Enea Marko

@eneamarko0

47 Posts
15 Photos
0 Videos
Female
Single
14/07/1998
Recent Updates
  • Like
    Love
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·266 Views
  • Dinner
    Dinner
    Like
    4
    · 1 Comments ·0 Shares ·273 Views
  • Like
    4
    · 1 Comments ·0 Shares ·288 Views
  • Like
    Love
    7
    · 3 Comments ·0 Shares ·289 Views
  • Like
    6
    · 1 Comments ·0 Shares ·282 Views
  • Like
    7
    · 1 Comments ·0 Shares ·262 Views
  • Like
    Wow
    6
    · 1 Comments ·0 Shares ·265 Views
  • Like
    5
    · 1 Comments ·0 Shares ·260 Views
  • Like
    Haha
    5
    · 0 Comments ·0 Shares ·253 Views
  • Potatoes
    Potatoes
    Like
    4
    · 0 Comments ·0 Shares ·265 Views
  • Kwenye maisha kupoteza kila ki2 inawezkan , ila Kam bado mungu kakubariki na baraka ya uhai, huwo ni uthbitisho tosha kuwa unaweza ukaanz upya na kuwa mshindi tena
    NB.....Unawapuuzia wengine Kwa ajir yake na yy anakupuuza ww 7bu ya m2 wake
    Kwenye maisha kupoteza kila ki2 inawezkan , ila Kam bado mungu kakubariki🙏 na baraka ya uhai, huwo ni uthbitisho tosha kuwa unaweza ukaanz upya na kuwa mshindi tena💪 NB.....Unawapuuzia wengine Kwa ajir yake😂 na yy anakupuuza ww 7bu ya m2 wake😅🙌
    Like
    Love
    4
    · 1 Comments ·0 Shares ·242 Views
  • A good woman doesn't want superman. She knows he doesn't exist. All she wants is a good man who can brings loyalty, stability and consistency to her life.
    A good woman doesn't want superman. She knows he doesn't exist. All she wants is a good man who can brings loyalty, stability and consistency to her life.
    Like
    Love
    4
    · 0 Comments ·0 Shares ·260 Views
  • Relationship is not about having handsome boyfriend or beautiful girlfriend❤. its about who understand you , who is proud of having you ❤ and Love you deeply and knows how to comfort you.
    Relationship is not about having handsome boyfriend or beautiful girlfriend❤. its about who understand you , who is proud of having you ❤ and Love you deeply and knows how to comfort you.
    Like
    Love
    Yay
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·427 Views
  • If someone seriously wants to be part of your life, they will seriously make an effort to be in it. No Reasons. No Excuses.
    If someone seriously wants to be part of your life, they will seriously make an effort to be in it. No Reasons. No Excuses.
    Like
    Love
    3
    · 1 Comments ·0 Shares ·252 Views
  • Secrets and lies kill relationships. No matter how careful you are, you will get caught. What's done in darkness always comes to light.
    Secrets and lies kill relationships. No matter how careful you are, you will get caught. What's done in darkness always comes to light.
    Like
    Love
    3
    · 1 Comments ·0 Shares ·411 Views
  • In life never cry for someone. The one you cry for will never be yours. And the one who will be yours will never let you cry.
    In life never cry for someone. The one you cry for will never be yours. And the one who will be yours will never let you cry.
    Like
    Love
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·261 Views
  • Sasa kama hajakutafta cku nzima atakua amemtafta nani sas nawe uli2ambia Kam mnpendan saana

    Siku zote usiruhusu m2 ambae hajawah kuvaa vyako akakufundisha jinc ya kufunga kamba

    NB..... Nyakati ngum hazidum
    Sasa kama hajakutafta cku nzima atakua amemtafta nani sas🤗 nawe uli2ambia Kam mnpendan saana😁🤣😇🙌 Siku zote usiruhusu 👉 m2 ambae hajawah kuvaa👞👞 vyako akakufundisha🙄 jinc ya kufunga kamba👌🙌 NB..... Nyakati ngum hazidum
    Like
    Love
    4
    · 1 Comments ·0 Shares ·270 Views
  • *Badili fikra na mtazamo wako kama unataka kufanikiwa zaidi*

    Kama kuna kazi unaifanya iko mbele yako, acha kuifikiria kwamba kazi hiyo ni ngumu, bali ifikirie kazi hiyo ni ya muhimu unatakiwa kuifanya kwa umakini na usahihi mkubwa.

    Unapojiwekea fikra ya kuwa kazi hiyo ni ngumu, itakuwa ngumu kweli kwako. Kila wakati toa mawazo kabisa, yanayosema kazi hii ni ngumu au majukumu hayo ni magumu sana kwako.

    Ukiacha kufikiria hivyo kuwa kazi ni ngumu na ukaamua kuchukua hatua za kufanya kama kazi ya muhimu, basi utaweza kufanikisha kazi hiyo unayosema ni ngumu, tena kwa urahisi.

    Badili fikra zako, badili mtazamo wako, unaowaza kazi hii ni ngumu na kuwaza ni kazi ya kawaida na muhimu inayoweza kufanyika bila tatizo kubwa kwako. Ifanye kazi hiyo.

    *AMKA DUNIA INAKUSUBILI TWENDE TUKALIJENGE TAIFA*
    *Badili fikra na mtazamo wako kama unataka kufanikiwa zaidi* ✨Kama kuna kazi unaifanya iko mbele yako, acha kuifikiria kwamba kazi hiyo ni ngumu, bali ifikirie kazi hiyo ni ya muhimu unatakiwa kuifanya kwa umakini na usahihi mkubwa. ✨Unapojiwekea fikra ya kuwa kazi hiyo ni ngumu, itakuwa ngumu kweli kwako. Kila wakati toa mawazo kabisa, yanayosema kazi hii ni ngumu au majukumu hayo ni magumu sana kwako. ✨Ukiacha kufikiria hivyo kuwa kazi ni ngumu na ukaamua kuchukua hatua za kufanya kama kazi ya muhimu, basi utaweza kufanikisha kazi hiyo unayosema ni ngumu, tena kwa urahisi. ✨Badili fikra zako, badili mtazamo wako, unaowaza kazi hii ni ngumu na kuwaza ni kazi ya kawaida na muhimu inayoweza kufanyika bila tatizo kubwa kwako. Ifanye kazi hiyo. *AMKA DUNIA INAKUSUBILI TWENDE TUKALIJENGE TAIFA*
    Like
    Love
    4
    · 0 Comments ·0 Shares ·286 Views
  • Hatima yako ipo mkononi mwa Mungu si kwa wanadamu,, hivyo yakupasa kumuangalia Mungu tu!!
    Hatima yako ipo mkononi mwa Mungu si kwa wanadamu,, hivyo yakupasa kumuangalia Mungu tu!!
    Like
    Love
    4
    · 1 Comments ·0 Shares ·262 Views
  • Kwenye maisha unaweza kucheka na wengi ila ukalia na wachache kwani wengi hupenda tabasamu lako kuliko kuthamini chozi lako.
    Kwenye maisha unaweza kucheka na wengi ila ukalia na wachache kwani wengi hupenda tabasamu lako kuliko kuthamini chozi lako.
    Like
    Love
    4
    · 0 Comments ·0 Shares ·289 Views

  • Katika =MAISHA yako kamwe usikumbuke =MATATIZO yaliyopita kwa sababu =YANAUMIZA Pia usiwaze yajayo maana yanatia =HOFU

    =MAISHA ni hapo ulipo ila =MALENGO ni kielelezo cha maisha
    Katika =MAISHA yako kamwe usikumbuke =MATATIZO yaliyopita kwa sababu =YANAUMIZA Pia usiwaze yajayo maana yanatia =HOFU =MAISHA ni hapo ulipo ila =MALENGO ni kielelezo cha maisha
    Like
    Love
    4
    · 0 Comments ·0 Shares ·225 Views

  • ''Watu ni ngazi, watu ni daraja, watu ni ukuta na watu ni shimo. Wanaweza kukuvusha, wanaweza kukuhifadhi na wanaweza kukuangusha. Huwezi kuwakwepa kabisa watu katika maisha yako jitahdi kuwa na maarifa ya kuwajulia, kunufaika nao, na kunufaishana nao''.
    ''Watu ni ngazi, watu ni daraja, watu ni ukuta na watu ni shimo. Wanaweza kukuvusha, wanaweza kukuhifadhi na wanaweza kukuangusha. Huwezi kuwakwepa kabisa watu katika maisha yako jitahdi kuwa na maarifa ya kuwajulia, kunufaika nao, na kunufaishana nao''.
    Like
    Love
    4
    · 0 Comments ·0 Shares ·242 Views
  • Muda wa kulala jitahidi ule chakula laini like Matunda matunda
    Muda wa kulala jitahidi ule chakula laini 😋 like Matunda matunda
    Like
    Love
    6
    · 2 Comments ·0 Shares ·229 Views

  • Angalizo: *Kuwa makini na uvumilivu wako kwani uvumilivu na kupoteza muda vinakaribiana sana ,,, Nakupenda Sana
    Angalizo: 🌀 *Kuwa makini na uvumilivu wako kwani uvumilivu na kupoteza muda vinakaribiana sana ,,, Nakupenda Sana 💘💓👨‍👦‍👦🤰
    Like
    Love
    4
    · 0 Comments ·0 Shares ·243 Views
  • DARASA HURU

    Ficha mipango yako; fichua matokeo. Matokeo yakikupa furaha, tangaza furaha usitangaze kilichokupa furaha. TUISHI NAYO KAMA INAFAAA
    DARASA HURU 🇹🇿 Ficha mipango yako; fichua matokeo. Matokeo yakikupa furaha, tangaza furaha usitangaze kilichokupa furaha. 📌📌🍷🧠🥂 TUISHI NAYO KAMA INAFAAA 🍷
    Like
    Love
    4
    · 0 Comments ·0 Shares ·232 Views
More Stories