• Express your love I can't read mind
    Express your love I can't read mind馃槃
    0 Commentarii 0 Distribuiri 510 Views
  • Haha
    2
    0 Commentarii 0 Distribuiri 508 Views
  • Kurudi nyumbani nimelewa imekuwa kawaida/
    Hadi mtaani waniita babu wa kugida/
    Kuvumilia kuishi na mimi ni shida/
    Et umepata mume hasara sasa nataka niwe wa faida/
    Kurudi nyumbani nimelewa imekuwa kawaida/ Hadi mtaani waniita babu wa kugida/ Kuvumilia kuishi na mimi ni shida/ Et umepata mume hasara sasa nataka niwe wa faida/
    Like
    1
    0 Commentarii 0 Distribuiri 64 Views
  • Kifupi ni mtoto ambaye ameshashindikana//
    Bora angekuwa wakiume lkn ni msichana//
    Wamempa jina chuo cha mafunzo wavulana//
    Majirani wanasema km hajatupiwa jini basi labda ana lana//
    Aisee kaumbika ukimuona kwa uroho mate lazima yatakutoka//
    Anashepu amazing ya kukata na shoka//
    Nyumbani maisha safi sio mbwa kachoka//
    Ninachompenda hajali ukuu wa familia anayotoka//
    Alianzaga taratibu usiku anatoroka home kwa kuruka ukuta//
    Now ameshakuwa mzoefu kila week end 9t club utamkuta//
    Sometime anajifanya tom boy hadi bangi anavuta//
    Mjini msingi kiuno ukiwa na chapaa muda wowote utapata//
    Hanaga uwoga mtoto wa mjini Dar es salaam//
    Hajali kuhusu magonjwa utasikia yameumbiwa binadamu//
    Ukimuona utasema uyo ndo mke 7bu haumfahamu//
    Vituko vingi km hana akili timamu//
    Ni moto wa kuotea mbali kina cha maji usipime//
    Hataki tena vibamia anataka ya kukoboa na kusaga mashine//
    Kifupi ni mtoto ambaye ameshashindikana// Bora angekuwa wakiume lkn ni msichana// Wamempa jina chuo cha mafunzo wavulana// Majirani wanasema km hajatupiwa jini basi labda ana lana// Aisee kaumbika ukimuona kwa uroho mate lazima yatakutoka// Anashepu amazing ya kukata na shoka// Nyumbani maisha safi sio mbwa kachoka// Ninachompenda hajali ukuu wa familia anayotoka// Alianzaga taratibu usiku anatoroka home kwa kuruka ukuta// Now ameshakuwa mzoefu kila week end 9t club utamkuta// Sometime anajifanya tom boy hadi bangi anavuta// Mjini msingi kiuno ukiwa na chapaa muda wowote utapata// Hanaga uwoga mtoto wa mjini Dar es salaam// Hajali kuhusu magonjwa utasikia yameumbiwa binadamu// Ukimuona utasema uyo ndo mke 7bu haumfahamu// Vituko vingi km hana akili timamu// Ni moto wa kuotea mbali kina cha maji usipime// Hataki tena vibamia anataka ya kukoboa na kusaga mashine//
    Like
    1
    0 Commentarii 0 Distribuiri 743 Views
  • I don't wanna be like them..
    I don't wanna see people blem..
    I don't wanna look like you..
    I don't wanna friends speak like fool..
    I don't wanna fake love..
    You hate me if am above..
    I don't wanna see people give up..
    I don't wanna cheating to take up..
    Their stories i don't wanna hear..
    Rummas fake thing don't bring here..
    I don't wanna many word to apologies..
    Only sorry is enough guys..
    I don't wanna change fake to be really..
    I don't wanna leave Jesue is big deal..
    I don't wanna be tail..
    I don't wanna stop doing even if am fell..
    I don't wanna be like them.. I don't wanna see people blem.. I don't wanna look like you.. I don't wanna friends speak like fool.. I don't wanna fake love.. You hate me if am above.. I don't wanna see people give up.. I don't wanna cheating to take up.. Their stories i don't wanna hear.. Rummas fake thing don't bring here.. I don't wanna many word to apologies.. Only sorry is enough guys.. I don't wanna change fake to be really.. I don't wanna leave Jesue is big deal.. I don't wanna be tail.. I don't wanna stop doing even if am fell..
    Like
    Love
    2
    0 Commentarii 0 Distribuiri 592 Views
  • Sku Izi Wanavaa Vimini.... Yani Wanafuata Mku Mboo..

    Wamesahau Nyama ya Maini.... Wanapendezwa na Utu Mboo..

    Anayejua Faida Ya kitovu... Ni dhairi Ana Utovu wa Nidhamu..

    Bora niendelee kuwa Mkosefu.... Maana Nakosaga mpaka Hamu..

    Sku Izi Wanavaa Vimini.... Yani Wanafuata Mku Mboo.. Wamesahau Nyama ya Maini.... Wanapendezwa na Utu Mboo.. Anayejua Faida Ya kitovu... Ni dhairi Ana Utovu wa Nidhamu.. Bora niendelee kuwa Mkosefu.... Maana Nakosaga mpaka Hamu..
    Like
    Love
    2
    0 Commentarii 0 Distribuiri 67 Views
  • Happy birthday mwanangu wa damu..
    Wakati wanakutafuta lile tunda walimdanganyia Adam..
    Nae hakusita alipokula tukakufahamu..
    Na Sasa upo duniani na si site ni binadamu..
    Mungu akupe miaka mingi na kheri duniani..
    Uwaheshimu na wazazi na ndugu ujue ni nani..
    Sasa nimekupa zawad vp umepokea..
    Ama unaghair mdomo huwez kuongea..
    Happy birthday mwanangu wa damu.. Wakati wanakutafuta lile tunda walimdanganyia Adam.. Nae hakusita alipokula tukakufahamu.. Na Sasa upo duniani na si site ni binadamu.. Mungu akupe miaka mingi na kheri duniani.. Uwaheshimu na wazazi na ndugu ujue ni nani.. Sasa nimekupa zawad 馃巶馃巶 vp umepokea.. Ama unaghair mdomo huwez kuongea..
    Like
    Love
    2
    0 Commentarii 0 Distribuiri 193 Views
  • We ndo tabibu Wa moyo... Naenjoy Kuku...#Penda...=

    Vile mtaratibu Zaid ya Toyo... Sivungagi Kuku..#panda....=




    We ndo tabibu Wa moyo... Naenjoy Kuku...#Penda...= Vile mtaratibu Zaid ya Toyo... Sivungagi Kuku..#panda....=
    Like
    Love
    2
    0 Commentarii 0 Distribuiri 98 Views
  • Wakiuliza chochote Usijibu... Wanataka Kuku...#Chora...=

    Huwa Ata Ibrahimu Ajibu.... hifadhi maneno wasije Kuku..#pora....=








    Wakiuliza chochote Usijibu... Wanataka Kuku...#Chora...= Huwa Ata Ibrahimu Ajibu.... hifadhi maneno wasije Kuku..#pora....=
    Like
    Love
    3
    0 Commentarii 0 Distribuiri 358 Views
  • Wahun Wanaokujua... Dayle hawaachi Kuku...#Teta....=

    Eti unajisumbua.... geto Umeweka oda adi Toyo wa Kuku...#Leta....=




    Wahun Wanaokujua... Dayle hawaachi Kuku...#Teta....= Eti unajisumbua.... geto Umeweka oda adi Toyo wa Kuku...#Leta....=
    Like
    Love
    3
    0 Commentarii 0 Distribuiri 99 Views