• DAWA YA MIGUU KUUMA, KUFA GANZI, KUVIMBA, KUWAKA MOTO PIA NI DAWA YA MAUMIVU YA KIUNO PIA NI DAWA YA KUTOA SUMU MWILINI PIA NI DAWA YA KUTOA MAUMIVU MAKALI YA MWILI PIA NI DAWA YA KUTOA VITU VINAVYOTEMBEA KWENYE MWILI.

    Chemsha majani ya nyanya na tunda la nyanya ambalo ni bichi katakata vipande vidogovidogo pia chemsha majani ya mbaazi pamoja na majani ya kabechi(kabeji) hakikisha hivyo vitu vyote unachemsha kwa pamoja.

    MATUMIZI.

    1.KWA MIGUU KUUMA, KUFA GANZI, KUVIMBA, KUWAKA MOTO
    Hiyo dawa yako uliyoichemsha utakuwa unajikanda ingali ya uvuguvugu na maji yake mengine utakuwa unakunywa kikombe kimoja Cha chai Cha dawa hiyo kujikanda jikande kutwa mara 2 ndani ya siku 7-14 lakini kunywa ni mara 3 kwa siku ndani ya siku 7-14.

    2.MAUMIVU YA KIUNO
    Uwe unajikanda hiyo dawa yako kutwa mara 2 kwa siku 5-7 pia utakuwa unakunywa maji yake kutwa mara 3 kwa siku 5-7.

    3.KUTOA SUMU MWILINI
    Utakuwa unakunywa kikombe Cha chai Cha hiyo dawa yako kutwa mara 3 kwa siku 7.

    4.KUTOA MAUMIVU MAKALI YA MWILI
    Utakuwa unajipiga nyungu hiyo dawa yako kutwa mara 2 kwa siku 3-5.

    5.KUTOA VITU VINAVYOTEMBEA KWENYE MWILI
    Utakuwa unajipiga nyungu hiyo dawa yako kutwa mara 2 kwa siku 5-7 pia utakuwa unakunywa kikombe Cha chai Cha hiyo dawa yako ingali ya uvuguvugu kutwa mara 3 kwa siku 5-7.
    DAWA YA MIGUU KUUMA, KUFA GANZI, KUVIMBA, KUWAKA MOTO PIA NI DAWA YA MAUMIVU YA KIUNO PIA NI DAWA YA KUTOA SUMU MWILINI PIA NI DAWA YA KUTOA MAUMIVU MAKALI YA MWILI PIA NI DAWA YA KUTOA VITU VINAVYOTEMBEA KWENYE MWILI. Chemsha majani ya nyanya na tunda la nyanya ambalo ni bichi katakata vipande vidogovidogo pia chemsha majani ya mbaazi pamoja na majani ya kabechi(kabeji) hakikisha hivyo vitu vyote unachemsha kwa pamoja. MATUMIZI. 1.KWA MIGUU KUUMA, KUFA GANZI, KUVIMBA, KUWAKA MOTO Hiyo dawa yako uliyoichemsha utakuwa unajikanda ingali ya uvuguvugu na maji yake mengine utakuwa unakunywa kikombe kimoja Cha chai Cha dawa hiyo kujikanda jikande kutwa mara 2 ndani ya siku 7-14 lakini kunywa ni mara 3 kwa siku ndani ya siku 7-14. 2.MAUMIVU YA KIUNO Uwe unajikanda hiyo dawa yako kutwa mara 2 kwa siku 5-7 pia utakuwa unakunywa maji yake kutwa mara 3 kwa siku 5-7. 3.KUTOA SUMU MWILINI Utakuwa unakunywa kikombe Cha chai Cha hiyo dawa yako kutwa mara 3 kwa siku 7. 4.KUTOA MAUMIVU MAKALI YA MWILI Utakuwa unajipiga nyungu hiyo dawa yako kutwa mara 2 kwa siku 3-5. 5.KUTOA VITU VINAVYOTEMBEA KWENYE MWILI Utakuwa unajipiga nyungu hiyo dawa yako kutwa mara 2 kwa siku 5-7 pia utakuwa unakunywa kikombe Cha chai Cha hiyo dawa yako ingali ya uvuguvugu kutwa mara 3 kwa siku 5-7.
    Like
    Love
    5
    · 3 Comentários ·0 Compartilhamentos ·603 Visualizações
  • TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO.
    Utaunguza kifuu Cha nazi Kisha utakisaga ili upate unga wake halafu baada ya hapo utakuwa unachukua kijiko kimoja Cha chai Cha hiyo dawa Yako unaweka kwenye kikombe Cha maziwa freshi halafu unakunywa zoezi hili lifanyike kutwa mara 3 Kwa siku 21 hakika mwenyezi Mungu atajalia utapona kabisa hata kama ni tatizo la mda mrefu utapona tu.
    TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO. Utaunguza kifuu Cha nazi Kisha utakisaga ili upate unga wake halafu baada ya hapo utakuwa unachukua kijiko kimoja Cha chai Cha hiyo dawa Yako unaweka kwenye kikombe Cha maziwa freshi halafu unakunywa zoezi hili lifanyike kutwa mara 3 Kwa siku 21 hakika mwenyezi Mungu atajalia utapona kabisa hata kama ni tatizo la mda mrefu utapona tu.
    Love
    Like
    Wow
    7
    · 5 Comentários ·0 Compartilhamentos ·656 Visualizações
  • 🤫🤫🤫🤫🤫🤫😂
    Love
    Haha
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·53 Visualizações
  • *AFYA YA MACHO.*

    *Daniel S.W.*

    Macho ni kiungo Muhimu sana kwa kuona. Asilimia kubwa ya taarifa kwa sisi wanadamu tunazipata kwa kupitia macho.

    Lakini wengi hazituzingatii Afya ya macho yapokuwa tunayatumia mpaka pale ambapo tatizo linakuwa kubwa na ndio tunakumbuka kwenda kwa Madaktari.

    WHO inasema kuna takbrani watu billioni 2.2 wenye matatizo ya macho au Upofu. Na kati ya Hao watu Billioni 1 wana matatizo ya Macho ambayo yangeweza yatibu mapema *¹*

    Matatizo ya macho ni matatizo ambayo yanawaathiri watu wengi. Na hata kama hauna tatizo unajukumu la kuhakikisha usalama wa macho yako upo katika viwango vizuri.

    Kwanza kabisa tambua kuwa Jicho linahitaji mambo yafuatayo.

    *Vitamin A*. Vitamin Hii inahitajika sana kwaajili ya kuzalisha rhodopsin ambazo ni seli Muhimu sana ndani ya jicho zinazosaidia kuona. Na pia Vitamin A inasaidia sana kufanya jicho liwe na hali ya unyevu wakati wote.

    *Carotenoids*. Hizi ni vichembechembe vinavyofanya matunda yawe na rangi. Hivi husaidia katika kuondoa sumusumu kwenye jicho.

    *Vitamin C na E.* Hizi pia zinasaidi katika kulinda jicho dhidi ya sumusumu. Hizi vitamin zinapatikana sana kwenye matunda, nafaka, na Mboga mboga.

    Tuendelee kujifunza ili tuweze zingatia macho yetu.
    *AFYA YA MACHO.* *Daniel S.W.* Macho ni kiungo Muhimu sana kwa kuona. Asilimia kubwa ya taarifa kwa sisi wanadamu tunazipata kwa kupitia macho. Lakini wengi hazituzingatii Afya ya macho yapokuwa tunayatumia mpaka pale ambapo tatizo linakuwa kubwa na ndio tunakumbuka kwenda kwa Madaktari. WHO inasema kuna takbrani watu billioni 2.2 wenye matatizo ya macho au Upofu. Na kati ya Hao watu Billioni 1 wana matatizo ya Macho ambayo yangeweza yatibu mapema *¹* Matatizo ya macho ni matatizo ambayo yanawaathiri watu wengi. Na hata kama hauna tatizo unajukumu la kuhakikisha usalama wa macho yako upo katika viwango vizuri. Kwanza kabisa tambua kuwa Jicho linahitaji mambo yafuatayo. *Vitamin A*. Vitamin Hii inahitajika sana kwaajili ya kuzalisha rhodopsin ambazo ni seli Muhimu sana ndani ya jicho zinazosaidia kuona. Na pia Vitamin A inasaidia sana kufanya jicho liwe na hali ya unyevu wakati wote. *Carotenoids*. Hizi ni vichembechembe vinavyofanya matunda yawe na rangi. Hivi husaidia katika kuondoa sumusumu kwenye jicho. *Vitamin C na E.* Hizi pia zinasaidi katika kulinda jicho dhidi ya sumusumu. Hizi vitamin zinapatikana sana kwenye matunda, nafaka, na Mboga mboga. Tuendelee kujifunza ili tuweze zingatia macho yetu.
    Love
    Like
    8
    · 6 Comentários ·0 Compartilhamentos ·761 Visualizações
  • Mi nimempenda uyo?
    Mi nimempenda uyo?
    Love
    Haha
    4
    · 3 Comentários ·0 Compartilhamentos ·248 Visualizações
  • Lets make our Village to be the World.
    #socialpop
    Lets make our Village to be the World. #socialpop
    Like
    Love
    31
    · 13 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • #paulswai
    #paulswai
    Like
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·159 Visualizações ·44
  • Siku yangu ya kwanza kununua gari #social pop#
    Siku yangu ya kwanza kununua gari 😂😂 #social pop#
    Like
    Love
    Haha
    8
    · 2 Comentários ·1 Compartilhamentos ·907 Visualizações ·255


  • NEW NEW PLATFORM III PYAAA TENA FREE UWEKI HELA NA SIKUSHAURI UWEKE HELA

    sharti ya hiiii unga watu 50 tu


    utaingia VP 2 free na uta pat dollar $6 free sawa na shilingi 16200 tz❤‍🔥

    kua wa kwaza kujisajili

    https://soytrc20.com/#/register?ic=683685
    jisajili chap apo

    https://soytrc20.com/#/register?ic=683685
    NEW NEW PLATFORM III PYAAA TENA 💸💵🔥🔥🔥🔥🔥FREE UWEKI HELA NA SIKUSHAURI UWEKE HELA💵💸🔥🔥🔥🔥 sharti ya hiiii unga watu 50 tu utaingia VP 2 free na uta pat dollar $6 free sawa na shilingi 16200 tz💸💵🔥🔥🔥🔥❤‍🔥 kua wa kwaza kujisajili👇👇👇👇 https://soytrc20.com/#/register?ic=683685 jisajili chap apo https://soytrc20.com/#/register?ic=683685
    Like
    Love
    Haha
    6
    · 6 Comentários ·0 Compartilhamentos ·642 Visualizações
  • Wakati ilikuwa jana na leo sio juzi tako [Neemadish]
    Wakati ilikuwa jana na leo sio juzi tako [Neemadish]
    Like
    Love
    3
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·434 Visualizações