• Barcelona imeanza mazungumzo ya kumuongezea mkataba kiungo wao #Frenkie_de_Jong, ambaye mkataba wake wa sasa unaisha mwaka 2026.
    Mchezaji huyo sasa anawakilishwa na wakala mpya na tayari amekutana na Deco kuzungumzia mustakabali wake. Klabu inataka kumpa nyongeza ya miaka miwili na chaguo la mwaka wa tatu, ingawa masharti ya kifedha ndiyo yatakayotoa mwelekeo wa mwisho.
    De Jong anaungwa mkono na rais Joan Laporta na kocha #Hansi Flick, jambo linaloonyesha nia ya kumweka Camp Nou kwa muda mrefu zaidi.

    Kifupi: Barça inataka kuongeza mkataba wa De Jong hadi baada ya 2026, na pande zote mbili zinaonyesha nia ya kuendelea pamoja.


    #SportsElite
    🚨🚨Barcelona imeanza mazungumzo ya kumuongezea mkataba kiungo wao #Frenkie_de_Jong, ambaye mkataba wake wa sasa unaisha mwaka 2026. Mchezaji huyo sasa anawakilishwa na wakala mpya na tayari amekutana na Deco kuzungumzia mustakabali wake. Klabu inataka kumpa nyongeza ya miaka miwili na chaguo la mwaka wa tatu, ingawa masharti ya kifedha ndiyo yatakayotoa mwelekeo wa mwisho. De Jong anaungwa mkono na rais Joan Laporta na kocha #Hansi Flick, jambo linaloonyesha nia ya kumweka Camp Nou kwa muda mrefu zaidi. Kifupi: Barça inataka kuongeza mkataba wa De Jong hadi baada ya 2026, na pande zote mbili zinaonyesha nia ya kuendelea pamoja. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·6 Vue
  • 𝗗𝗘𝗔𝗟 𝗗𝗢𝗡𝗘: Paris FC imekamilisha usajili wa golikipa wa zamani wa PSG Trapp kutoka Eintracht Frankfurt.

    Kwa ada €1M.

    (Source: Paris FC)

    #SportsElite
    📝 𝗗𝗘𝗔𝗟 𝗗𝗢𝗡𝗘: Paris FC imekamilisha usajili wa golikipa wa zamani wa PSG Trapp kutoka Eintracht Frankfurt. Kwa ada €1M. 🧤🇩🇪 (Source: Paris FC) #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·9 Vue
  • Kuna asilimia nyingi za Marc Casado kuondoka Barcelona Kwanini?

    Barca inabanwa na sheria ya matumizi ya pesa nyingi hivyo kuondoka kwa Casado kutawapa Barca angalau ahueni kwenye sajili zake.

    Vilabu vya Como, Wolves na Real Betis vimeonesha nia ya kumsajili.

    Isingekuwa hii sheria Barca wangekuwa na kikosi kimoja hatari sana

    #SportsElite
    🚨🚨Kuna asilimia nyingi za Marc Casado kuondoka Barcelona Kwanini? Barca inabanwa na sheria ya matumizi ya pesa nyingi hivyo kuondoka kwa Casado kutawapa Barca angalau ahueni kwenye sajili zake. Vilabu vya Como, Wolves na Real Betis vimeonesha nia ya kumsajili. ✍️Isingekuwa hii sheria Barca wangekuwa na kikosi kimoja hatari sana🤕 #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·19 Vue
  • Kambi ya Victor Boniface iko njiani kuelekea Italy Leo ili kufanya mazungumzo na AC Milan.

    Tayari AC Milan imekwisha kubaliana na Bayer Leverkusen na dili litagharimu €30M endapo watamnunua kabsa .

    (Source:
    @FabrizioRomano
    )

    #SportsElite
    🚨 Kambi ya Victor Boniface iko njiani kuelekea Italy Leo ili kufanya mazungumzo na AC Milan. Tayari AC Milan imekwisha kubaliana na Bayer Leverkusen na dili litagharimu €30M endapo watamnunua kabsa . (Source: @FabrizioRomano ) #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·8 Vue
  • Wachezaji wenye magoli na Assist Nyingi Karne ya 21

    Lionel Messi – 1264
    Cristiano Ronaldo – 1196
    Robert Lewandowski – 841
    Luis Suarez – 836
    Zlatan Ibrahimovic – 726
    Karim Benzema – 689
    🚨🚨Wachezaji wenye magoli na Assist Nyingi Karne ya 21 🔥 🇦🇷 Lionel Messi – 1264 🇵🇹 Cristiano Ronaldo – 1196 🇵🇱 Robert Lewandowski – 841 🇺🇾 Luis Suarez – 836 🇸🇪 Zlatan Ibrahimovic – 726 🇫🇷 Karim Benzema – 689
    0 Commentaires ·0 Parts ·14 Vue
  • Robert Lewandowski anatimiza miaka 37
    🚨Robert Lewandowski anatimiza miaka 37
    0 Commentaires ·0 Parts ·6 Vue
  • | Girona imeonesha nia ya kumuhitaji golikipa Iñaki Peña,baada ya golikipa wao Gazzaniga kufanya vibaya mechi iliyopita.

    Barça inapanga kumuongeza mkataba golikipa huyo ndipo imtoe kwa mkopo.
    Thamani yake ni €4M, kwa klabu yoyote itakayo muhitaji .

    Pia Barça itamuingiza kwenye mfumo Szczesny

    Via (): @alexlunafut [MD]

    #FCBlive #Transfers

    #SportsElite
    🚨🇪🇸 | Girona imeonesha nia ya kumuhitaji golikipa Iñaki Peña,baada ya golikipa wao Gazzaniga kufanya vibaya mechi iliyopita. 🔵🔴 Barça inapanga kumuongeza mkataba golikipa huyo ndipo imtoe kwa mkopo. 💰 Thamani yake ni €4M, kwa klabu yoyote itakayo muhitaji . 👉 Pia Barça itamuingiza kwenye mfumo Szczesny 📎 Via (🟢): @alexlunafut [MD] #FCBlive #Transfers #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·12 Vue
  • Liverpool FC inaendelea kuisisitiza Real Madrid haitaweza kumuuza beki wake Ibrahima Konaté chini ya kiasi cha €50M.

    (Source: AS)

    #SportsElite
    🚨 Liverpool FC inaendelea kuisisitiza Real Madrid haitaweza kumuuza beki wake Ibrahima Konaté chini ya kiasi cha €50M. (Source: AS) #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·9 Vue
  • 0 Commentaires ·0 Parts ·2 Vue
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Baada ya mvutano wa muda mrefu hatimaye klabu ya Man United imerudishwa Sokoni na sasa Glazers wako tayari kuiuza klabu hiyo na hakuna mtu yoyote anaweza kuwazuia akiwepo Jim Ratcliffe.

    Manchester United inauzwa kwa sasa ipo sokoni tena

    Source Mike Keagan

    #SportsElite
    🚨𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Baada ya mvutano wa muda mrefu hatimaye klabu ya Man United imerudishwa Sokoni na sasa Glazers wako tayari kuiuza klabu hiyo na hakuna mtu yoyote anaweza kuwazuia akiwepo Jim Ratcliffe. Manchester United inauzwa kwa sasa ipo sokoni tena Source Mike Keagan #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·13 Vue