Upgrade to Pro

  • Wiki ya kimataifa.

    #WenyeNchi #NguvuMoja
    #paulswai
    Wiki ya kimataifa. #WenyeNchi #NguvuMoja #paulswai
    Like
    Love
    3
    ·2KB Ansichten
  • Raha Jipe Mwenyewe KAZI IPO !!

    Weka Comment Yako Hapa !!
    #paulswai
    Raha Jipe Mwenyewe 😂😂😂 KAZI IPO !!🙌 Weka Comment Yako Hapa !! 😄 #paulswai
    Like
    1
    ·109 Ansichten ·43 Ansichten
  • MAGOLI YOTE :: SIMBA 2-0 JKT TZ
    #paulswai
    🎥 MAGOLI YOTE :: SIMBA 2-0 JKT TZ #paulswai
    Like
    2
    ·119 Ansichten ·43 Ansichten
  • FULL BACK NAMBA 3 YA NCHI #mohamedhussein
    #paulswai
    FULL BACK NAMBA 3 YA NCHI #mohamedhussein #paulswai
    Like
    2
    ·181 Ansichten ·64 Ansichten

  • Makofi mengi Kwa Semaji la CAF
    #paulswai
    Makofi mengi Kwa Semaji la CAF #paulswai
    Like
    2
    ·98 Ansichten ·61 Ansichten

  • HII HAPAHii RATIBA NA TAREHE YA MECHI ZIJAZO ZA SIMBASC MWEZI HUU ..!!

    Al Ahli Tripoli Vs Simba SC
    🗓15/9 (CAFCC - Away)

    Simba SC Vs Al Ahli Tripoli
    22/9 (CAFCC- Home)

    Azam FC Vs Simba SC
    26/9 (NBC - Away)

    Dodoma Jiji Vs Simba SC
    29/9(NBC - Away)

    Unaizungumziaje ratba yetu ya mwezi huu wa tisaa..

    #paulswai
    HII HAPAHii RATIBA NA TAREHE YA MECHI ZIJAZO ZA SIMBASC MWEZI HUU ..!! 🔗Al Ahli Tripoli Vs Simba SC 🗓15/9 (CAFCC - Away) 🔗Simba SC Vs Al Ahli Tripoli 🗓️22/9 (CAFCC- Home) 🔗Azam FC Vs Simba SC 🗓️26/9 (NBC - Away) 🔗Dodoma Jiji Vs Simba SC 🗓️29/9(NBC - Away) Unaizungumziaje ratba yetu ya mwezi huu wa tisaa..🙌 🙌 #paulswai
    Like
    2
    2 Kommentare ·646 Ansichten
  • Steven Mukwala katika orodha ya wachezaji ambao watakuwa sehemu mchezo wa Uganda dhidi ya Congo wa kutafuta nafasi ya kufuzu AFCON 2025. Kila la kheri M9. #WenyeNchi #NguvuMoaj
    #paulswai
    Steven Mukwala katika orodha ya wachezaji ambao watakuwa sehemu mchezo wa Uganda 🇺🇬 dhidi ya Congo 🇨🇬 wa kutafuta nafasi ya kufuzu AFCON 2025. Kila la kheri M9. #WenyeNchi #NguvuMoaj #paulswai
    Like
    Love
    4
    2 Kommentare ·986 Ansichten
  • Kagoma alikua mchezaji wa Fountain Gate na Sio timu yoyote..!!

    Kama timu husika imeridhia kuwa mchezaji amesajiliwa kihalali na Simbasc na mchezaji yupo Simba hii timu nyingine inaingiaje kumtaka mchezaji..?

    Embu nisaidieni majibu.
    #paulswai
    Kagoma alikua mchezaji wa Fountain Gate na Sio timu yoyote..!! 🔗Kama timu husika imeridhia kuwa mchezaji amesajiliwa kihalali na Simbasc na mchezaji yupo Simba hii timu nyingine inaingiaje kumtaka mchezaji..? Embu nisaidieni majibu. #paulswai
    Like
    2
    2 Kommentare ·160 Ansichten
  • 𝐎𝐍𝐀𝐍𝐀 𝐀𝐆𝐄𝐔𝐊𝐀 𝐋𝐔𝐋𝐔 𝐇𝐔𝐊𝐎 𝐋𝐈𝐁𝐘𝐀

    Willy Onana, Mechi kwanza akiwa na uzi wa Al Ahly Benghazi, kaweka Hatrick .

    Ameshateka mashabiki huko Libya ,New Song is Willy Lendré Osemba Onana 🙌🏾🙌🏾
    #paulswai
    🚩 𝐎𝐍𝐀𝐍𝐀 𝐀𝐆𝐄𝐔𝐊𝐀 𝐋𝐔𝐋𝐔 𝐇𝐔𝐊𝐎 𝐋𝐈𝐁𝐘𝐀 Willy Onana, Mechi kwanza akiwa na uzi wa Al Ahly Benghazi, kaweka Hatrick ⚽⚽⚽. Ameshateka mashabiki huko Libya ,New Song is Willy Lendré Osemba Onana 🙌🏾🙌🏾🔥🔥🔥🔥🔥 #paulswai
    Like
    2
    1 Kommentare ·851 Ansichten
  • UPDATES

    Kikosi cha Tanzania 'Taifa Stars' leo kimefanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa mechi Charles Konani Benny kujiandaa na mchezo wa kesho dhidi ya Guinea .

    Mchezo utapigwa saa kumi hapa Yamoussoukro, Ivory Coast ambapo itakuwa ni saa moja usiku nyumbani Tanzania.
    #paulswai
    🚨UPDATES 👇 Kikosi cha Tanzania 🇹🇿 'Taifa Stars' leo kimefanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa mechi Charles Konani Benny kujiandaa na mchezo wa kesho dhidi ya Guinea 🇬🇳. Mchezo utapigwa saa kumi hapa Yamoussoukro, Ivory Coast ambapo itakuwa ni saa moja usiku nyumbani Tanzania. #paulswai
    Like
    2
    1 Kommentare ·469 Ansichten ·33 Ansichten