• Like
    7
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·465 Views
  • Like
    6
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·507 Views
  • Like
    Love
    7
    · 3 Reacties ·0 aandelen ·488 Views
  • wanasota kutunga rhymes, freestyle nazikatia dengE
    wakinikuta maskani, wanasema ni la wahuni gengE
    au imekuwa kosa sisi Masela kuvuta bangE
    msifananishe mtindo wa Rap na miziki ya WengE
    au Maskani East zoo na Arusha pale KijengE
    ...bundle limemanda but........2B Continued...
    wanasota kutunga rhymes, freestyle nazikatia dengE wakinikuta maskani, wanasema ni la wahuni gengE au imekuwa kosa sisi Masela kuvuta bangE msifananishe mtindo wa Rap na miziki ya WengE au Maskani East zoo na Arusha pale KijengE ...bundle limemanda but........2B Continued...
    Like
    5
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·341 Views
  • kabla hujasoma hapa jiandae kwa bero zinazokuja kukuchapA
    halafu kabla hujaingia kwenye bed vua viatu au malapA
    jiandae kumezwa na papa,ama kuchapwa na rapA
    kabla hujasoma hapa jiandae kwa bero zinazokuja kukuchapA halafu kabla hujaingia kwenye bed vua viatu au malapA jiandae kumezwa na papa,ama kuchapwa na rapA
    Like
    4
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·66 Views
  • Like
    4
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·91 Views ·15
  • wanatupeleka wapi wanajifafanya wao ndio mambo yotE
    nachukia kishenzi tabia ya wengi wao ingawa sio wotE
    amtaki kupiga nyimbo paka mpewe chochotE
    emcee mwenyewe hana hata bati ya dopE
    halafu akupe ukanywe pombE
    nadhani wakati umefika wakumtumia hata general KombE
    east zoo ndiko nilko hiphop ndio chimbukO
    vina ndio mwongozo.hakuna wa kunisukuma ka kondoO
    redioni magazetini wanadhani wamemaliza mambO
    hawa taki tena hiphop wanang`ang`aniza mapianO
    wanatupeleka wapi wanajifafanya wao ndio mambo yotE nachukia kishenzi tabia ya wengi wao ingawa sio wotE amtaki kupiga nyimbo paka mpewe chochotE emcee mwenyewe hana hata bati ya dopE halafu akupe ukanywe pombE nadhani wakati umefika wakumtumia hata general KombE east zoo ndiko nilko hiphop ndio chimbukO vina ndio mwongozo.hakuna wa kunisukuma ka kondoO redioni magazetini wanadhani wamemaliza mambO hawa taki tena hiphop wanang`ang`aniza mapianO
    Like
    4
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·841 Views
  • tazama mbona umesimama kijanA
    acha kuishi maisha ya janA
    una jiita mc mashakA acha kuishi kwa mashakA
    maneno ya wakubwA ni mola tu ndiyo mkubwA
    tazama mbona umesimama kijanA acha kuishi maisha ya janA una jiita mc mashakA acha kuishi kwa mashakA maneno ya wakubwA ni mola tu ndiyo mkubwA
    Like
    5
    · 2 Reacties ·0 aandelen ·75 Views
  • roho yake mbaya ndo maana kanyimwa kizazi
    roho yake mbaya ndo maana kanyimwa kizazi
    Like
    5
    · 2 Reacties ·0 aandelen ·86 Views
  • ni sawa kupiga kelele jukwani bila kipaza sauti
    ukija mjini njoo smart lakini husi chomekee suti
    jipulizie perfum husije unanuka hudi
    kama unataka utiifu hiki kichwa cha chief
    si pendi vita na wenye game dhaifu
    uwa nazoa point bila kufika uwanja wa beef
    ni sawa kupiga kelele jukwani bila kipaza sauti ukija mjini njoo smart lakini husi chomekee suti jipulizie perfum husije unanuka hudi kama unataka utiifu hiki kichwa cha chief si pendi vita na wenye game dhaifu uwa nazoa point bila kufika uwanja wa beef
    Like
    3
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·63 Views