• Massamba Intore na Kidum watangaza mpango wa albamu ya pamoja.

    Msanii Mkongwe wa muziki wa jadi nchini Rwanda, Massamba Intore, ametangaza rasmi kuwa yuko katika maandalizi ya kutengeneza albamu ya pamoja na Msanii maarufu wa Afrika Mashariki kutoka Nchini Burundi, Kidum.

    Kwa mujibu wa maelezo yao, mpango huo hautakuwa tu mkusanyiko wa nyimbo, bali ni uthibitisho wa urafiki wao wa muda mrefu na ushirikiano wa kisanii uliokua kwa miaka kadhaa. Wawili hao wanatarajia kuunganisha uzoefu wao mkubwa katika muziki wa maonyesho ya moja kwa moja (Live), ambao umekuwa alama ya mafanikio yao jukwaani.

    Ikumbukwe kwamba Masamba na Kidum alishafanya wimbo wa pamoja uitwao "Wapi ye" zaidi ya 15 iliyopita na ulifanya vizuri kipindi hicho.

    Massamba alitoa taarifa hiyo usiku wa Ijumaa, tarehe 13 Februari 2026, alipohudhuria hafla ya uzinduzi wa albamu “Inganzo Ntahangarwa” ya Msanii Yvan Muziki.

    Akiwa jukwaani pamoja na Kidum, Massamba hakuweza kuficha hisia zake. Alisisitiza kuwa anamshukuru sana Kidum kwa mchango wake mkubwa katika safari yake ya muziki.

    Massamba alisema: “Namshukuru sana Kidum kwa mchango wake katika safari yangu ya muziki. Amenisaidia kupata ujasiri wa kupeleka kazi zangu studio na kuziwasilisha katika viwango vya kimataifa.”

    Kauli hiyo ilishangiliwa na mashabiki waliokuwa ukumbini, wakionesha matumaini makubwa juu ya albamu hiyo inayotarajiwa kuleta ladha ya kipekee kwa Wapenzi wa muziki wa zamani na wa kisasa.

    Kwa kuzingatia historia yao ndefu jukwaani, Wachambuzi wa muziki wanaamini kuwa albamu hiyo itakuwa daraja la kuunganisha mitindo tofauti ya muziki wa jadi wa Rwanda na ladha ya kimataifa inayobebwa na Kidum.

    Mpango huu unatarajiwa kuimarisha zaidi ushirikiano wa Wasanii wa kanda ya Afrika Mashariki, huku ukitoa ujumbe wa mshikamano na urafiki kupitia sanaa.

    Mashabiki sasa wanasubiri kwa hamu kutangazwa kwa tarehe rasmi ya uzinduzi wa albamu hiyo, ambayo tayari imeanza kuvutia mjadala mpana katika mitandao ya kijamii hasa Nchini Rwanda.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Massamba Intore na Kidum watangaza mpango wa albamu ya pamoja. Msanii Mkongwe wa muziki wa jadi nchini Rwanda, Massamba Intore, ametangaza rasmi kuwa yuko katika maandalizi ya kutengeneza albamu ya pamoja na Msanii maarufu wa Afrika Mashariki kutoka Nchini Burundi, Kidum. Kwa mujibu wa maelezo yao, mpango huo hautakuwa tu mkusanyiko wa nyimbo, bali ni uthibitisho wa urafiki wao wa muda mrefu na ushirikiano wa kisanii uliokua kwa miaka kadhaa. Wawili hao wanatarajia kuunganisha uzoefu wao mkubwa katika muziki wa maonyesho ya moja kwa moja (Live), ambao umekuwa alama ya mafanikio yao jukwaani. Ikumbukwe kwamba Masamba na Kidum alishafanya wimbo wa pamoja uitwao "Wapi ye" zaidi ya 15 iliyopita na ulifanya vizuri kipindi hicho. Massamba alitoa taarifa hiyo usiku wa Ijumaa, tarehe 13 Februari 2026, alipohudhuria hafla ya uzinduzi wa albamu “Inganzo Ntahangarwa” ya Msanii Yvan Muziki. Akiwa jukwaani pamoja na Kidum, Massamba hakuweza kuficha hisia zake. Alisisitiza kuwa anamshukuru sana Kidum kwa mchango wake mkubwa katika safari yake ya muziki. Massamba alisema: “Namshukuru sana Kidum kwa mchango wake katika safari yangu ya muziki. Amenisaidia kupata ujasiri wa kupeleka kazi zangu studio na kuziwasilisha katika viwango vya kimataifa.” Kauli hiyo ilishangiliwa na mashabiki waliokuwa ukumbini, wakionesha matumaini makubwa juu ya albamu hiyo inayotarajiwa kuleta ladha ya kipekee kwa Wapenzi wa muziki wa zamani na wa kisasa. Kwa kuzingatia historia yao ndefu jukwaani, Wachambuzi wa muziki wanaamini kuwa albamu hiyo itakuwa daraja la kuunganisha mitindo tofauti ya muziki wa jadi wa Rwanda na ladha ya kimataifa inayobebwa na Kidum. Mpango huu unatarajiwa kuimarisha zaidi ushirikiano wa Wasanii wa kanda ya Afrika Mashariki, huku ukitoa ujumbe wa mshikamano na urafiki kupitia sanaa. Mashabiki sasa wanasubiri kwa hamu kutangazwa kwa tarehe rasmi ya uzinduzi wa albamu hiyo, ambayo tayari imeanza kuvutia mjadala mpana katika mitandao ya kijamii hasa Nchini Rwanda. Toa maoni yako #Habari
    0 Commentarios 0 Acciones 16 Views
  • How Online Embroidery Digitizing Helps You Create Clean Designs
    What Is Online Embroidery Digitizing? First of all, online embroidery digitizing means turning a picture or logo into a stitch file for an embroidery machine. In simple words, it helps your design become thread on fabric. For example, when a logo is sent online, it is changed into stitches by a skilled person. Then, the file can be used on machines easily. Also, this process helps small...
    0 Commentarios 0 Acciones 2 Views
  • Buy Packman THC Vape in Riyadh – Premium Vaping Experience Delivered Fast
      Looking to buy Packman THC Vape in Riyadh? Discover the smooth, potent, and flavorful vaping experience with fast drop-off delivery. Explore more about THC Vape Saudi Arabia today. Introduction: Experience Packman THC Vape in Riyadh For cannabis enthusiasts seeking convenience, quality, and a satisfying experience, thc vape Riyadh has quickly become the go-to choice. Packman THC...
    0 Commentarios 0 Acciones 3 Views
  • Buy CBD Vape Juice in Saudi Arabia – Premium CBD Vape Juice Saudi Arabia for Smooth & Discreet Wellness
    Buy CBD Vape Juice in Saudi Arabia and get delivery to anywhere in KSA. Drop offs to car parks or public parking nearest to you. Premium CBD Vape Juice Saudi Arabia for fast, smooth, and discreet relaxation. In recent years, wellness trends have evolved across the globe, and Saudi Arabia is no exception. Many individuals are exploring modern alternatives to support relaxation, balance, and...
    0 Commentarios 0 Acciones 2 Views