• kuna jamaa yangu leo siku ya sita ktk week namkuta anakula dagaa wa mwanza nae akiwa dodoma!!
    NIMEMWAMBIA NATAKA KUFANYA BIASHARA YA DAGAA KANIJIBU hailipi na hakuna wateja hapa dodoma!!
    kuna jamaa yangu leo siku ya sita ktk week namkuta anakula dagaa wa mwanza nae akiwa dodoma!! NIMEMWAMBIA NATAKA KUFANYA BIASHARA YA DAGAA KANIJIBU hailipi na hakuna wateja hapa dodoma!!
    0 Commenti ·0 condivisioni ·834 Views
  • Mwanaume tajiri ni yule aliye na akiba ya mke msikivu,muelevu,mvumilivu,mgunduzi,mwenye hekima....mwisho mwishoni AWE MCHA MUNGU.
    #tatizo yesu akuoa kwenye ule mkanda wa maigizo
    Mwanaume tajiri ni yule aliye na akiba ya mke msikivu,muelevu,mvumilivu,mgunduzi,mwenye hekima....mwisho mwishoni AWE MCHA MUNGU. #tatizo yesu akuoa kwenye ule mkanda wa maigizo
    0 Commenti ·0 condivisioni ·297 Views
  • muda mwingine tuache kuziwaza shida!!
    zinaishi milele ka marehemu Remmy Ongala track ya shida!!
    muda mwingine tuache kuziwaza shida!! zinaishi milele ka marehemu Remmy Ongala track ya shida!!
    0 Commenti ·0 condivisioni ·79 Views
  • muajiri anataka wafanyakazi wenye uzoefu wa miaka 4 lkn wawe na miaka 20......kuna umuhimu wa kuanzisha vyuo vya experience kuanzia tumboni/chekechea ili kuendana na akili #finyu za waafrica wenye kazi zao.
    muajiri anataka wafanyakazi wenye uzoefu wa miaka 4 lkn wawe na miaka 20......kuna umuhimu wa kuanzisha vyuo vya experience kuanzia tumboni/chekechea ili kuendana na akili #finyu za waafrica wenye kazi zao.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·141 Views
  • Tatizo tunaupenda umaskini, na tunawakataa maskini!!
    suluhisho
    Tuwapende maskini, na tuukatae umaskini!!
    Tatizo tunaupenda umaskini, na tunawakataa maskini!! 😥😥suluhisho Tuwapende maskini, na tuukatae umaskini!!
    0 Commenti ·0 condivisioni ·78 Views
  • Mi navunja kibubu cha mistari, we unavunjika moyo!!
    Wanasema ben kimichano singati, wananiitA kibogoyo!!
    I believe kwenye hip hop, naamini one day yes!!
    Eti sisomeki KWA map, lakini kwangu sio kesi!!
    Mi ni tajiri wa mistari, lakini sio pundamilia!!
    Naunguza ka sigara kali, kama vipodozi na kemikali!!
    Niite nyuki kwenye rap, tungo zangu ndo asali!!
    Mi navunja kibubu cha mistari, we unavunjika moyo!! Wanasema ben kimichano singati, wananiitA kibogoyo!! I believe kwenye hip hop, naamini one day yes!! Eti sisomeki KWA map, lakini kwangu sio kesi!! Mi ni tajiri wa mistari, lakini sio pundamilia!! Naunguza ka sigara kali, kama vipodozi na kemikali!! Niite nyuki kwenye rap, tungo zangu ndo asali!!
    0 Commenti ·0 condivisioni ·290 Views
  • Penzi kaa mswaki...sipendi kushare..
    Penzi la kiwaki....me nilimcare.
    Kuvutana mashati...me i don't care..
    Kuchepuka staki...hyo is no fair..
    Penzi kaa mswaki...sipendi kushare.. Penzi la kiwaki....me nilimcare. Kuvutana mashati...me i don't care.. Kuchepuka staki...hyo is no fair..
    0 Commenti ·0 condivisioni ·212 Views
  • kwa baràka zà jaah,, na love na wana wa mtaa//
    maombi ya ndugu zangu,, yanioñgoze kishujaa//

    natengà ràph kwa mafungu,, nsije shinda njaaa//
    naaso kutafutà làngu fungu,,ili niishi kishujaa//

    kila koñà ya jiji,, tuñàfight balaa,,//
    ili kupata ulaji,, nakuteñgeneza çhapaa//

    life imekuwa ngumu,, mitaan hatushikiki//
    yametubàna majukumu,, ya mengi na mikikimikiki//
    kwa baràka zà jaah,, na love na wana wa mtaa// maombi ya ndugu zangu,, yanioñgoze kishujaa// natengà ràph kwa mafungu,, nsije shinda njaaa// naaso kutafutà làngu fungu,,ili niishi kishujaa// kila koñà ya jiji,, tuñàfight balaa,,// ili kupata ulaji,, nakuteñgeneza çhapaa// life imekuwa ngumu,, mitaan hatushikiki// yametubàna majukumu,, ya mengi na mikikimikiki//
    0 Commenti ·0 condivisioni ·265 Views
  • Nimepitia vingi vigingi/
    Kwenye mnvua jua nabalidi/
    Kidume kwenye haso nikajitaidi/
    Nusura ata kopeza uhai/
    Asubui mchana nasaka kama ndege tai/
    Majukumu ndio yaliyo nipa ujasili/
    Sasa basi naitaji mtaji nijiajili/
    Ingawa bado sio tajiri/
    Nauvaa ujasilia mali/
    Nimepitia vingi vigingi/ Kwenye mnvua jua nabalidi/ Kidume kwenye haso nikajitaidi/ Nusura ata kopeza uhai/ Asubui mchana nasaka kama ndege tai/ Majukumu ndio yaliyo nipa ujasili/ Sasa basi naitaji mtaji nijiajili/ Ingawa bado sio tajiri/ Nauvaa ujasilia mali/
    0 Commenti ·0 condivisioni ·68 Views
  • Nimepitia vingi vigingi/
    Kwenye mnvua jua nabalidi/
    Kidume kwenye haso nikajitaidi/
    Nusura ata kopeza uhai/
    Asubui mchana nasaka kama ndege tai/
    Majukumu ndio yaliyo nipa ujasili/
    Sasa basi naitaji mtaji nijiajili/
    Ingawa bado sio tajiri/
    Nauvaa ujasilia mali/
    Nimepitia vingi vigingi/ Kwenye mnvua jua nabalidi/ Kidume kwenye haso nikajitaidi/ Nusura ata kopeza uhai/ Asubui mchana nasaka kama ndege tai/ Majukumu ndio yaliyo nipa ujasili/ Sasa basi naitaji mtaji nijiajili/ Ingawa bado sio tajiri/ Nauvaa ujasilia mali/
    0 Commenti ·0 condivisioni ·73 Views