• Kama ni Gari yako utafanyaje ???
    #paulswai
    Kama ni Gari yako utafanyaje ??? #paulswai
    Like
    3
    2 Comments 0 Shares 118 Views 63
  • Mambo gani tena haya jamani Kwa bongo Yatafananishwa na nani?
    #paulswai
    Mambo gani tena haya jamani 😂😂😂😂 Kwa bongo Yatafananishwa na nani? #paulswai
    Like
    2
    1 Comments 0 Shares 158 Views 61
  • 𝗛𝗜𝗜 𝗜𝗦𝗛𝗨 𝗬𝗔 𝗬𝗨𝗦𝗨𝗙𝗨 𝗞𝗔𝗚𝗢𝗠𝗔 𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗪𝗔𝗜𝗗𝗔 𝗦𝗔𝗡𝗔 𝗦𝗘𝗠𝗔 𝗪𝗔𝗔𝗡𝗗𝗜𝗦𝗛𝗜 𝗪𝗘𝗡𝗚𝗜 𝗛𝗔𝗪𝗔𝗭𝗜𝗝𝗨𝗜 𝗦𝗛𝗘𝗥𝗜𝗔 𝗭𝗔 𝗠𝗣𝗜𝗥𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗜 𝗧𝗙𝗙 𝗪𝗔𝗠𝗣𝗘 𝗞𝗜𝗕𝗔𝗟𝗜 𝗖𝗛𝗔 𝗞𝗨𝗖𝗛𝗘𝗭𝗔 𝗜𝗟𝗜 𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗜𝗣𝗢𝗞𝗪𝗘 𝗣𝗢𝗜𝗡𝗧
    #paulswai
    𝗛𝗜𝗜 𝗜𝗦𝗛𝗨 𝗬𝗔 𝗬𝗨𝗦𝗨𝗙𝗨 𝗞𝗔𝗚𝗢𝗠𝗔 𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗪𝗔𝗜𝗗𝗔 𝗦𝗔𝗡𝗔 𝗦𝗘𝗠𝗔 𝗪𝗔𝗔𝗡𝗗𝗜𝗦𝗛𝗜 𝗪𝗘𝗡𝗚𝗜 𝗛𝗔𝗪𝗔𝗭𝗜𝗝𝗨𝗜 𝗦𝗛𝗘𝗥𝗜𝗔 𝗭𝗔 𝗠𝗣𝗜𝗥𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗜 𝗧𝗙𝗙 𝗪𝗔𝗠𝗣𝗘 𝗞𝗜𝗕𝗔𝗟𝗜 𝗖𝗛𝗔 𝗞𝗨𝗖𝗛𝗘𝗭𝗔 𝗜𝗟𝗜 𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗜𝗣𝗢𝗞𝗪𝗘 𝗣𝗢𝗜𝗡𝗧😁 #paulswai
    Like
    2
    2 Comments 0 Shares 118 Views
  • 𝗦𝗧𝗘𝗩𝗘𝗡 𝗗𝗘𝗦𝗘 𝗠𝗨𝗞𝗪𝗔𝗟𝗔 𝗨𝗞𝗜𝗠𝗨𝗔𝗡𝗚𝗔𝗟𝗜𝗔 𝗡𝗜 𝗞𝗔𝗠𝗔 𝗕𝗜𝗦𝗛𝗢𝗢 𝗙𝗟𝗔𝗡𝗜 𝗜𝗩𝗜 𝗜𝗟𝗔 𝗛𝗔𝗕𝗔𝗥𝗜 𝗬𝗔𝗞𝗘 𝗡𝗜 𝗠𝗢𝗧𝗢 𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗢𝗧𝗘𝗔 𝗠𝗕𝗔𝗟𝗜
    #paulswai
    𝗦𝗧𝗘𝗩𝗘𝗡 𝗗𝗘𝗦𝗘 𝗠𝗨𝗞𝗪𝗔𝗟𝗔 𝗨𝗞𝗜𝗠𝗨𝗔𝗡𝗚𝗔𝗟𝗜𝗔 𝗡𝗜 𝗞𝗔𝗠𝗔 𝗕𝗜𝗦𝗛𝗢𝗢 𝗙𝗟𝗔𝗡𝗜 𝗜𝗩𝗜 𝗜𝗟𝗔 𝗛𝗔𝗕𝗔𝗥𝗜 𝗬𝗔𝗞𝗘 𝗡𝗜 𝗠𝗢𝗧𝗢 𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗢𝗧𝗘𝗔 𝗠𝗕𝗔𝗟𝗜🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 #paulswai
    Like
    Love
    2
    0 Comments 0 Shares 121 Views

  • KAGOMA NI MCHEZAJI HALALI WA KLABU YA SIMBA SC - MWENYEKITI

    Mwenyekiti wa klabu ya Simba Murtaza Mangungu amesema kiungo Yusuph Kagoma ni mchezaji halali wa klabu ya Simba kwani walifauta taratibu zote kumsajili kutoka klabu ya Singida Fountain Gate.

    "Sisi tulifuata taratibu zote za kumsajili Kagoma ikiwa pamoja na kuwasiliana klabu aliyokuwa anacheza, Fountain Gate ambao walitupatia release letter"

    "Ndio maana mchezaji unaona amepata leseni ya kuitumikia Simba. Lakini kwa sababu suala lake liko mbele ya Kamati tunasubiri maamuzi," alisema Mangungu

    Taarifa iliyopatikana mapema hapo jana, imebainisha kuwa Kamati imemsimamisha Kagoma kwa muda wakati shauri lake likiendelea kusikilizwa

    Swali ni je kwanini Mwanzo aliruhusiwa kucheza..?

    #paulswai
    🚨KAGOMA NI MCHEZAJI HALALI WA KLABU YA SIMBA SC - MWENYEKITI 🔗Mwenyekiti wa klabu ya Simba Murtaza Mangungu amesema kiungo Yusuph Kagoma ni mchezaji halali wa klabu ya Simba kwani walifauta taratibu zote kumsajili kutoka klabu ya Singida Fountain Gate. 🗣️ "Sisi tulifuata taratibu zote za kumsajili Kagoma ikiwa pamoja na kuwasiliana klabu aliyokuwa anacheza, Fountain Gate ambao walitupatia release letter" 🗣️ "Ndio maana mchezaji unaona amepata leseni ya kuitumikia Simba. Lakini kwa sababu suala lake liko mbele ya Kamati tunasubiri maamuzi," alisema Mangungu Taarifa iliyopatikana mapema hapo jana, imebainisha kuwa Kamati imemsimamisha Kagoma kwa muda wakati shauri lake likiendelea kusikilizwa 🔗 Swali ni je kwanini Mwanzo aliruhusiwa kucheza..? #paulswai
    Like
    2
    2 Comments 0 Shares 1K Views
  • Leo tuna mchezo wa kirafiki kati ya Simba na Jkt Tz uwanja wa KMC Complex Mwenge, mechi hii itachezwa bila watazamaji
    #paulswai
    Leo tuna mchezo wa kirafiki kati ya Simba na Jkt Tz uwanja wa KMC Complex Mwenge, mechi hii itachezwa bila watazamaji #paulswai
    Like
    2
    0 Comments 0 Shares 278 Views
  • FULL TIME

    Simba Sc 2️⃣ 0️⃣ JKT Tanzania

    24' Jean Ahoua (P)
    ⚽️ 90' Saleh Karabaka ( Mashaka)

    #MechiYaKirafiki
    #paulswai
    FULL TIME ⏰ Simba Sc 2️⃣ ➖ 0️⃣ JKT Tanzania ⚽ 24' Jean Ahoua (P) ⚽️ 90' Saleh Karabaka (🎯 Mashaka) #MechiYaKirafiki #paulswai
    Like
    2
    0 Comments 0 Shares 444 Views
  • 𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗜𝗟𝗜𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗠𝗔𝗦𝗛𝗔𝗕𝗜𝗞𝗜 𝗪𝗘𝗡𝗚𝗜 𝗩𝗜𝗝𝗔𝗡𝗔 𝗞𝗪𝗔𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗬𝗔 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗗𝗘𝗟𝗘𝗭𝗢 𝗕𝗢𝗥𝗔 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗔𝗡𝗜𝗞𝗜𝗢 𝗡𝗔 𝗛𝗔𝗜𝗞𝗨𝗪𝗔𝗜 𝗞𝗨𝗪𝗔𝗣𝗘𝗟𝗘𝗞𝗔 𝗕𝗘𝗔𝗖𝗛
    #paulswai
    𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗜𝗟𝗜𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗠𝗔𝗦𝗛𝗔𝗕𝗜𝗞𝗜 𝗪𝗘𝗡𝗚𝗜 𝗩𝗜𝗝𝗔𝗡𝗔 𝗞𝗪𝗔𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗬𝗔 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗗𝗘𝗟𝗘𝗭𝗢 𝗕𝗢𝗥𝗔 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗔𝗡𝗜𝗞𝗜𝗢 𝗡𝗔 𝗛𝗔𝗜𝗞𝗨𝗪𝗔𝗜 𝗞𝗨𝗪𝗔𝗣𝗘𝗟𝗘𝗞𝗔 𝗕𝗘𝗔𝗖𝗛 ⛱️ #paulswai
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 119 Views
  • UPDATES

    Kikosi cha Simba Kinatarajia kuondoka nchini Usiku wa Jamatano kuelekea Nchini Libya kwaajili ya Mchezo wa kombe la Shirikisho Barani Africa (CAFCC) dhidi ya Al Ahly Tripol utakaochezwa Tarehe 15 mwezi huu.
    #paulswai
    UPDATES👇 Kikosi cha Simba Kinatarajia kuondoka nchini Usiku wa Jamatano kuelekea Nchini Libya kwaajili ya Mchezo wa kombe la Shirikisho Barani Africa (CAFCC) dhidi ya Al Ahly Tripol utakaochezwa Tarehe 15 mwezi huu. #paulswai
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 652 Views
  • Uso wa mtu ni sebule lakini moyo wa mtu ni uvungu
    Uso wa mtu ni sebule lakini moyo wa mtu ni uvungu
    Like
    Yay
    5
    0 Comments 0 Shares 441 Views