Rezultatele cautarii
Vedeti tot
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Grupuri
Pagini
Marketplace
Arata mai mult
Grupuri Pagini Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Conecteaza-te
Conecteaza-te Inscrie-te
Theme Switcher
Night Mode
Director
Utilizatori
Postari
Pagini
Grupuri
Events
  • Raymond Stephen @Proxy
    2024-05-30 05:01:20 ·
    Unamfungulia mwanamke wako biashara kwa upendo tu, Halafu anaanza kuliwa na Wateja.
    Unamfungulia mwanamke wako biashara kwa upendo tu, Halafu anaanza kuliwa na Wateja.
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·122 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy
    2024-05-30 05:02:03 ·
    Matatizo yetu mengi kwenye maisha yanatokana na misimamo yetu. Sehemu ambayo tulitakiwa tuseme “Hapana” tukasema “Ndio”. Na sehemu ambayo tulitakiwa tuseme “Ndio” tukasema “Hapana
    Matatizo yetu mengi kwenye maisha yanatokana na misimamo yetu. Sehemu ambayo tulitakiwa tuseme “Hapana” tukasema “Ndio”. Na sehemu ambayo tulitakiwa tuseme “Ndio” tukasema “Hapana
    Love
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·74 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy
    2024-05-30 05:02:32 ·
    Kitu ambacho unakikataa leo, huenda kuna siku kwenye maisha utafikia hatua ya kukikubali na kikawa kwenye nafasi ya kukufaa maishani."
    Kitu ambacho unakikataa leo, huenda kuna siku kwenye maisha utafikia hatua ya kukikubali na kikawa kwenye nafasi ya kukufaa maishani."
    Love
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·81 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy
    2024-05-30 05:03:38 ·
    Kitu ambacho unakikataa leo, huenda kuna siku kwenye maisha utafikia hatua ya kukikubali na kikawa kwenye nafasi ya kukufaa maishani."
    Kitu ambacho unakikataa leo, huenda kuna siku kwenye maisha utafikia hatua ya kukikubali na kikawa kwenye nafasi ya kukufaa maishani."
    Love
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·77 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy
    2024-05-30 05:04:50 ·
    Hii Dunia ina mengi sana, Wewe zingatia tu yale yanayo kupatia Furaha na amani yako ya moyo
    Hii Dunia ina mengi sana, Wewe zingatia tu yale yanayo kupatia Furaha na amani yako ya moyo
    Like
    Love
    3
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·120 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy
    2024-05-30 05:09:02 ·
    Mchawi anaye julikana ni afadhali zaidi. Kuliko mnafiki mmoja anaye igiza kumpenda Mungu, ili hali nyuma ya pazia ana fanyia maovu wengine
    Mchawi anaye julikana ni afadhali zaidi. Kuliko mnafiki mmoja anaye igiza kumpenda Mungu, ili hali nyuma ya pazia ana fanyia maovu wengine
    Like
    Love
    4
    · 165 Commentarii ·0 Distribuiri ·352 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy
    2024-05-30 05:09:34 ·
    Kama kazini kwenu hakuna free WiFi na coffee or tea asubuhi basi upo kibaruani
    Kama kazini kwenu hakuna free WiFi na coffee or tea asubuhi basi upo kibaruani😂
    Like
    2
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·89 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy a adăugat o fotografie
    2024-05-30 05:10:25 ·
    Like
    Love
    4
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·100 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy
    2024-05-30 05:11:23 ·
    Ukihitaji maisha ya amani jifunze sana kuwa msiri wa Mambo yako.
    Ukihitaji maisha ya amani jifunze sana kuwa msiri wa Mambo yako.
    Like
    Love
    5
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·114 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy
    2024-05-30 05:12:12 ·
    Sio kila tunapojuta inamaanisha tulifanya makosa. Wakati mwingine tunajuta kwa sababu ya matendo yetu sahihi ambayo tulimfanyia mtu asiyestahiki.
    Sio kila tunapojuta inamaanisha tulifanya makosa. Wakati mwingine tunajuta kwa sababu ya matendo yetu sahihi ambayo tulimfanyia mtu asiyestahiki.
    Like
    Love
    4
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·87 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Afiseaza (4241-4250 de 27046)
  • «
  • Anterior
  • 423
  • 424
  • 425
  • 426
  • 427
  • Următor
  • »
Upgrade to Pro
Alege planul care ți se potrivește
Upgrade
© 2025 Socialpop
Romaian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termeni Confidențialitate Contacteaza-ne Director Developers