• Like
    Love
    5
    3 Comments 0 Shares 232 Views
  • Ratiba ya mwezi Septemba, 2024. #WenyeNchi #NguvuMoja
    #paulswai
    Ratiba ya mwezi Septemba, 2024. #WenyeNchi #NguvuMoja #paulswai
    Like
    Love
    3
    1 Comments 0 Shares 1K Views
  • .... 𝗛𝗔𝗧𝗨𝗞𝗢 𝗦𝗘𝗥𝗜𝗢𝗨𝗦

    Nimefanya utafiti mdogo nimebaini kuwa kamati zinazotoa tuzo za Man of the Match ligi kuu Tanzania bara hawana vigezo rasmi, wanatoa tuzo kwa mitazamo yao binafsi

    Tujikite kwenye mechi ya ligi kuu, Kagera sugar 0 dhidi ya 2 Yanga:

    Vigezo mama vinavyoangaliwa EPL, LALIGA, BUNDESLIGA ili kupata mchezaji bora wa mechi (MOTM).

    ➜ Mchezaji aliyechangia kwa kiasi kikubwa matokeo CHANYA (Ushindi) kwa timu yake ndiye anayepewa priority kubwa ya kushinda tuzo.

    ➜ Mchezaji kutoka timu iliyopoteza mechi atapata tuzo ikiwa tu ameonesha kiwango bora SANA ZAIDI ya KAWAIDA na kuwazidi mbali sana wachezaji wote wa timu iliyoshinda.

    Sasa tujiulize kwenye mechi hii Kapama alionesha kiwango BORA SANA ZAIDI YA KAWAIDA ? hadi apewe tuzo ya MOTM dhidi ya timu iliyoshinda tena UGENINI kwa (0-2) ?

    Nilikuwa naangalia mechi Laliga wiki iliyopia, Rayo Vallecano 1 - 2 Barcelona .. Hadi Halftime Barcelona walikuwa nyuma (1-0), Vallecano waliupiga mwingi sana. 2nd half akaingia Dani Olmo, Barcelona wakachomoa bao kupitia kwa Pedri kisha dakika za mwisho Dani Olmo akafunga goli la ushindi (1-2).

    MOTM award akapewa Dani Olmo aliyecheza dakika (45') kwa sababu timu yake imeshinda licha ya kuwa Vallecano waliupiga mwingi.

    Kapama aliupiga mwingi kiasi hicho kuliko MAXI NZENGELI aliyefunga bao lililoondoa presha kwa Yanga ?!

    By the way tazama mechi hiziza hivi karibuni kisha unioneshe mchezaji gani alikuwa MOTM kutoka timu ILIYOPOTEZA MCHEZO.

    Manchester United 0 - 3 Liverpool
    ➜ MOTM : Mohamed Salah.

    Newcastle United 2 - 1 Tottenham Hotspur
    ➜ MOTM : Alexander Isak.

    Man United 1 - 0 Fullham
    ➜ MOTM : Joshua Zirkzee

    Brentford 3 - 1 Southampton
    ➜ MOTM : Bryan Mbeumo

    Everton 2 - 3 Bournemouth
    ➜ MOTM : Antoine Semenyo

    Leicester City 1 - 2 Aston Villa
    ➜ MOTM : Jhòn Duran

    West Ham 1 - 3 Man City
    ➜ MOTM : Erling Haaland

    Real Madrid 2 - 0 Betis
    ➜ Kylian Mbape.

    Timu imepoteza mchezo (0-2). Imezidiwa possession (33% - 67%. Imezidiwa On target. Imezidiwa BIG chances. Imezidiwa pass 210 - 510. Imezidiwa kila kitu then inatoa Man of the Match ? Sasa huo U-MOTM unatoka wapi wakati kashindwa kuisaidia timu yake !!!!

    Au kupiga chenga mbili na kublock mashuti (2) na pass kadhaa inatosha kuwa kigezo cha kuwa MOTM ? Seriously !!!!?

    Bora hata angepewa golikipa Chalamanda ambaye alizuia magoli (4) ya wazi yasiingie katika goli la Kagera sugar.
    .... ℹ️ 𝗛𝗔𝗧𝗨𝗞𝗢 𝗦𝗘𝗥𝗜𝗢𝗨𝗦 Nimefanya utafiti mdogo nimebaini kuwa kamati zinazotoa tuzo za Man of the Match ligi kuu Tanzania bara hawana vigezo rasmi, wanatoa tuzo kwa mitazamo yao binafsi Tujikite kwenye mechi ya ligi kuu, Kagera sugar 0 dhidi ya 2 Yanga: Vigezo mama vinavyoangaliwa EPL, LALIGA, BUNDESLIGA ili kupata mchezaji bora wa mechi (MOTM). ➜ Mchezaji aliyechangia kwa kiasi kikubwa matokeo CHANYA (Ushindi) kwa timu yake ndiye anayepewa priority kubwa ya kushinda tuzo. ➜ Mchezaji kutoka timu iliyopoteza mechi atapata tuzo ikiwa tu ameonesha kiwango bora SANA ZAIDI ya KAWAIDA na kuwazidi mbali sana wachezaji wote wa timu iliyoshinda. ℹ️ Sasa tujiulize kwenye mechi hii Kapama alionesha kiwango BORA SANA ZAIDI YA KAWAIDA ? hadi apewe tuzo ya MOTM dhidi ya timu iliyoshinda tena UGENINI kwa (0-2) ? Nilikuwa naangalia mechi Laliga wiki iliyopia, Rayo Vallecano 1 - 2 Barcelona .. Hadi Halftime Barcelona walikuwa nyuma (1-0), Vallecano waliupiga mwingi sana. 2nd half akaingia Dani Olmo, Barcelona wakachomoa bao kupitia kwa Pedri kisha dakika za mwisho Dani Olmo akafunga goli la ushindi (1-2). MOTM award akapewa Dani Olmo aliyecheza dakika (45') kwa sababu timu yake imeshinda licha ya kuwa Vallecano waliupiga mwingi. Kapama aliupiga mwingi kiasi hicho kuliko MAXI NZENGELI aliyefunga bao lililoondoa presha kwa Yanga ?! By the way tazama mechi hiziza hivi karibuni kisha unioneshe mchezaji gani alikuwa MOTM kutoka timu ILIYOPOTEZA MCHEZO. Manchester United 0 - 3 Liverpool ➜ MOTM : Mohamed Salah. Newcastle United 2 - 1 Tottenham Hotspur ➜ MOTM : Alexander Isak. Man United 1 - 0 Fullham ➜ MOTM : Joshua Zirkzee Brentford 3 - 1 Southampton ➜ MOTM : Bryan Mbeumo Everton 2 - 3 Bournemouth ➜ MOTM : Antoine Semenyo Leicester City 1 - 2 Aston Villa ➜ MOTM : Jhòn Duran West Ham 1 - 3 Man City ➜ MOTM : Erling Haaland Real Madrid 2 - 0 Betis ➜ Kylian Mbape. ℹ️ Timu imepoteza mchezo (0-2). Imezidiwa possession (33% - 67%. Imezidiwa On target. Imezidiwa BIG chances. Imezidiwa pass 210 - 510. Imezidiwa kila kitu then inatoa Man of the Match ? Sasa huo U-MOTM unatoka wapi wakati kashindwa kuisaidia timu yake !!!! 😀 Au kupiga chenga mbili na kublock mashuti (2) na pass kadhaa inatosha kuwa kigezo cha kuwa MOTM ? Seriously !!!!? Bora hata angepewa golikipa Chalamanda ambaye alizuia magoli (4) ya wazi yasiingie katika goli la Kagera sugar.
    Like
    3
    1 Comments 0 Shares 1K Views
  • Together as one

    #bernaldpeter
    #intellectual_and_developmental_disability_IDD
    Together as one #bernaldpeter #intellectual_and_developmental_disability_IDD
    Like
    Haha
    3
    9 Comments 0 Shares 174 Views
  • #bernaldpeter
    #intellectual_and_developmental_disability_IDD
    #bernaldpeter #intellectual_and_developmental_disability_IDD
    Like
    1
    5 Comments 0 Shares 143 Views
  • Like
    4
    3 Comments 0 Shares 226 Views 58
  • This life #socialpop#foryourpage
    This life 🥺🥺 #socialpop#foryourpage
    Like
    Love
    5
    3 Comments 0 Shares 1K Views
  • This life #bernaldpeter#paulswai#socialpop#intellectual_and_developmental_disability_ID@drcharlestz#drcharlestz@socialpop
    This life 🥺🥺#bernaldpeter#paulswai#socialpop#intellectual_and_developmental_disability_ID@drcharlestz#drcharlestz@socialpop
    Like
    Love
    5
    3 Comments 0 Shares 347 Views
  • KUFUZU AFCON 2025

    TANZANIA ETHIOPIA
    19:00
    Mkapa.

    Tunaweza kufuzu kwa kuanza kampeni vyema dhidi ya Ethiopia tunayoikaribisha leo ikiwa na rekodi zisizovutia. Ethiopia haijapata ushindi wowote katika mechi 11 za kimashindano zilizopita, ikipoteza sita na kuambulia sare tano.

    Tunawakumbusha wachezaji wetu kupambana hadi mwisho na mashabiki wajitokeze kusapoti. Kwa sababu hawa Waethiopia ni wetu kabisa hawa. Kila la kheri @TaifaStars_
    #paulswai
    KUFUZU AFCON 2025 🇹🇿 TANZANIA 🆚 ETHIOPIA 🇪🇹 ⏰ 19:00 🏟️ Mkapa. Tunaweza kufuzu kwa kuanza kampeni vyema dhidi ya Ethiopia tunayoikaribisha leo ikiwa na rekodi zisizovutia. Ethiopia haijapata ushindi wowote katika mechi 11 za kimashindano zilizopita, ikipoteza sita na kuambulia sare tano. Tunawakumbusha wachezaji wetu kupambana hadi mwisho na mashabiki wajitokeze kusapoti. Kwa sababu hawa Waethiopia ni wetu kabisa hawa. Kila la kheri 🇹🇿@TaifaStars_ #paulswai
    Like
    2
    1 Comments 0 Shares 389 Views
  • Jamaa ndo katimukia Galatasaray...uturuki
    Jamaa ndo katimukia Galatasaray...uturuki
    Like
    5
    3 Comments 0 Shares 142 Views