Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Abdallah Msangi @Msangi πρόσθεσε μια φωτογραφία & είναι Νιώθω.. Χαρούμενος
    2024-05-16 08:04:56 ·
    #TBT ya juzi
    #TBT ya juzi 🦏
    Like
    Love
    9
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Diamond Platnumz @Emanuel ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2024-05-16 08:07:29 ·
    Like
    Love
    7
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·470 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Diamond Platnumz @Emanuel ενημερώθηκε η φωτογραφία εξώφυλλου
    2024-05-16 08:08:33 ·
    Like
    Love
    8
    · 2 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·486 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Hussein Juma @Japhary2004 ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2024-05-16 08:17:01 ·
    Like
    Love
    4
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·414 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Maso Citu @Ma_itu
    2024-05-16 08:18:44 ·
    .
    .
    Love
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·410 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • millard ayo @millardayo πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-05-16 08:21:07 ·
    Wizara ya Afya imetangaza matokeo ya Mashindano ya Afya na Usafi wa Mazingira kwa kuhusisha Manispaa 19 za Tanzania ambapo Manispaa ya Shinyanga imeibuka kuwa Mshindi wa kwanza.

    Shinyanga imeshika nafasi ya kwanza kwa kupata asilimia 95 ya alama zote ikifuatiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Moshi ambayo imepata asilimia 87.

    Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ambayo kwa miaka mingi imekuwa kwenye orodha ya Manispaa safi za Tanzania, mwaka huu imeshika nafasi ya tatu kwa kupata asilimia 83 ya alama zote. #MillardAyoUPDATES
    Wizara ya Afya imetangaza matokeo ya Mashindano ya Afya na Usafi wa Mazingira kwa kuhusisha Manispaa 19 za Tanzania ambapo Manispaa ya Shinyanga imeibuka kuwa Mshindi wa kwanza. Shinyanga imeshika nafasi ya kwanza kwa kupata asilimia 95 ya alama zote ikifuatiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Moshi ambayo imepata asilimia 87. Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ambayo kwa miaka mingi imekuwa kwenye orodha ya Manispaa safi za Tanzania, mwaka huu imeshika nafasi ya tatu kwa kupata asilimia 83 ya alama zote. #MillardAyoUPDATES
    Like
    Love
    10
    · 2 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Beting code betpawa & sportybet @Beting ενημερώθηκε η φωτογραφία εξώφυλλου της Σελίδας
    2024-05-16 08:21:19 ·
    Like
    Love
    8
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·482 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Amani Sume @Sume31 ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2024-05-16 08:26:10 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·328 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • millard ayo @millardayo πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-05-16 08:26:16 ·
    Mtanzania, Denis Mfumbulwa (44) anayedaiwa kujipatia huduma ya kula katika Hoteli ya Serena bila kulipa, ameachiwa huru katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo jijini Dar es salaam kwa sababu hakuna ushahidi wa kuthibitisha kama kesi hiyo dhidi yake ni ya jinai.

    Mfumbulwa ambaye ni Mkazi wa Goba ameachiwa leo na Hakimu Gladness Njau wakati kesi hiyo ilipoitwa mahakamani hapo kwa ajili ya kusikilizwa.

    Mapema Meneja wa Hoteli hiyo, Desdery Doto alifika Mahakamani hapo kutoa ushahidi ambapo alipoulizwa alidai Mshtakiwa alifika hotelini hapo na kupata huduma ya chakula na malazi bila kulipa na kisha akatoweka.

    Kufuatia maelezo hayo, Hakimu Gladness Njau alimuachia huru Mshtakiwa huyo akisema “inaonekana asili ya shauri hili ni la madai na siyo jinai hivyo kama Mlalamikaji ataona inafaa afungue kesi ya madai”

    Katika kesi hiyo Mshtakiwa Mfulumbwa anayeishi Goba Kulangwa anadaiwa kuwa Machi 6,2022 hadi Machi 28,2024 kwa nyakati tofauti katika Hoteli ya Serena Wilaya ya Ilala, Dar es salaam alijipatia huduma ya malazi na chakula yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 21 bila kulipa ambapo baada ya kupatiwa huduma hiyo alitoweka huku akijua kuwa kitendo hicho ni kinyume na sheria.

    Akizungumza nje ya Mahakama Meneja Doto amesema yuko tayari kuendelea na kesi ya madai hivyo anasubiri nakala ya hukumu. #MillardAyoUPDATES
    Mtanzania, Denis Mfumbulwa (44) anayedaiwa kujipatia huduma ya kula katika Hoteli ya Serena bila kulipa, ameachiwa huru katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo jijini Dar es salaam kwa sababu hakuna ushahidi wa kuthibitisha kama kesi hiyo dhidi yake ni ya jinai. Mfumbulwa ambaye ni Mkazi wa Goba ameachiwa leo na Hakimu Gladness Njau wakati kesi hiyo ilipoitwa mahakamani hapo kwa ajili ya kusikilizwa. Mapema Meneja wa Hoteli hiyo, Desdery Doto alifika Mahakamani hapo kutoa ushahidi ambapo alipoulizwa alidai Mshtakiwa alifika hotelini hapo na kupata huduma ya chakula na malazi bila kulipa na kisha akatoweka. Kufuatia maelezo hayo, Hakimu Gladness Njau alimuachia huru Mshtakiwa huyo akisema “inaonekana asili ya shauri hili ni la madai na siyo jinai hivyo kama Mlalamikaji ataona inafaa afungue kesi ya madai” Katika kesi hiyo Mshtakiwa Mfulumbwa anayeishi Goba Kulangwa anadaiwa kuwa Machi 6,2022 hadi Machi 28,2024 kwa nyakati tofauti katika Hoteli ya Serena Wilaya ya Ilala, Dar es salaam alijipatia huduma ya malazi na chakula yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 21 bila kulipa ambapo baada ya kupatiwa huduma hiyo alitoweka huku akijua kuwa kitendo hicho ni kinyume na sheria. Akizungumza nje ya Mahakama Meneja Doto amesema yuko tayari kuendelea na kesi ya madai hivyo anasubiri nakala ya hukumu. #MillardAyoUPDATES
    Like
    Haha
    Love
    10
    · 5 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·987 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Lucas Lucky @Lucas ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2024-05-16 08:35:46 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·381 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (451-460 από 24794)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers