
-
Natumia mda Huu... kuwakumbusha Msali...
Nilitumia mda Ule.... kwa bebe na Pisi Kali..
Huu Ndo mda Ambao.... muhun Napiga.... Goti...ll
Nilitumia Muda mwingi.... Kutafta ustaa..Babu..
Nikakosa Vya Msingi.. Nikakosa Adi Ustaa..Rabu..
Nikawa Mtu Wa Tungi... kushi na Matap.... Tapu..
Skujal Mda Dingi.... any Time Narap... Rapu...
Mda Huo Wakanipa sifa... wakashindwa Kunipa... Ajira...
Na walijua Fika... bwege Nadhalilisha.... Hadhira...
Sifa Imenijengea Chuki.... manyanyaso... na Masimango...
Mda wao wanapiga Hatua... mm Nilipigania.... Warembo....
Leo Hii Napiga Dua.... na Machiz Tukipigania.... Makombo...
Piga swaga.. Mraka... Utaskia Nipe Mda...Natumia mda Huu... kuwakumbusha Msali... Nilitumia mda Ule.... kwa bebe na Pisi Kali.. Huu Ndo mda Ambao.... muhun Napiga.... Goti...ll Nilitumia Muda mwingi.... Kutafta ustaa..Babu.. Nikakosa Vya Msingi.. Nikakosa Adi Ustaa..Rabu.. Nikawa Mtu Wa Tungi... kushi na Matap.... Tapu.. Skujal Mda Dingi.... any Time Narap... Rapu... Mda Huo Wakanipa sifa... wakashindwa Kunipa... Ajira... Na walijua Fika... bwege Nadhalilisha.... Hadhira... Sifa Imenijengea Chuki.... manyanyaso... na Masimango... Mda wao wanapiga Hatua... mm Nilipigania.... Warembo.... Leo Hii Napiga Dua.... na Machiz Tukipigania.... Makombo... Piga swaga.. Mraka... Utaskia Nipe Mda... -
Watabir... Wakatabiri... Nitakuja kuwa Muhubir...
Walichotabir... Nikaghahir... Apo kichwa Ndo Sifuri...
Kwenye moja... hakuna Mbili... Pasipo na Juhudiii..
Nivunge Ndan... nje hawanioni... Nikichambua Mmea....
Ndo Muda Ambao... Nasiz... Nakufrestyle like A Ngweaa...
Muda We Unafrah... Kwenye fredge... Moyo Uwe Shwar...
Ndo Muda Mwenzio Analia... Kwenye Fredge... Uko Mochwar...
Watabir... Wakatabiri... Nitakuja kuwa Muhubir... Walichotabir... Nikaghahir... Apo kichwa Ndo Sifuri... Kwenye moja... hakuna Mbili... Pasipo na Juhudiii.. Nivunge Ndan... nje hawanioni... Nikichambua Mmea.... Ndo Muda Ambao... Nasiz... Nakufrestyle like A Ngweaa... Muda We Unafrah... Kwenye fredge... Moyo Uwe Shwar... Ndo Muda Mwenzio Analia... Kwenye Fredge... Uko Mochwar... -
-
-
-
Unajiita pisi kali kilo sabini unakitambi...
Dada acha ufala wewe furushi la magimbi...
Wakikuuliza Shillah why ana single moja tangia elfu mbili...
Shororo kung'atwa na mbu uvumilivu duni...
Maninja kunang'atwa na mbung'o na hatujikuni...
Ukitaka kunielewa mimi kwanza towa mawazo duni...
𝚋𝚘𝚜𝚜 𝚠𝚊 𝚙𝚒𝚜𝚒 𝚔𝚊𝚕𝚒 𝚣𝚎𝚗𝚞ꙬUnajiita pisi kali kilo sabini unakitambi... Dada acha ufala wewe furushi la magimbi... Wakikuuliza Shillah why ana single moja tangia elfu mbili... Shororo kung'atwa na mbu uvumilivu duni... Maninja kunang'atwa na mbung'o na hatujikuni... Ukitaka kunielewa mimi kwanza towa mawazo duni... 𝚋𝚘𝚜𝚜 𝚠𝚊 𝚙𝚒𝚜𝚒 𝚔𝚊𝚕𝚒 𝚣𝚎𝚗𝚞Ꙭ -
-
Demu ukimwita getto basi atataka chipsi...
Sio kavu atakuteta uweke na mishikaki...
Pembeni ya baridi Pepsi au Mango juice...
Mara atamisi kuku mazee wizi mtupu...
Atajifanya amekolea kumbe boda tukutuku...
Mchizi umejichochea yapweza yamoto supu...
Muda ukisubilia umchakaze chukuchuku...
Kabla ya game kuanza atasema subiri kwanza...
Nadaiwa kikoba ela ya wanja kijora kwa mama sanga...
Si ushavua mkanda utatoa mkwanja...
Utampa ela ya kodi nyumba mpka na shamba...
Atakubeza kwa miguno ili ufungue pochi...
Umgande konokono mwisho upige saluti...
Atakuunga mkono akisema baby sikuachi...
Anaeweza kuflow anipagawishe na verse ya pili
Nita share screenshot
𓀬Demu ukimwita getto basi atataka chipsi... Sio kavu atakuteta uweke na mishikaki... Pembeni ya baridi Pepsi au Mango juice... Mara atamisi kuku mazee wizi mtupu... Atajifanya amekolea kumbe boda tukutuku... Mchizi umejichochea yapweza yamoto supu... Muda ukisubilia umchakaze chukuchuku... Kabla ya game kuanza atasema subiri kwanza... Nadaiwa kikoba ela ya wanja kijora kwa mama sanga... Si ushavua mkanda utatoa mkwanja... Utampa ela ya kodi nyumba mpka na shamba... Atakubeza kwa miguno ili ufungue pochi... Umgande konokono mwisho upige saluti... Atakuunga mkono akisema baby sikuachi... Anaeweza kuflow anipagawishe na verse ya pili Nita share screenshot 𓀬0 التعليقات ·0 المشاركات ·636 مشاهدة -