نتائج البحث
عرض كل النتائج
Socialpop Socialpop Socialpop
الرئيسية
المجموعات
الصفحات
سوق المنتجات
شاهد المزيد
المجموعات الصفحات سوق المنتجات المناسبات المدونات التمويل مفاوضاتي وظائف Courses المنتديات الافلام
انضم إلينا
تسجيل الدخول تسجيل
Theme Switcher
الوضع المظلم
الدليل
المستخدمون
المنشورات
الصفحات
المجموعات
المناسبات
  • Abdallah Msangi @Msangi أضاف صورة & ⬅ يشعر بالسعادة
    2024-05-16 08:04:56 ·
    #TBT ya juzi
    #TBT ya juzi 🦏
    Like
    Love
    9
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Diamond Platnumz @Emanuel تحديث صورة الملف الشخصي
    2024-05-16 08:07:29 ·
    Like
    Love
    7
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·470 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Diamond Platnumz @Emanuel تحديث صورة الغلاف
    2024-05-16 08:08:33 ·
    Like
    Love
    8
    · 2 التعليقات ·0 المشاركات ·486 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Hussein Juma @Japhary2004 تحديث صورة الملف الشخصي
    2024-05-16 08:17:01 ·
    Like
    Love
    4
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·414 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Maso Citu @Ma_itu
    2024-05-16 08:18:44 ·
    .
    .
    Love
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·410 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • millard ayo @millardayo أضاف صورة
    2024-05-16 08:21:07 ·
    Wizara ya Afya imetangaza matokeo ya Mashindano ya Afya na Usafi wa Mazingira kwa kuhusisha Manispaa 19 za Tanzania ambapo Manispaa ya Shinyanga imeibuka kuwa Mshindi wa kwanza.

    Shinyanga imeshika nafasi ya kwanza kwa kupata asilimia 95 ya alama zote ikifuatiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Moshi ambayo imepata asilimia 87.

    Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ambayo kwa miaka mingi imekuwa kwenye orodha ya Manispaa safi za Tanzania, mwaka huu imeshika nafasi ya tatu kwa kupata asilimia 83 ya alama zote. #MillardAyoUPDATES
    Wizara ya Afya imetangaza matokeo ya Mashindano ya Afya na Usafi wa Mazingira kwa kuhusisha Manispaa 19 za Tanzania ambapo Manispaa ya Shinyanga imeibuka kuwa Mshindi wa kwanza. Shinyanga imeshika nafasi ya kwanza kwa kupata asilimia 95 ya alama zote ikifuatiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Moshi ambayo imepata asilimia 87. Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ambayo kwa miaka mingi imekuwa kwenye orodha ya Manispaa safi za Tanzania, mwaka huu imeshika nafasi ya tatu kwa kupata asilimia 83 ya alama zote. #MillardAyoUPDATES
    Like
    Love
    10
    · 2 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Beting code betpawa & sportybet @Beting تحديث صورة الصفحة
    2024-05-16 08:21:19 ·
    Like
    Love
    8
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·482 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Amani Sume @Sume31 تحديث صورة الملف الشخصي
    2024-05-16 08:26:10 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·328 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • millard ayo @millardayo أضاف صورة
    2024-05-16 08:26:16 ·
    Mtanzania, Denis Mfumbulwa (44) anayedaiwa kujipatia huduma ya kula katika Hoteli ya Serena bila kulipa, ameachiwa huru katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo jijini Dar es salaam kwa sababu hakuna ushahidi wa kuthibitisha kama kesi hiyo dhidi yake ni ya jinai.

    Mfumbulwa ambaye ni Mkazi wa Goba ameachiwa leo na Hakimu Gladness Njau wakati kesi hiyo ilipoitwa mahakamani hapo kwa ajili ya kusikilizwa.

    Mapema Meneja wa Hoteli hiyo, Desdery Doto alifika Mahakamani hapo kutoa ushahidi ambapo alipoulizwa alidai Mshtakiwa alifika hotelini hapo na kupata huduma ya chakula na malazi bila kulipa na kisha akatoweka.

    Kufuatia maelezo hayo, Hakimu Gladness Njau alimuachia huru Mshtakiwa huyo akisema “inaonekana asili ya shauri hili ni la madai na siyo jinai hivyo kama Mlalamikaji ataona inafaa afungue kesi ya madai”

    Katika kesi hiyo Mshtakiwa Mfulumbwa anayeishi Goba Kulangwa anadaiwa kuwa Machi 6,2022 hadi Machi 28,2024 kwa nyakati tofauti katika Hoteli ya Serena Wilaya ya Ilala, Dar es salaam alijipatia huduma ya malazi na chakula yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 21 bila kulipa ambapo baada ya kupatiwa huduma hiyo alitoweka huku akijua kuwa kitendo hicho ni kinyume na sheria.

    Akizungumza nje ya Mahakama Meneja Doto amesema yuko tayari kuendelea na kesi ya madai hivyo anasubiri nakala ya hukumu. #MillardAyoUPDATES
    Mtanzania, Denis Mfumbulwa (44) anayedaiwa kujipatia huduma ya kula katika Hoteli ya Serena bila kulipa, ameachiwa huru katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo jijini Dar es salaam kwa sababu hakuna ushahidi wa kuthibitisha kama kesi hiyo dhidi yake ni ya jinai. Mfumbulwa ambaye ni Mkazi wa Goba ameachiwa leo na Hakimu Gladness Njau wakati kesi hiyo ilipoitwa mahakamani hapo kwa ajili ya kusikilizwa. Mapema Meneja wa Hoteli hiyo, Desdery Doto alifika Mahakamani hapo kutoa ushahidi ambapo alipoulizwa alidai Mshtakiwa alifika hotelini hapo na kupata huduma ya chakula na malazi bila kulipa na kisha akatoweka. Kufuatia maelezo hayo, Hakimu Gladness Njau alimuachia huru Mshtakiwa huyo akisema “inaonekana asili ya shauri hili ni la madai na siyo jinai hivyo kama Mlalamikaji ataona inafaa afungue kesi ya madai” Katika kesi hiyo Mshtakiwa Mfulumbwa anayeishi Goba Kulangwa anadaiwa kuwa Machi 6,2022 hadi Machi 28,2024 kwa nyakati tofauti katika Hoteli ya Serena Wilaya ya Ilala, Dar es salaam alijipatia huduma ya malazi na chakula yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 21 bila kulipa ambapo baada ya kupatiwa huduma hiyo alitoweka huku akijua kuwa kitendo hicho ni kinyume na sheria. Akizungumza nje ya Mahakama Meneja Doto amesema yuko tayari kuendelea na kesi ya madai hivyo anasubiri nakala ya hukumu. #MillardAyoUPDATES
    Like
    Haha
    Love
    10
    · 5 التعليقات ·0 المشاركات ·987 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Lucas Lucky @Lucas تحديث صورة الملف الشخصي
    2024-05-16 08:35:46 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·381 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • عرض (451-460 من 24790)
  • «
  • السابق
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • التالي
  • »
ترقية الحساب
اختر الخطة التي تناسبك
ترقية
© 2025 Socialpop
Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل المطوريين