• TBT
    #bernaldpeter
    #intellectual_and_developmental_disability_IDD
    TBT #bernaldpeter #intellectual_and_developmental_disability_IDD
    Like
    Love
    4
    6 Kommentare 0 Anteile 1KB Ansichten
  • #bernaldpeter
    #intellectual_and_developmental_disability_IDD
    #bernaldpeter #intellectual_and_developmental_disability_IDD
    Like
    Love
    6
    3 Kommentare 0 Anteile 232 Ansichten
  • Soul of song..
    Soul of song..
    Like
    Love
    3
    2 Kommentare 0 Anteile 117 Ansichten 4
  • Ibraah ft harmonize.. dharau
    Ibraah ft harmonize.. dharau
    Like
    3
    2 Kommentare 0 Anteile 1KB Ansichten 1
  • Zabron singers...upo single
    Zabron singers...upo single
    Like
    2
    1 Kommentare 0 Anteile 215 Ansichten 2
  • Karibu sana nipo manzese Argentina pembeni ya chaula pharmacy
    Usiishie ku view tu like share and comment follow to follow back
    Karibu sana nipo manzese Argentina pembeni ya chaula pharmacy Usiishie ku view tu like share and comment follow to follow back
    Like
    2
    3 Kommentare 0 Anteile 1KB Ansichten 48
  • Raatan lambiyan...hindi song
    Raatan lambiyan...hindi song
    Like
    Love
    2
    1 Kommentare 0 Anteile 123 Ansichten 12
  • Mdau mwingine kisasi sio muhimu katika maisha
    #paulswai
    Mdau mwingine kisasi sio muhimu katika maisha #paulswai
    Like
    1
    1 Kommentare 0 Anteile 123 Ansichten 44
  • Like
    Love
    9
    1 Kommentare 0 Anteile 1KB Ansichten
  • kaka habari ya kazi mimi nilikuwa naomba ushauri mume wangu tulikuwa tuaishi vizuri tu, baadae akaja akabadilika analala nje ukimuuliza anakuwa mkali, basi nikamuacha kumuuliza nikawa navumilia,siku moja akaniambia mke wangu hapa naona maisha yamekuwa magumu nataka niende sehemu nyingine nikatafute hela nikasema sawa baada ya kuondoka akawa hanipigii simu wala kutuma sms,nikimpigia simu kumuambia matumizi ananiambia sina hela yeyote..
    Hivohivo mwisho wa siku akaniambia tusijuane yeye amempata mwanamke anaempenda na mimi nitafute mwanaume niolewe na akaacha kumtafuta maana pale tulipokuwa tunaishi kodi ilikuwa imeisha nikatafuta chumba cha bei nafuu maisha yakaendelea,baada ya mwezi mmoja akanifuta akaniambia nimerudi nilikuwa naomba nije nimsalimie mtoto mimi nikakataa
    Basi yakaendelea akaja akaumwa mtoto nikamuambia akatoa fedha ya matibabu, ndipo nikamuuliza unaishi wapi akaniambia amepanga yupo kutafuta hela akipata ndipo atarudi nyumbani kuishi na sisi. nilikuwa naomba ushauri wenu huyu mwanaume niendelee kumsubiri?
    [ Unaweza kuuza na kununua bidhaa kupitia https://www.niuziechap.co.tz/ ]
    Au jiunge na WhatsApp Channel yangu kwa mahitaji ya Mchumba na Simulizi na video na stories kibao
    Link https://bit.ly/4b6xGV4
    ______________________________________
    ■Kama una jambo linakutatiza usikae nalo linaweza kuharibu hatima ya maisha yako, tushirikishe, tusaidiane na tushauriane.. Nitumie ujumbe WhatsApp 0625 791 849
    kaka habari ya kazi mimi nilikuwa naomba ushauri mume wangu tulikuwa tuaishi vizuri tu, baadae akaja akabadilika analala nje ukimuuliza anakuwa mkali, basi nikamuacha kumuuliza nikawa navumilia,siku moja akaniambia mke wangu hapa naona maisha yamekuwa magumu nataka niende sehemu nyingine nikatafute hela nikasema sawa baada ya kuondoka akawa hanipigii simu wala kutuma sms,nikimpigia simu kumuambia matumizi ananiambia sina hela yeyote.. Hivohivo mwisho wa siku akaniambia tusijuane yeye amempata mwanamke anaempenda na mimi nitafute mwanaume niolewe na akaacha kumtafuta maana pale tulipokuwa tunaishi kodi ilikuwa imeisha nikatafuta chumba cha bei nafuu maisha yakaendelea,baada ya mwezi mmoja akanifuta akaniambia nimerudi nilikuwa naomba nije nimsalimie mtoto mimi nikakataa Basi yakaendelea akaja akaumwa mtoto nikamuambia akatoa fedha ya matibabu, ndipo nikamuuliza unaishi wapi akaniambia amepanga yupo kutafuta hela akipata ndipo atarudi nyumbani kuishi na sisi. nilikuwa naomba ushauri wenu huyu mwanaume niendelee kumsubiri? [ Unaweza kuuza na kununua bidhaa kupitia https://www.niuziechap.co.tz/ ] Au jiunge na WhatsApp Channel yangu kwa mahitaji ya Mchumba na Simulizi na video na stories kibao Link https://bit.ly/4b6xGV4 ______________________________________ ■Kama una jambo linakutatiza usikae nalo linaweza kuharibu hatima ya maisha yako, tushirikishe, tusaidiane na tushauriane.. Nitumie ujumbe WhatsApp 0625 791 849
    Like
    Love
    Sad
    10
    2 Kommentare 0 Anteile 1KB Ansichten