• Like
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·374 Vue
  • Amapiano dance
    Amapiano dance
    Like
    Love
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·946 Vue ·41
  • :STK-20:
    Like
    Love
    4
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·425 Vue
  • I'm single
    I'm single
    Like
    3
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·58 Vue
  • Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·402 Vue
  • Hata
    #Sufuria
    Ni chombo cha
    Moto
    Hata #Sufuria Ni chombo cha Moto 🔥 😅😅😅
    Haha
    Like
    4
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·645 Vue
  • Like
    Love
    Wow
    Sad
    19
    · 9 Commentaires ·0 Parts ·146 Vue
  • Like
    Love
    3
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·391 Vue
  • KITUNGUU MAJI

    Ni dawa Madonda Koo (vidonda kooni)- kamua/safa Juisi yake mara 3 kutwa

    Tiba ya kikohozi na mafua

    Tiba ya masikio yanayouma, kuunguruma, kutoa usaha na usikivu hafifu - bandika nyuma ya sikio

    Afya ya moyo- Kushusha presha na kuondoa hatari za shambulio la moyo- Kula vitunguu maji kikombe 1 mara 2 kutwa

    Kuondoa tatizo la thrombosis. Research ya mwaka 2002 ilithibitisha kuwa sulfur inayopatikana kwenye kitunguu maji inaboresha mzunguko wa damu
    Kuongeza hamu ya Ndoa na Nguvu ya Ujasiri wa kupanda Mlima , Kula kila siku kitunguuu 1@gram 100 kwa siku 30

    Kifua kikuu ( Tegeneza juice nusu kilo ya vitunguu maji , ongeza na vijiko vitano vya asali , kisha igawanye hiyo juice itumie kwa siku mbili , kila siku ×3 kwa mda wa siku 45

    Kidonda cha kawaida , Pondaponda kitunguu maji paka kwenye kidonda ulichosafisha , Asb na Jion hadi kitakapopona

    Mba za Mwili (fungus) Kitunguu maji hutumika kutibu mba aina ya (Tinea vesikola) hawa mba hupendelea sehemu za juu kama usoni na shingoni , Ili kutibu kunywa glass tatu za juice kila siku na kupaka kitunguuu maji sehemu zilizoathirika kwa mda wa siku 10 -15

    Matatizo ya Meno - Kila jion baada ya chakula kula kitunguu kimoja gram 10 ,kitafune pole pole kwa kutumia pande zote za taya , hii ni tiba kwa ajili ya kuua bacteria na Kupunguza maumivu ya meno na kuzuia kuoza meno


    TAHADHARI
    Kitunguu maji kina sifa ya kuongeza joto mwilini. Usitumie kama una homa
    🛑🛑KITUNGUU MAJI 🛑Ni dawa Madonda Koo (vidonda kooni)- kamua/safa Juisi yake mara 3 kutwa 🛑Tiba ya kikohozi na mafua 🛑Tiba ya masikio yanayouma, kuunguruma, kutoa usaha na usikivu hafifu - bandika nyuma ya sikio 🛑Afya ya moyo- Kushusha presha na kuondoa hatari za shambulio la moyo- Kula vitunguu maji kikombe 1 mara 2 kutwa 🛑Kuondoa tatizo la thrombosis. Research ya mwaka 2002 ilithibitisha kuwa sulfur inayopatikana kwenye kitunguu maji inaboresha mzunguko wa damu 🛑Kuongeza hamu ya Ndoa na Nguvu ya Ujasiri wa kupanda Mlima , Kula kila siku kitunguuu 1@gram 100 kwa siku 30 🛑Kifua kikuu ( Tegeneza juice nusu kilo ya vitunguu maji , ongeza na vijiko vitano vya asali , kisha igawanye hiyo juice itumie kwa siku mbili , kila siku ×3 kwa mda wa siku 45 🛑Kidonda cha kawaida , Pondaponda kitunguu maji paka kwenye kidonda ulichosafisha , Asb na Jion hadi kitakapopona 🛑Mba za Mwili (fungus) Kitunguu maji hutumika kutibu mba aina ya (Tinea vesikola) hawa mba hupendelea sehemu za juu kama usoni na shingoni , Ili kutibu kunywa glass tatu za juice kila siku na kupaka kitunguuu maji sehemu zilizoathirika kwa mda wa siku 10 -15 🛑 Matatizo ya Meno - Kila jion baada ya chakula kula kitunguu kimoja gram 10 ,kitafune pole pole kwa kutumia pande zote za taya , hii ni tiba kwa ajili ya kuua bacteria na Kupunguza maumivu ya meno na kuzuia kuoza meno TAHADHARI Kitunguu maji kina sifa ya kuongeza joto mwilini. Usitumie kama una homa
    Love
    Like
    6
    · 3 Commentaires ·0 Parts ·671 Vue
  • Duuuu
    Duuuu
    Haha
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·56 Vue