-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
Kwenye maisha kupoteza kila ki2 inawezkan , ila Kam bado mungu kakubariki na baraka ya uhai, huwo ni uthbitisho tosha kuwa unaweza ukaanz upya na kuwa mshindi tena
NB.....Unawapuuzia wengine Kwa ajir yake na yy anakupuuza ww 7bu ya m2 wakeKwenye maisha kupoteza kila ki2 inawezkan , ila Kam bado mungu kakubariki🙏 na baraka ya uhai, huwo ni uthbitisho tosha kuwa unaweza ukaanz upya na kuwa mshindi tena💪 NB.....Unawapuuzia wengine Kwa ajir yake😂 na yy anakupuuza ww 7bu ya m2 wake😅🙌 -
A good woman doesn't want superman. She knows he doesn't exist. All she wants is a good man who can brings loyalty, stability and consistency to her life.A good woman doesn't want superman. She knows he doesn't exist. All she wants is a good man who can brings loyalty, stability and consistency to her life.
-
Relationship is not about having handsome boyfriend or beautiful girlfriend❤. its about who understand you , who is proud of having you ❤ and Love you deeply and knows how to comfort you.Relationship is not about having handsome boyfriend or beautiful girlfriend❤. its about who understand you , who is proud of having you ❤ and Love you deeply and knows how to comfort you.
-
If someone seriously wants to be part of your life, they will seriously make an effort to be in it. No Reasons. No Excuses.If someone seriously wants to be part of your life, they will seriously make an effort to be in it. No Reasons. No Excuses.
-
Secrets and lies kill relationships. No matter how careful you are, you will get caught. What's done in darkness always comes to light.Secrets and lies kill relationships. No matter how careful you are, you will get caught. What's done in darkness always comes to light.
-
In life never cry for someone. The one you cry for will never be yours. And the one who will be yours will never let you cry.In life never cry for someone. The one you cry for will never be yours. And the one who will be yours will never let you cry.
-
Sasa kama hajakutafta cku nzima atakua amemtafta nani sas nawe uli2ambia Kam mnpendan saana
Siku zote usiruhusu m2 ambae hajawah kuvaa vyako akakufundisha jinc ya kufunga kamba
NB..... Nyakati ngum hazidumSasa kama hajakutafta cku nzima atakua amemtafta nani sas🤗 nawe uli2ambia Kam mnpendan saana😁🤣😇🙌 Siku zote usiruhusu 👉 m2 ambae hajawah kuvaa👞👞 vyako akakufundisha🙄 jinc ya kufunga kamba👌🙌 NB..... Nyakati ngum hazidum -
*Badili fikra na mtazamo wako kama unataka kufanikiwa zaidi*
Kama kuna kazi unaifanya iko mbele yako, acha kuifikiria kwamba kazi hiyo ni ngumu, bali ifikirie kazi hiyo ni ya muhimu unatakiwa kuifanya kwa umakini na usahihi mkubwa.
Unapojiwekea fikra ya kuwa kazi hiyo ni ngumu, itakuwa ngumu kweli kwako. Kila wakati toa mawazo kabisa, yanayosema kazi hii ni ngumu au majukumu hayo ni magumu sana kwako.
Ukiacha kufikiria hivyo kuwa kazi ni ngumu na ukaamua kuchukua hatua za kufanya kama kazi ya muhimu, basi utaweza kufanikisha kazi hiyo unayosema ni ngumu, tena kwa urahisi.
Badili fikra zako, badili mtazamo wako, unaowaza kazi hii ni ngumu na kuwaza ni kazi ya kawaida na muhimu inayoweza kufanyika bila tatizo kubwa kwako. Ifanye kazi hiyo.
*AMKA DUNIA INAKUSUBILI TWENDE TUKALIJENGE TAIFA**Badili fikra na mtazamo wako kama unataka kufanikiwa zaidi* ✨Kama kuna kazi unaifanya iko mbele yako, acha kuifikiria kwamba kazi hiyo ni ngumu, bali ifikirie kazi hiyo ni ya muhimu unatakiwa kuifanya kwa umakini na usahihi mkubwa. ✨Unapojiwekea fikra ya kuwa kazi hiyo ni ngumu, itakuwa ngumu kweli kwako. Kila wakati toa mawazo kabisa, yanayosema kazi hii ni ngumu au majukumu hayo ni magumu sana kwako. ✨Ukiacha kufikiria hivyo kuwa kazi ni ngumu na ukaamua kuchukua hatua za kufanya kama kazi ya muhimu, basi utaweza kufanikisha kazi hiyo unayosema ni ngumu, tena kwa urahisi. ✨Badili fikra zako, badili mtazamo wako, unaowaza kazi hii ni ngumu na kuwaza ni kazi ya kawaida na muhimu inayoweza kufanyika bila tatizo kubwa kwako. Ifanye kazi hiyo. *AMKA DUNIA INAKUSUBILI TWENDE TUKALIJENGE TAIFA* -
Hatima yako ipo mkononi mwa Mungu si kwa wanadamu,, hivyo yakupasa kumuangalia Mungu tu!!Hatima yako ipo mkononi mwa Mungu si kwa wanadamu,, hivyo yakupasa kumuangalia Mungu tu!!
-
Kwenye maisha unaweza kucheka na wengi ila ukalia na wachache kwani wengi hupenda tabasamu lako kuliko kuthamini chozi lako.Kwenye maisha unaweza kucheka na wengi ila ukalia na wachache kwani wengi hupenda tabasamu lako kuliko kuthamini chozi lako.
-
Katika =MAISHA yako kamwe usikumbuke =MATATIZO yaliyopita kwa sababu =YANAUMIZA Pia usiwaze yajayo maana yanatia =HOFU
=MAISHA ni hapo ulipo ila =MALENGO ni kielelezo cha maishaKatika =MAISHA yako kamwe usikumbuke =MATATIZO yaliyopita kwa sababu =YANAUMIZA Pia usiwaze yajayo maana yanatia =HOFU =MAISHA ni hapo ulipo ila =MALENGO ni kielelezo cha maisha -
''Watu ni ngazi, watu ni daraja, watu ni ukuta na watu ni shimo. Wanaweza kukuvusha, wanaweza kukuhifadhi na wanaweza kukuangusha. Huwezi kuwakwepa kabisa watu katika maisha yako jitahdi kuwa na maarifa ya kuwajulia, kunufaika nao, na kunufaishana nao''.''Watu ni ngazi, watu ni daraja, watu ni ukuta na watu ni shimo. Wanaweza kukuvusha, wanaweza kukuhifadhi na wanaweza kukuangusha. Huwezi kuwakwepa kabisa watu katika maisha yako jitahdi kuwa na maarifa ya kuwajulia, kunufaika nao, na kunufaishana nao''. -
-
Angalizo: *Kuwa makini na uvumilivu wako kwani uvumilivu na kupoteza muda vinakaribiana sana ,,, Nakupenda SanaAngalizo: 🌀 *Kuwa makini na uvumilivu wako kwani uvumilivu na kupoteza muda vinakaribiana sana ,,, Nakupenda Sana 💘💓👨👦👦🤰 -
DARASA HURU
Ficha mipango yako; fichua matokeo. Matokeo yakikupa furaha, tangaza furaha usitangaze kilichokupa furaha. TUISHI NAYO KAMA INAFAAADARASA HURU 🇹🇿 Ficha mipango yako; fichua matokeo. Matokeo yakikupa furaha, tangaza furaha usitangaze kilichokupa furaha. 📌📌🍷🧠🥂 TUISHI NAYO KAMA INAFAAA 🍷
More Stories