• OFFICIAL & CONFIRMED
    .
    Kiungo mshambuliaji Joshua Mutale raia wa Zambia amejiunga na kikosi cha Simba baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu akitokea Power Dynamos ya Nchini kwao.
    🚨 OFFICIAL & CONFIRMED . Kiungo mshambuliaji Joshua Mutale raia wa Zambia 🇿🇲 amejiunga na kikosi cha Simba baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu akitokea Power Dynamos ya Nchini kwao.
    Like
    Love
    3
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·84 Views
  • Tetesi sinasemaje huko???
    Tetesi sinasemaje huko??? 🥰🥰🥰🥰
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·52 Views
  • Nini maana ya Ukoloni mamboleo??
    Nini maana ya Ukoloni mamboleo??
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·61 Views
  • acha wapige kelele nawapigia ngoMA
    nimeshasaka sana mchongo ukawa mchongoMA
    moja namshukulu mungu kuona maisha yana yoyoMA
    bila ya uvumilivu uwezi pata unacho taKA
    atakama ninashida alaka aina baraKA
    nakwenda nisipo pajua nitafika bila ya dogo mashaKA
    mtembea bure ndio mtafutaji ulizika na anacho kitaKA
    acha wapige kelele nawapigia ngoMA nimeshasaka sana mchongo ukawa mchongoMA moja namshukulu mungu kuona maisha yana yoyoMA bila ya uvumilivu uwezi pata unacho taKA atakama ninashida alaka aina baraKA nakwenda nisipo pajua nitafika bila ya dogo mashaKA mtembea bure ndio mtafutaji ulizika na anacho kitaKA
    Like
    Love
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·71 Views
  • Jembe limeingia, tusubiri msimu uanze
    😂🤣🤣🤣😂😂🤣🤣 Jembe limeingia, tusubiri msimu uanze
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·67 Views
  • Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·58 Views
  • Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·57 Views
  • "Kwa Wadogo zangu, na Watoto wangu, Nani aliwadanganya kuwa na makalio makubwa ndio kufanikiwa? Nani aliwadanganya kufanya mambo ambayo hayampendezi maulana ndio kufanikiwa?

    Wakati natoa #NakomaNaJiji mengi yalikuwa yakizungumzwa, Wengi walisema nirudi kwetu Igunga kwasababu huu mji nimeushindwa, Nilichoimba kwa wakati huo ulikuwa ni ukweli mtupu ilifika kipindi nilikuwa ninazungumza na Mungu wangu tu, Yatima mimi ambaye kutafuta sijachoka, Mungu alinijalia sikuweza kuanguka.

    Nani aliamini kwa kipindi kile nitaweza kufungua mgahawa wa chakula mkubwa na kufanya vizuri kila kona. Jiulize ni watu wangapi maarufu walianzisha biashara na wakashindwa kusimamia? Tazama shishifood na ujifunze.

    Somo langu kubwa kwa wadogo zangu na watoto wangu, Hii dunia imejaa kila aina ya watu jitahidi uwe moja kati ya watu wema, Jitahidi uwe hadithi nzuri siku ukiondoka : Mimi ni hamasa kwa kundi kubwa la Wanawake wenye ndoto wale wanaopitia magumu sana, Wale wanaotoka hali ya chini sana." - Shilole, Msanii wa muziki, filamu na Mjariamali Tanzania.
    "Kwa Wadogo zangu, na Watoto wangu, Nani aliwadanganya kuwa na makalio makubwa ndio kufanikiwa? Nani aliwadanganya kufanya mambo ambayo hayampendezi maulana ndio kufanikiwa? Wakati natoa #NakomaNaJiji mengi yalikuwa yakizungumzwa, Wengi walisema nirudi kwetu Igunga kwasababu huu mji nimeushindwa, Nilichoimba kwa wakati huo ulikuwa ni ukweli mtupu ilifika kipindi nilikuwa ninazungumza na Mungu wangu tu, Yatima mimi ambaye kutafuta sijachoka, Mungu alinijalia sikuweza kuanguka. Nani aliamini kwa kipindi kile nitaweza kufungua mgahawa wa chakula mkubwa na kufanya vizuri kila kona. Jiulize ni watu wangapi maarufu walianzisha biashara na wakashindwa kusimamia? Tazama shishifood na ujifunze. Somo langu kubwa kwa wadogo zangu na watoto wangu, Hii dunia imejaa kila aina ya watu jitahidi uwe moja kati ya watu wema, Jitahidi uwe hadithi nzuri siku ukiondoka : Mimi ni hamasa kwa kundi kubwa la Wanawake wenye ndoto wale wanaopitia magumu sana, Wale wanaotoka hali ya chini sana." - Shilole, Msanii wa muziki, filamu na Mjariamali Tanzania.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·847 Views
  • Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·60 Views
  • 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·79 Views