• Mdalasini + Tangawizi + Unga wa manjano;

    CHAI hii tumia asubuhi inatibu,

    -BP
    -Pumu
    -Mafua
    -Magoti
    -Kinga ndogo
    -Mawe ya figo
    -Maumivu ya kiuno
    -Maumivu ya period
    -Fangasi sehemu za siri

    Weka kijiko kimoja kwenye maji ya moto.

    Angalizo Usiweke Sukari
    Mdalasini + Tangawizi + Unga wa manjano; CHAI hii tumia asubuhi inatibu, -BP -Pumu -Mafua -Magoti -Kinga ndogo -Mawe ya figo -Maumivu ya kiuno -Maumivu ya period -Fangasi sehemu za siri Weka kijiko kimoja kwenye maji ya moto. Angalizo Usiweke Sukari
    Love
    Like
    5
    · 2 Commentarios ·0 Acciones ·491 Views
  • Fight for the fittest
    Fight for the fittest 💪
    Love
    Like
    5
    · 2 Commentarios ·0 Acciones ·492 Views
  • Like
    Love
    3
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·412 Views
  • Halfulela Ulela
    Halfulela Ulela
    0 Commentarios ·0 Acciones ·35 Views
  • Cassava leaves treats

    migraine
    diarrhea
    blurred vision
    obesity
    arthritis
    stroke
    high BP
    cancer

    Boil cassava leaves and sliced ginger with water for 15 minutes. Drink a cupful once a day. Nature heals.
    Cassava leaves treats 🌿migraine 🌿diarrhea 🌿blurred vision 🌿obesity 🌿arthritis 🌿stroke 🌿high BP 🌿cancer Boil cassava leaves and sliced ginger with water for 15 minutes. Drink a cupful once a day. Nature heals.
    Like
    Love
    6
    · 3 Commentarios ·0 Acciones ·628 Views
  • Aziz Ki
    Aziz Ki
    0 Commentarios ·0 Acciones ·37 Views
  • DAWA YA MIGUU KUUMA, KUFA GANZI, KUVIMBA, KUWAKA MOTO PIA NI DAWA YA MAUMIVU YA KIUNO PIA NI DAWA YA KUTOA SUMU MWILINI PIA NI DAWA YA KUTOA MAUMIVU MAKALI YA MWILI PIA NI DAWA YA KUTOA VITU VINAVYOTEMBEA KWENYE MWILI.

    Chemsha majani ya nyanya na tunda la nyanya ambalo ni bichi katakata vipande vidogovidogo pia chemsha majani ya mbaazi pamoja na majani ya kabechi(kabeji) hakikisha hivyo vitu vyote unachemsha kwa pamoja.

    MATUMIZI.

    1.KWA MIGUU KUUMA, KUFA GANZI, KUVIMBA, KUWAKA MOTO
    Hiyo dawa yako uliyoichemsha utakuwa unajikanda ingali ya uvuguvugu na maji yake mengine utakuwa unakunywa kikombe kimoja Cha chai Cha dawa hiyo kujikanda jikande kutwa mara 2 ndani ya siku 7-14 lakini kunywa ni mara 3 kwa siku ndani ya siku 7-14.

    2.MAUMIVU YA KIUNO
    Uwe unajikanda hiyo dawa yako kutwa mara 2 kwa siku 5-7 pia utakuwa unakunywa maji yake kutwa mara 3 kwa siku 5-7.

    3.KUTOA SUMU MWILINI
    Utakuwa unakunywa kikombe Cha chai Cha hiyo dawa yako kutwa mara 3 kwa siku 7.

    4.KUTOA MAUMIVU MAKALI YA MWILI
    Utakuwa unajipiga nyungu hiyo dawa yako kutwa mara 2 kwa siku 3-5.

    5.KUTOA VITU VINAVYOTEMBEA KWENYE MWILI
    Utakuwa unajipiga nyungu hiyo dawa yako kutwa mara 2 kwa siku 5-7 pia utakuwa unakunywa kikombe Cha chai Cha hiyo dawa yako ingali ya uvuguvugu kutwa mara 3 kwa siku 5-7.
    DAWA YA MIGUU KUUMA, KUFA GANZI, KUVIMBA, KUWAKA MOTO PIA NI DAWA YA MAUMIVU YA KIUNO PIA NI DAWA YA KUTOA SUMU MWILINI PIA NI DAWA YA KUTOA MAUMIVU MAKALI YA MWILI PIA NI DAWA YA KUTOA VITU VINAVYOTEMBEA KWENYE MWILI. Chemsha majani ya nyanya na tunda la nyanya ambalo ni bichi katakata vipande vidogovidogo pia chemsha majani ya mbaazi pamoja na majani ya kabechi(kabeji) hakikisha hivyo vitu vyote unachemsha kwa pamoja. MATUMIZI. 1.KWA MIGUU KUUMA, KUFA GANZI, KUVIMBA, KUWAKA MOTO Hiyo dawa yako uliyoichemsha utakuwa unajikanda ingali ya uvuguvugu na maji yake mengine utakuwa unakunywa kikombe kimoja Cha chai Cha dawa hiyo kujikanda jikande kutwa mara 2 ndani ya siku 7-14 lakini kunywa ni mara 3 kwa siku ndani ya siku 7-14. 2.MAUMIVU YA KIUNO Uwe unajikanda hiyo dawa yako kutwa mara 2 kwa siku 5-7 pia utakuwa unakunywa maji yake kutwa mara 3 kwa siku 5-7. 3.KUTOA SUMU MWILINI Utakuwa unakunywa kikombe Cha chai Cha hiyo dawa yako kutwa mara 3 kwa siku 7. 4.KUTOA MAUMIVU MAKALI YA MWILI Utakuwa unajipiga nyungu hiyo dawa yako kutwa mara 2 kwa siku 3-5. 5.KUTOA VITU VINAVYOTEMBEA KWENYE MWILI Utakuwa unajipiga nyungu hiyo dawa yako kutwa mara 2 kwa siku 5-7 pia utakuwa unakunywa kikombe Cha chai Cha hiyo dawa yako ingali ya uvuguvugu kutwa mara 3 kwa siku 5-7.
    Like
    Love
    5
    · 3 Commentarios ·0 Acciones ·523 Views
  • TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO.
    Utaunguza kifuu Cha nazi Kisha utakisaga ili upate unga wake halafu baada ya hapo utakuwa unachukua kijiko kimoja Cha chai Cha hiyo dawa Yako unaweka kwenye kikombe Cha maziwa freshi halafu unakunywa zoezi hili lifanyike kutwa mara 3 Kwa siku 21 hakika mwenyezi Mungu atajalia utapona kabisa hata kama ni tatizo la mda mrefu utapona tu.
    TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO. Utaunguza kifuu Cha nazi Kisha utakisaga ili upate unga wake halafu baada ya hapo utakuwa unachukua kijiko kimoja Cha chai Cha hiyo dawa Yako unaweka kwenye kikombe Cha maziwa freshi halafu unakunywa zoezi hili lifanyike kutwa mara 3 Kwa siku 21 hakika mwenyezi Mungu atajalia utapona kabisa hata kama ni tatizo la mda mrefu utapona tu.
    Love
    Like
    Wow
    7
    · 5 Commentarios ·0 Acciones ·571 Views
  • 🤫🤫🤫🤫🤫🤫😂
    Love
    Haha
    2
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·48 Views
  • *AFYA YA MACHO.*

    *Daniel S.W.*

    Macho ni kiungo Muhimu sana kwa kuona. Asilimia kubwa ya taarifa kwa sisi wanadamu tunazipata kwa kupitia macho.

    Lakini wengi hazituzingatii Afya ya macho yapokuwa tunayatumia mpaka pale ambapo tatizo linakuwa kubwa na ndio tunakumbuka kwenda kwa Madaktari.

    WHO inasema kuna takbrani watu billioni 2.2 wenye matatizo ya macho au Upofu. Na kati ya Hao watu Billioni 1 wana matatizo ya Macho ambayo yangeweza yatibu mapema *¹*

    Matatizo ya macho ni matatizo ambayo yanawaathiri watu wengi. Na hata kama hauna tatizo unajukumu la kuhakikisha usalama wa macho yako upo katika viwango vizuri.

    Kwanza kabisa tambua kuwa Jicho linahitaji mambo yafuatayo.

    *Vitamin A*. Vitamin Hii inahitajika sana kwaajili ya kuzalisha rhodopsin ambazo ni seli Muhimu sana ndani ya jicho zinazosaidia kuona. Na pia Vitamin A inasaidia sana kufanya jicho liwe na hali ya unyevu wakati wote.

    *Carotenoids*. Hizi ni vichembechembe vinavyofanya matunda yawe na rangi. Hivi husaidia katika kuondoa sumusumu kwenye jicho.

    *Vitamin C na E.* Hizi pia zinasaidi katika kulinda jicho dhidi ya sumusumu. Hizi vitamin zinapatikana sana kwenye matunda, nafaka, na Mboga mboga.

    Tuendelee kujifunza ili tuweze zingatia macho yetu.
    *AFYA YA MACHO.* *Daniel S.W.* Macho ni kiungo Muhimu sana kwa kuona. Asilimia kubwa ya taarifa kwa sisi wanadamu tunazipata kwa kupitia macho. Lakini wengi hazituzingatii Afya ya macho yapokuwa tunayatumia mpaka pale ambapo tatizo linakuwa kubwa na ndio tunakumbuka kwenda kwa Madaktari. WHO inasema kuna takbrani watu billioni 2.2 wenye matatizo ya macho au Upofu. Na kati ya Hao watu Billioni 1 wana matatizo ya Macho ambayo yangeweza yatibu mapema *¹* Matatizo ya macho ni matatizo ambayo yanawaathiri watu wengi. Na hata kama hauna tatizo unajukumu la kuhakikisha usalama wa macho yako upo katika viwango vizuri. Kwanza kabisa tambua kuwa Jicho linahitaji mambo yafuatayo. *Vitamin A*. Vitamin Hii inahitajika sana kwaajili ya kuzalisha rhodopsin ambazo ni seli Muhimu sana ndani ya jicho zinazosaidia kuona. Na pia Vitamin A inasaidia sana kufanya jicho liwe na hali ya unyevu wakati wote. *Carotenoids*. Hizi ni vichembechembe vinavyofanya matunda yawe na rangi. Hivi husaidia katika kuondoa sumusumu kwenye jicho. *Vitamin C na E.* Hizi pia zinasaidi katika kulinda jicho dhidi ya sumusumu. Hizi vitamin zinapatikana sana kwenye matunda, nafaka, na Mboga mboga. Tuendelee kujifunza ili tuweze zingatia macho yetu.
    Love
    Like
    8
    · 6 Commentarios ·0 Acciones ·675 Views