• Wimbo Ulio Bora 3:1-6 (KJV)

    Usiku kitandani nalimtafuta mpendwa wa nafsi yangu, Nalimtafuta, nisimpate.
    Nikasema, Haya, niondoke nizunguke mjini, Katika njia zake na viwanjani, Nimtafute mpendwa wa nafsi yangu. Nikamtafuta, nisimpate.
    Walinzi wazungukao mjini waliniona; Je! Mmemwona mpendwa wa nafsi yangu?
    Kitambo kidogo tu nikiisha kuwaondokea, Nikamwona mpendwa wa nafsi yangu; Nikamshika, nisimwache tena, Hata nilipomleta nyumbani mwa mamangu, Chumbani mwake aliyenizaa.
    Nawasihi, enyi binti za Yerusalemu, Kwa paa na kwa ayala wa porini, Msiyachochee mapenzi, wala kuyaamsha, Hata yatakapoona vema yenyewe.
    Ni nani huyu apandaye kutoka nyikani, Mfano wake ni nguzo za moshi; Afukizwa manemane na ubani, Na mavumbi ya manukato yote ya mchuuzi?

    #cktvtanzania #CKTVTANZANIA
    Wimbo Ulio Bora 3:1-6 (KJV) Usiku kitandani nalimtafuta mpendwa wa nafsi yangu, Nalimtafuta, nisimpate. Nikasema, Haya, niondoke nizunguke mjini, Katika njia zake na viwanjani, Nimtafute mpendwa wa nafsi yangu. Nikamtafuta, nisimpate. Walinzi wazungukao mjini waliniona; Je! Mmemwona mpendwa wa nafsi yangu? Kitambo kidogo tu nikiisha kuwaondokea, Nikamwona mpendwa wa nafsi yangu; Nikamshika, nisimwache tena, Hata nilipomleta nyumbani mwa mamangu, Chumbani mwake aliyenizaa. Nawasihi, enyi binti za Yerusalemu, Kwa paa na kwa ayala wa porini, Msiyachochee mapenzi, wala kuyaamsha, Hata yatakapoona vema yenyewe. Ni nani huyu apandaye kutoka nyikani, Mfano wake ni nguzo za moshi; Afukizwa manemane na ubani, Na mavumbi ya manukato yote ya mchuuzi? #cktvtanzania #CKTVTANZANIA
    0 Comments 0 Shares 344 Views
  • Wimbo Ulio Bora 3:1-6

    Usiku kitandani nalimtafuta mpendwa wa nafsi yangu, Nalimtafuta, nisimpate.
    Nikasema, Haya, niondoke nizunguke mjini, Katika njia zake na viwanjani, Nimtafute mpendwa wa nafsi yangu. Nikamtafuta, nisimpate.
    Walinzi wazungukao mjini waliniona; Je! Mmemwona mpendwa wa nafsi yangu?
    Kitambo kidogo tu nikiisha kuwaondokea, Nikamwona mpendwa wa nafsi yangu; Nikamshika, nisimwache tena, Hata nilipomleta nyumbani mwa mamangu, Chumbani mwake aliyenizaa.
    Nawasihi, enyi binti za Yerusalemu, Kwa paa na kwa ayala wa porini, Msiyachochee mapenzi, wala kuyaamsha, Hata yatakapoona vema yenyewe.
    Ni nani huyu apandaye kutoka nyikani, Mfano wake ni nguzo za moshi; Afukizwa manemane na ubani, Na mavumbi ya manukato yote ya mchuuzi?

    #cktvtanzania
    Wimbo Ulio Bora 3:1-6 Usiku kitandani nalimtafuta mpendwa wa nafsi yangu, Nalimtafuta, nisimpate. Nikasema, Haya, niondoke nizunguke mjini, Katika njia zake na viwanjani, Nimtafute mpendwa wa nafsi yangu. Nikamtafuta, nisimpate. Walinzi wazungukao mjini waliniona; Je! Mmemwona mpendwa wa nafsi yangu? Kitambo kidogo tu nikiisha kuwaondokea, Nikamwona mpendwa wa nafsi yangu; Nikamshika, nisimwache tena, Hata nilipomleta nyumbani mwa mamangu, Chumbani mwake aliyenizaa. Nawasihi, enyi binti za Yerusalemu, Kwa paa na kwa ayala wa porini, Msiyachochee mapenzi, wala kuyaamsha, Hata yatakapoona vema yenyewe. Ni nani huyu apandaye kutoka nyikani, Mfano wake ni nguzo za moshi; Afukizwa manemane na ubani, Na mavumbi ya manukato yote ya mchuuzi? #cktvtanzania
    0 Comments 0 Shares 437 Views
  • 0 Comments 0 Shares 75 Views
  • Je ni rahisi kupata ukimwi?
    Je ni rahisi kupata ukimwi?
    0
    0
    0
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 79 Views
  • Mashabiki wa Azam FC ni Mchezaji gani amepewa Thank you na bado alikuwa muhimu kwenye kikosi??
    Mashabiki wa Azam FC ni Mchezaji gani amepewa Thank you na bado alikuwa muhimu kwenye kikosi??
    6
    1
    4
    0
    Like
    1
    0 Comments 1 Shares 3K Views
  • Mashabiki wa Azam FC ni Mchezaji gani amepewa Thank you na bado alikuwa muhimu kwenye kikosi??
    6
    1
    4
    0
    0 Comments 0 Shares 601 Views
  • “Mimi ni mchekeshaji unajua na huwa napenda kuona watu wanacheka nikiwa naongea. Ndio maana huwa naongea Kiingereza kisichoeleweka ili watu wacheke tu, kwani ndio furaha yangu,” - Shilole, Msanii wa muziki, filamu na Mjariamali Tanzania.
    “Mimi ni mchekeshaji unajua na huwa napenda kuona watu wanacheka nikiwa naongea. Ndio maana huwa naongea Kiingereza kisichoeleweka ili watu wacheke tu, kwani ndio furaha yangu,” - Shilole, Msanii wa muziki, filamu na Mjariamali Tanzania.
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 323 Views
  • "SIMBA SC YAPEWA THANK YOU NA CHAMA …

    Simba SC kimsingi waliapaswa KUMUAGA Chama kama walivyofanya kwa Bernard Morrison kabla Chama hajawapiga ‘TALAKA’ yake. Walipoachwa wangeachika na kumshukuru Mwamba wa Lusaka na kumtakia maisha mema huko aendako" - Jemedari Said, Mchambuzi

    "SIMBA SC YAPEWA THANK YOU NA CHAMA …πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Simba SC kimsingi waliapaswa KUMUAGA Chama kama walivyofanya kwa Bernard Morrison kabla Chama hajawapiga ‘TALAKA’ yake. Walipoachwa wangeachika na kumshukuru Mwamba wa Lusaka na kumtakia maisha mema huko aendako" - Jemedari Said, Mchambuzi ✍️
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 307 Views
  • "Binafsi sijaenda kitendo Cha Chama kwenda Yanga kwasababu ligi yetu itakuwa na utawala wa timu Moja kwakuwa wachezaji wote wazuri na Bora wapo kwenye timu Moja itapelekea Yanga kukosa ushindani kwenye ligi yetu -" - Alex Ngereza, Mchambuzi (TV3)
    "Binafsi sijaenda kitendo Cha Chama kwenda Yanga kwasababu ligi yetu itakuwa na utawala wa timu Moja kwakuwa wachezaji wote wazuri na Bora wapo kwenye timu Moja itapelekea Yanga kukosa ushindani kwenye ligi yetu -" - Alex Ngereza, Mchambuzi (TV3)
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 209 Views
  • .... Mikataba mipya ndani ya Young Africans

    Djigui Diarra
    Khalid Aucho
    Bakari Mwamnyeto
    Aziz KI
    Farid Mussa
    Jonas Mkude
    Clement Mzize
    Nickson Kibabage
    Kibwana Shomari
    Aboutwalib Mshery
    .... 🚨 Mikataba mipya ndani ya Young Africans πŸ‡ΉπŸ‡Ώ βœ… Djigui Diarra πŸ‡²πŸ‡± βœ… Khalid Aucho πŸ‡ΊπŸ‡¬ βœ… Bakari Mwamnyeto πŸ‡ΉπŸ‡Ώ βœ… Aziz KI πŸ‡§πŸ‡« βœ… Farid Mussa πŸ‡ΉπŸ‡Ώ βœ… Jonas Mkude πŸ‡ΉπŸ‡Ώ βœ… Clement Mzize πŸ‡ΉπŸ‡Ώ βœ… Nickson Kibabage πŸ‡ΉπŸ‡Ώ βŒ› Kibwana Shomari πŸ‡ΉπŸ‡Ώ βŒ› Aboutwalib Mshery πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
    Like
    3
    0 Comments 0 Shares 966 Views