYAMA KWENYE MBUGA YA BUNJU Ni yule Kiungo mdambwi dambwi mBongo aliyekuwa nje hukoโœ… Alianza mazoezi na Simba kabla ligi haijaisha…! Anajua boli โœ… #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท365 Views
  • ๐‡๐„๐‘๐„ ๐–๐„ ๐†๐Ž! Sunderland imefikia makubaliano ya kumsaini Marc Guiu kwa mkopo akitokea Chelsea

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ ๐‡๐„๐‘๐„ ๐–๐„ ๐†๐Ž! Sunderland imefikia makubaliano ya kumsaini Marc Guiu kwa mkopo akitokea Chelsea โค๏ธ๐Ÿค๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ #SportsElite
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท369 Views
  • ๐——๐—˜๐—”๐—Ÿ ๐——๐—ข๐—ก๐—˜: Serge Aurier amejiunga na Persepolis FCya Iran kwa mkataba wa miaka 2. ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ

    (Source: FC Persepolis)

    ๐Ÿ“ ๐——๐—˜๐—”๐—Ÿ ๐——๐—ข๐—ก๐—˜: Serge Aurier amejiunga na Persepolis FCya Iran kwa mkataba wa miaka 2. ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท (Source: FC Persepolis)
    0 Commenti ยท0 condivisioni ยท98 Views