• 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Hojlund amefikia makubaliano ya kujiunga na AC Milan kwa mkataba wa mkopo akitokea Manchester United kwa ada ya €5 million f


    #sportselite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Hojlund amefikia makubaliano ya kujiunga na AC Milan kwa mkataba wa mkopo akitokea Manchester United kwa ada ya €5 million f #sportselite
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·24 Visualizações
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Giovanni Leoni yuko mbioni kujiunga na Liverpool kutoka Parma kwa ada ya uhamisho wa €35M

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Giovanni Leoni yuko mbioni kujiunga na Liverpool kutoka Parma kwa ada ya uhamisho wa €35M #SportsElite
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·42 Visualizações
  • Baada ya kuondoka kwa aliyekuwa nahodha wa Totenham Heung- min Son, meneja wa Totenham Hotspurs amethibitisha rasmi kuwa Cristian Romero ndie atakuwa nahodha mpya wa klabu hiyo.

    Romero alijiunga na Totenham mwaka 2022 akitokea Atalanta.

    Muda wote amekuwa mchezaji muhimu kwa klabu hiyo na kiongozi mzuri ndani na nje ya uwanja.

    Romero pia ni sehemu ya kikosi cha Totenham kilichofanikiwa kutwaa ubingwa wa UEFA Europa league msimu uliopita.

    #SportsElite
    Baada ya kuondoka kwa aliyekuwa nahodha wa Totenham Heung- min Son, meneja wa Totenham Hotspurs amethibitisha rasmi kuwa Cristian Romero ndie atakuwa nahodha mpya wa klabu hiyo. Romero alijiunga na Totenham mwaka 2022 akitokea Atalanta. Muda wote amekuwa mchezaji muhimu kwa klabu hiyo na kiongozi mzuri ndani na nje ya uwanja. Romero pia ni sehemu ya kikosi cha Totenham kilichofanikiwa kutwaa ubingwa wa UEFA Europa league msimu uliopita. #SportsElite
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·26 Visualizações
  • RASMI: Hivi ndiyo viwango vipya vya klabu bora barani Ulaya (UEFA) kwa sasa

    1️⃣ Real Madrid
    2️⃣ Bayern Munich
    3️⃣ Inter Milan
    4️⃣ Manchester City
    5️⃣ Liverpool
    6️⃣ Paris Saint-Germain
    7️⃣ Bayer Leverkusen
    8️⃣ Borussia Dortmund
    9️⃣ Barcelona
    AS Roma
    🚨 RASMI: Hivi ndiyo viwango vipya vya klabu bora barani Ulaya (UEFA) kwa sasa 1️⃣ Real Madrid 🇪🇸 2️⃣ Bayern Munich 🇩🇪 ⬆️ 3️⃣ Inter Milan 🇮🇹 ⬆️ 4️⃣ Manchester City 🏴⬇️ 5️⃣ Liverpool 🏴⬇️ 6️⃣ Paris Saint-Germain 🇫🇷 ⬇️ 7️⃣ Bayer Leverkusen 🇩🇪 ⬆️ 8️⃣ Borussia Dortmund 🇩🇪 ⬆️ 9️⃣ Barcelona 🇪🇸 ⬆️ 🔟 AS Roma 🇮🇹 ⬇️
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·41 Visualizações
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Chelsea FC imefika makubaliano kamili na RB Leipzig kumsajili Xavu Simons kwa ada ya €60m na mkataba wa muda mrefu. .

    Chelsea kwa sasa inasubiri kuuza mchezaji kupata nafasi ya kukamilisha Usajili huo mapema. .

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Chelsea FC imefika makubaliano kamili na RB Leipzig kumsajili Xavu Simons kwa ada ya €60m na mkataba wa muda mrefu. 🇳🇱 🔵. Chelsea kwa sasa inasubiri kuuza mchezaji kupata nafasi ya kukamilisha Usajili huo mapema. 💰 🔵. #SportsElite
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·29 Visualizações
  • Meneja wa Paris Saint Germain, Luis Enrique ameweka wazi kuwa Uongozi wa klabu hiyo unamuunga mkono kwenye uamuzi wake wa kuachana na Golikipa Gianluigi Donnarumma kutokuwa sehemu ya kikosi cha Timu hiyo hivyo ataanza kwa kuukosa mchezo wa UEFA Super Cup.

    Kipa huyo raia wa Italia aliachwa nje ya kikosi kilichosafiri hadi Udine kwa mechi ya kirafiki leo dhidi ya Tottenham, huku Magolikipa Lucas Chevalier na Renato Marin wakichaguliwa badala yake.

    Katika chapisho lake kwenye mtandao wake wa Instagram, Donnarumma alisema "amesikitishwa na kuvunjika moyo" kwa kukosekana kwake.
    Nyota huyo alikuwa mmoja wa wachezaji wa PSG walioshinda taji la Ligi ya Mabingwa msimu uliopita na uamuzi huo umekuja kwa mshtuko kutokana na hadhi yake na wasifu wake.

    Enrique alisema uamuzi wake ulikuwa na lengo la kutafuta Golikipa mwenye "wasifu tofauti" na Gigi.

    "Uongozi unaniunga mkono na tunajaribu kutafuta suluhu bora," aliongea kwenye mkutano wa wanahabari Jumanne.

    "Ni uamuzi mgumu, namkubali Donnarumma kwani ni mmoja wa makipa bora na mtu bora zaidi. Lakini tulikuwa tunatafuta wasifu tofauti, na ni vigumu sana kuchukua maamuzi ya aina hii." - alimaliza kwa kusema hivyo.

    #SportsElite
    🚨🚨Meneja wa Paris Saint Germain, Luis Enrique ameweka wazi kuwa Uongozi wa klabu hiyo unamuunga mkono kwenye uamuzi wake wa kuachana na Golikipa Gianluigi Donnarumma kutokuwa sehemu ya kikosi cha Timu hiyo hivyo ataanza kwa kuukosa mchezo wa UEFA Super Cup. Kipa huyo raia wa Italia aliachwa nje ya kikosi kilichosafiri hadi Udine kwa mechi ya kirafiki leo dhidi ya Tottenham, huku Magolikipa Lucas Chevalier na Renato Marin wakichaguliwa badala yake. Katika chapisho lake kwenye mtandao wake wa Instagram, Donnarumma alisema "amesikitishwa na kuvunjika moyo" kwa kukosekana kwake. Nyota huyo alikuwa mmoja wa wachezaji wa PSG walioshinda taji la Ligi ya Mabingwa msimu uliopita na uamuzi huo umekuja kwa mshtuko kutokana na hadhi yake na wasifu wake. Enrique alisema uamuzi wake ulikuwa na lengo la kutafuta Golikipa mwenye "wasifu tofauti" na Gigi. "Uongozi unaniunga mkono na tunajaribu kutafuta suluhu bora," aliongea kwenye mkutano wa wanahabari Jumanne. "Ni uamuzi mgumu, namkubali Donnarumma kwani ni mmoja wa makipa bora na mtu bora zaidi. Lakini tulikuwa tunatafuta wasifu tofauti, na ni vigumu sana kuchukua maamuzi ya aina hii." - alimaliza kwa kusema hivyo. #SportsElite
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·61 Visualizações
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! AC Milan imekamilisha usajili wa Zachary Athekame beki wa kulia

    Uhamisho wa €10m Young Boys watavuna kiasi hicho


    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! AC Milan imekamilisha usajili wa Zachary Athekame beki wa kulia ❤️🖤 Uhamisho wa €10m Young Boys watavuna kiasi hicho 🔜 #SportsElite
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·76 Visualizações
  • Je unaweza kutabiri??
    Je unaweza kutabiri??
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·22 Visualizações
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Liverpool imepanga kuwasajiri washambuliaji hawa kwa pamoja Alexander Isak, Marc Guehi and Leoni.

    #SportsElite
    🚨🧨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Liverpool imepanga kuwasajiri washambuliaji hawa kwa pamoja Alexander Isak, Marc Guehi and Leoni. 🤑💸 #SportsElite
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·37 Visualizações
  • 𝐄𝐗𝐂𝐋𝐔𝐒𝐈𝐕𝐄: Newcastle ipo karibu kukamilisha uhamisho wa Jacob Ramsey⚪️⚫️⚡️

    Makubaliano hayo baina ya Aston Villa yatahusisha kiasi cha £40m na mda sio mrefu uhamisho utakamilika kwa 100%

    #SportsElite
    🚨 𝐄𝐗𝐂𝐋𝐔𝐒𝐈𝐕𝐄: Newcastle ipo karibu kukamilisha uhamisho wa Jacob Ramsey⚪️⚫️⚡️ Makubaliano hayo baina ya Aston Villa yatahusisha kiasi cha £40m na mda sio mrefu uhamisho utakamilika kwa 100% #SportsElite
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·22 Visualizações