
-
-
-
-
Uhai wa wapinzani upo kwenye mashaka kwa hatari ya Mashine Mtoa Roho.
Raha zinazokuja Simba hazijawahi kutokea. Unasubiri nini kulipia Simba App? Leo saa 7:00 mchana. #WenyeNchi #NguvuMojaUhai wa wapinzani upo kwenye mashaka kwa hatari ya Mashine Mtoa Roho. Raha zinazokuja Simba hazijawahi kutokea. Unasubiri nini kulipia Simba App? Leo saa 7:00 mchana. #WenyeNchi #NguvuMoja -
“Nimeona wachezaji ambao klabu (Simba) imewatangaza. Binafsi inanipa moyo kuuona msimu ujao itakuwa zamu yetu kunyakua mataji kama Ligi Kuu, FA na mengine ambayo tuliyakosa msimu uliopita. Ukiachana na umri wao kiufundi ni wachezaji wazuri, ndio maana Simba ikawapa nafasi ya kuja kutumika ndani ya kikosi,” kiungo wa Simba, Fabrice Ngoma.0 Комментарии ·0 Поделились ·90 Просмотры
-
-
-
-
-