• Hali Inatisha, Ngoja Tuone Wetu MwiSHO
    Maana Leo Tumefika, Mola Ndiye anajua Mtoro Wa KeSHO
    Nakusanya Vyangu, Ntarudi Badae BadAE
    Aman Kwa Watu Wangu, Oi Harakat ZipAE




    Hali Inatisha, Ngoja Tuone Wetu MwiSHO Maana Leo Tumefika, Mola Ndiye anajua Mtoro Wa KeSHO Nakusanya Vyangu, Ntarudi Badae BadAE Aman Kwa Watu Wangu, Oi Harakat ZipAE
    Like
    3
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·71 Views
  • Like
    4
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·494 Views
  • Dinner
    Dinner
    Like
    4
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·483 Views
  • Like
    Love
    3
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·475 Views
  • Hauwezi kuacha kama hauja anza??
    Hautambui pancha kama hauja jaza!!
    Kuitwa hanisi mwisho wa ufather??
    Kama haulegezi huwezi kaza!!
    Risasi inapo mu UA sniper!!
    Nisawa na kutunza kisasi kwa manufaa ya Lucifer!!
    Jemedari na mchukuzi!!
    who is future kati ya rijali na mkufunzi!!
    Mpe habari na mnunuzi??
    Yupi bora kati ya mtunzaji na mgundunzi!!
    Kupuuza au kutafakali upuuzi!!
    Chagua moja kujuzwa au kujifanya mjuzi!!
    Na ndio maana kamili!!
    Dunia inakwenda mbio na haichi muhimiri!!
    Kuruta na mjeda!!
    Haiwezi kuwa sawa alpha na omega!!
    Mara angekuepo nyerere!!
    Kamongo Veep angekuepo pegere!!
    Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu?? Hata wanawake wakabadili matumizi ya asili!!
    Kwa matumizi yasiyo ya asili!!

    Warumi 1:26-27
    Hauwezi kuacha kama hauja anza?? Hautambui pancha kama hauja jaza!! Kuitwa hanisi mwisho wa ufather?? Kama haulegezi huwezi kaza!! Risasi inapo mu UA sniper!! Nisawa na kutunza kisasi kwa manufaa ya Lucifer!! Jemedari na mchukuzi!! who is future kati ya rijali na mkufunzi!! Mpe habari na mnunuzi?? Yupi bora kati ya mtunzaji na mgundunzi!! Kupuuza au kutafakali upuuzi!! Chagua moja kujuzwa au kujifanya mjuzi!! Na ndio maana kamili!! Dunia inakwenda mbio na haichi muhimiri!! Kuruta na mjeda!! Haiwezi kuwa sawa alpha na omega!! Mara angekuepo nyerere!! Kamongo Veep angekuepo pegere!! Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu?? Hata wanawake wakabadili matumizi ya asili!! Kwa matumizi yasiyo ya asili!! Warumi 1:26-27
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·672 Views
  • Nashangaaa unanikatikia saNA staki leo maana ulinikatikia jaNA
    Huogopi jua unavyonikatikia mchaNA huchoki kuzingua unavyonikatikia saNA
    Hivi kwanini unakatika katiKA lakini hii wiki ya sita unakatiKA
    Patashika ukikatika kaziNI ofisi zinafungwa ulikatika yaniNI
    Nashangaaa siku hizi sio tu nyumbani unakatika hadi BAR
    Umekuwa gumzo we ndo habari ya mtAA ebu katika bungeni ukiweza hata kwa lisAA
    Unanitesa me mwananchi haukatiki serikaliNI jaribu fanya vimbwanga ukatike hata jeshiNI
    Umekuwa wa mgao umeme hivi we waniNI
    Nashangaaa unanikatikia saNA staki leo maana ulinikatikia jaNA Huogopi jua unavyonikatikia mchaNA huchoki kuzingua unavyonikatikia saNA Hivi kwanini unakatika katiKA lakini hii wiki ya sita unakatiKA Patashika ukikatika kaziNI ofisi zinafungwa ulikatika yaniNI Nashangaaa siku hizi sio tu nyumbani unakatika hadi BAR Umekuwa gumzo we ndo habari ya mtAA ebu katika bungeni ukiweza hata kwa lisAA Unanitesa me mwananchi haukatiki serikaliNI jaribu fanya vimbwanga ukatike hata jeshiNI Umekuwa wa mgao umeme hivi we waniNI
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·248 Views
  • Kiukweli kwako nimekuwa km kero/
    Ukizingatia sijawahi kukup hata jero/
    Nilikuzingua ukawazuia wazazi wasiniweke sero/
    Au ndo umedata na ile yangu katelero/





    Kiukweli kwako nimekuwa km kero/ Ukizingatia sijawahi kukup hata jero/ Nilikuzingua ukawazuia wazazi wasiniweke sero/ Au ndo umedata na ile yangu katelero/
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·70 Views
  • Unataka niachane na maisha ya ujana/
    Kwako kabisa sijawahi kuwa mtwana/
    Kitu kidogo tu unakula makofi nakutukana/
    Lkn bado unanipenda sana/



    Unataka niachane na maisha ya ujana/ Kwako kabisa sijawahi kuwa mtwana/ Kitu kidogo tu unakula makofi nakutukana/ Lkn bado unanipenda sana/
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·71 Views
  • Ulisema hupendi vya ku share/
    Na bado marafiki zako nikawatokea/
    Ulipogundua still me I don't care/
    Yote hukujali ukapotezea/




    Ulisema hupendi vya ku share/ Na bado marafiki zako nikawatokea/ Ulipogundua still me I don't care/ Yote hukujali ukapotezea/
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·681 Views
  • Mara kibao umeshanifumania/
    Viuno vichochoroni nimekamatia/
    Hukusema kitu ukabaki tu kulia/
    Nisamehe maana mara nyingi nimekufanya kuumia/






    Mara kibao umeshanifumania/ Viuno vichochoroni nimekamatia/ Hukusema kitu ukabaki tu kulia/ Nisamehe maana mara nyingi nimekufanya kuumia/
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·70 Views