0 Комментарии
0 Поделились
3 Просмотры
Каталог
Share your ideas, Make money with Social Pop, enjoy on our lager village
-
Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
-
Marvel Rivals – A Bold New Hero Shooter DebutsFrom the moment you log in, the influence is unmistakable. This new contender has arrived, bringing a fresh coat of paint to a familiar formula. The core loop of team objectives and hero combat feels instantly recognizable. Yet, it’s all delivered with a sleek, contemporary flair that captures the eye. While the foundational mechanics may not yet reach the same polished depth, its visual...0 Комментарии 0 Поделились 1 Просмотры
-
Hogwarts Adventure: A Wizarding World RPGHogwarts Adventure Overview Prepare for a journey back to the 1800s, where the halls of Hogwarts await your arrival. This immersive role-playing adventure, developed by Avalanche, invites you to carve your own path in a time before the familiar tales. Master ancient spells, concoct potent potions, and forge bonds with magical creatures as you define your legacy. The castle is just the...0 Комментарии 0 Поделились 1 Просмотры
-
Breast Augmentation Dubai: How Lifestyle Affects OutcomesCosmetic surgery is not only about the procedure itself but also about the lifestyle choices a person makes before and after treatment. One of the most popular procedures today is breast augmentation dubai, where women seek natural beauty, confidence, and balance in their body shape. Dubai has become a trusted destination for this surgery because of its modern clinics, advanced technology, and...0 Комментарии 0 Поделились 2 Просмотры
-
0 Комментарии 0 Поделились 2 Просмотры
-
Bathtub With Water Purification System | Spa Style Bathtub for HomeModern homeowners are no longer satisfied with a basic soaking tub. Health, hygiene, and long-term wellness have become top priorities, driving demand for a bathtub with water purification system. Unlike traditional bathtubs, these advanced systems filter and condition water before it reaches your skin, creating a noticeably cleaner and more luxurious bathing experience. A high-quality bathtub...0 Комментарии 0 Поделились 2 Просмотры
-
0 Комментарии 0 Поделились 2 Просмотры
-
0 Комментарии 0 Поделились 3 Просмотры
-
Mwigizaji wa Nollywood Maurice Sam, mtandaoni yachafukwa baada ya shambulio la risasi.
Mwigizaji wa filamu za Nollywood, Nigeria, Maurice Sam, amesambaa kwenye vichwa vya habari mtandaoni baada ya taarifa zinazodai kuwa alishambuliwa kwa risasi jana Februari 13, 2026 akiwa kwenye seti ya filamu yake mpya. Tukio hili lilianza kuchipuka mtandaoni baada ya Mwanaharakati maarufu wa mitandao, Very Dark Man, kuposti picha na madai ya kwamba Mwigizaji huyo alikuwa amejeruhiwa vibaya na alikuwa akifikiria kuondoka Nigeria ili kulinda usalama wake.
Ripoti kutoka tovuti ya Latest Nigerian News inaeleza kuwa baadhi ya picha zilizosambazwa mtandaoni zinaonyesha Gari lililoharibiwa na alama za risasi, jambo lililoashiria hatari kubwa aliyokabiliana nayo Mwigizaji huyo. Mada hii iliibua mjadala mkali miongoni mwa mashabiki, wadau wa filamu, na Watumiaji wa mitandao ya kijamii, huku wengi wakihoji ni nini hasa kilichosababisha tukio hili na kuzingatia juhudi za Maurice Sam kujijenga kibiashara na kupata nafasi kubwa ndani ya tasnia ya Nollywood.
Mchambuzi mmoja wa tasnia ya filamu alisema: “Ni jambo linalotia wasiwasi kuona msanii chipukizi akikabiliwa na tukio la aina hii. Inaleta mjadala juu ya usalama wa wasanii na hali ya kazi kwenye tasnia ya filamu nchini Nigeria.”
Hata hivyo, ripoti hizo pia zinaonyesha wazi kuwa hakuna uthibitisho rasmi kutoka kwa Mwigizaji, Polisi, au vyombo vya habari vikuu. Taarifa hizi zinazozagaa zinatokana zaidi na mitandao ya kijamii, na bado hazina uthibitisho wa moja kwa moja wa jeraha lolote lililopatikana.
Kwa sasa, Maurice Sam yupo salama, ingawa duru zinaeleza kuwa tukio hili limemuathiri kisaikolojia kiasi cha kuanza kufikiria kuachana na uigizaji na kuwekeza katika shughuli nyingine za kibiashara. Tukio hili limeibua mjadala wa kimataifa kuhusu hatari zinazoweza kutokea kwa Wasanii chipukizi, huku wadau wa tasnia wakihimiza tahadhari na uangalizi zaidi kwenye seti za filamu.
Toa maoni yako
#Filamu
#HabariMwigizaji wa Nollywood Maurice Sam, mtandaoni yachafukwa baada ya shambulio la risasi. Mwigizaji wa filamu za Nollywood, Nigeria, Maurice Sam, amesambaa kwenye vichwa vya habari mtandaoni baada ya taarifa zinazodai kuwa alishambuliwa kwa risasi jana Februari 13, 2026 akiwa kwenye seti ya filamu yake mpya. Tukio hili lilianza kuchipuka mtandaoni baada ya Mwanaharakati maarufu wa mitandao, Very Dark Man, kuposti picha na madai ya kwamba Mwigizaji huyo alikuwa amejeruhiwa vibaya na alikuwa akifikiria kuondoka Nigeria ili kulinda usalama wake. Ripoti kutoka tovuti ya Latest Nigerian News inaeleza kuwa baadhi ya picha zilizosambazwa mtandaoni zinaonyesha Gari lililoharibiwa na alama za risasi, jambo lililoashiria hatari kubwa aliyokabiliana nayo Mwigizaji huyo. Mada hii iliibua mjadala mkali miongoni mwa mashabiki, wadau wa filamu, na Watumiaji wa mitandao ya kijamii, huku wengi wakihoji ni nini hasa kilichosababisha tukio hili na kuzingatia juhudi za Maurice Sam kujijenga kibiashara na kupata nafasi kubwa ndani ya tasnia ya Nollywood. Mchambuzi mmoja wa tasnia ya filamu alisema: “Ni jambo linalotia wasiwasi kuona msanii chipukizi akikabiliwa na tukio la aina hii. Inaleta mjadala juu ya usalama wa wasanii na hali ya kazi kwenye tasnia ya filamu nchini Nigeria.” Hata hivyo, ripoti hizo pia zinaonyesha wazi kuwa hakuna uthibitisho rasmi kutoka kwa Mwigizaji, Polisi, au vyombo vya habari vikuu. Taarifa hizi zinazozagaa zinatokana zaidi na mitandao ya kijamii, na bado hazina uthibitisho wa moja kwa moja wa jeraha lolote lililopatikana. Kwa sasa, Maurice Sam yupo salama, ingawa duru zinaeleza kuwa tukio hili limemuathiri kisaikolojia kiasi cha kuanza kufikiria kuachana na uigizaji na kuwekeza katika shughuli nyingine za kibiashara. Tukio hili limeibua mjadala wa kimataifa kuhusu hatari zinazoweza kutokea kwa Wasanii chipukizi, huku wadau wa tasnia wakihimiza tahadhari na uangalizi zaidi kwenye seti za filamu. Toa maoni yako #Filamu #Habari0 Комментарии 0 Поделились 4 Просмотры -
✍🏼 Simba kuanzia dakika ya kwanza walionesha wanaitaka game wakitawala kila eneo la uwanja , wanafanya pressing vizuri , mpira unatembea kwa haraka kwenye nafasi , movements za wachezaji kwenye eneo la mbele .
1: Wakati wanaanza build up yao wanakuwa na muundo wa 2-4 ( CBs wawili nyuma then Kibabage na Duchu wanakuwa mstari mmoja na viungo wao wawili wa kati dhumuni ni kuongeza machaguo ya pasi na kutengeneza idadi nzuri ya wachezaji kwenye phase ya pili ambayo ni kiungo ) walifanikiwa .
2: Oura na Mpanzu wanakuwa wanashambulia nafasi baina ya FBs na CBs wa Stade ndio maana ilikuwa rahisi kwa Kante na Kagoma kuona pasi za mbele hasa kupitia kwenye kiungo .
3: Baada ya hapo ni Simba watafunga magoli mangapi ? Kwasababu nafasi zilianza kufunguka eneo la mbele , rahisi kuifikia defense ya Malien na kuna nyakati wakifika kwenye zone 14 wanapata nafasi na machaguo mengi , nafikiri hawakuwa na ufanisi + Utulivu kwenye actions zao za mwisho .
✍🏼 Stade Malien licha ya kuzuia wakiwa na idadi kubwa ya wachezaji eneo la chini lakini bado Simba walikuwa wanapata nafasi nyuma ya viungo wao wa ulinzi ( rahisi mpinzani kumuadhibu ) .
✍🏼 Kipindi cha pili , Simba walipunguza kasi yao ya uchezaji tofauti na kipindi cha kwanza .
1: Wapo slow kwenye maamuzi yao wakiwa na mpira .
2: Hakuna runner eneo la mbele ( wachezaji wao wa mbele wanahitaji mpira mguuni na sio kwenye nafasi )
3: Hakuna pasi za mbele kulazimisha kuifungua defense ya Malien .
4: Nafikiri wanatakiwa kuboresha kwenye performance yao ya kipindi cha pili , Energy yao inashuka sana .
NOTE :
1: Anicet Oura anafanya kila kitu kwa usahihi ( akiwa na mpira na bila mpira )
2: Kante ubora wake wa kupasi mpira kwa usahihi na kwenye maeneo sahihi
3: Kassali kafanya saves nyingi nzuri za kuwafanya Simba kubaki mchezoni .
4: Mwalimu anatakiwa kuboresha Finishing yake , kila kitu anafanya kwa usahihi .
5: De Reuck kwenye kushinda mipambano yake 👍🏽 : Duchu , Kibabage , Chama & Kagoma
FT : Simba Sc 1-0 Stade Malien
- Kelvin Rabson, Mchambuzi.
Toa maoni yako
#Sports
#Habari✍🏼 Simba kuanzia dakika ya kwanza walionesha wanaitaka game wakitawala kila eneo la uwanja , wanafanya pressing vizuri , mpira unatembea kwa haraka kwenye nafasi , movements za wachezaji kwenye eneo la mbele . 1: Wakati wanaanza build up yao wanakuwa na muundo wa 2-4 ( CBs wawili nyuma then Kibabage na Duchu wanakuwa mstari mmoja na viungo wao wawili wa kati dhumuni ni kuongeza machaguo ya pasi na kutengeneza idadi nzuri ya wachezaji kwenye phase ya pili ambayo ni kiungo ) walifanikiwa . 2: Oura na Mpanzu wanakuwa wanashambulia nafasi baina ya FBs na CBs wa Stade ndio maana ilikuwa rahisi kwa Kante na Kagoma kuona pasi za mbele hasa kupitia kwenye kiungo . 3: Baada ya hapo ni Simba watafunga magoli mangapi ? Kwasababu nafasi zilianza kufunguka eneo la mbele , rahisi kuifikia defense ya Malien na kuna nyakati wakifika kwenye zone 14 wanapata nafasi na machaguo mengi , nafikiri hawakuwa na ufanisi + Utulivu kwenye actions zao za mwisho . ✍🏼 Stade Malien licha ya kuzuia wakiwa na idadi kubwa ya wachezaji eneo la chini lakini bado Simba walikuwa wanapata nafasi nyuma ya viungo wao wa ulinzi ( rahisi mpinzani kumuadhibu ) . ✍🏼 Kipindi cha pili , Simba walipunguza kasi yao ya uchezaji tofauti na kipindi cha kwanza . 1: Wapo slow kwenye maamuzi yao wakiwa na mpira . 2: Hakuna runner eneo la mbele ( wachezaji wao wa mbele wanahitaji mpira mguuni na sio kwenye nafasi ) 3: Hakuna pasi za mbele kulazimisha kuifungua defense ya Malien . 4: Nafikiri wanatakiwa kuboresha kwenye performance yao ya kipindi cha pili , Energy yao inashuka sana . NOTE : 1: Anicet Oura anafanya kila kitu kwa usahihi ( akiwa na mpira na bila mpira ) 2: Kante ubora wake wa kupasi mpira kwa usahihi na kwenye maeneo sahihi 🔥 3: Kassali kafanya saves nyingi nzuri za kuwafanya Simba kubaki mchezoni . 4: Mwalimu anatakiwa kuboresha Finishing yake , kila kitu anafanya kwa usahihi . 5: De Reuck kwenye kushinda mipambano yake 👍🏽 : Duchu , Kibabage , Chama & Kagoma ✅ FT : Simba Sc 1-0 Stade Malien - Kelvin Rabson, Mchambuzi. Toa maoni yako #Sports #Habari0 Комментарии 0 Поделились 4 Просмотры