OFFICIAL: Klabu ya Simba imethibitisha kunasa saini ya mshambuliaji kijana, Valentino Mashaka kutoka Geita Gold kwa mkataba wa miaka miwili.
.
Valentino mwenye umri wa miaka 18 ni kijana mwenye kipaji na uwezo mkubwa wa kufunga na kutengeneza nafasi hivyo wamemuona kama mtu sahihi katika ujenzi wa kikosi chetu kipya.
.
Valentino mwenye umri wa miaka 18 ni kijana mwenye kipaji na uwezo mkubwa wa kufunga na kutengeneza nafasi hivyo wamemuona kama mtu sahihi katika ujenzi wa kikosi chetu kipya.
🚨 OFFICIAL: Klabu ya Simba imethibitisha kunasa saini ya mshambuliaji kijana, Valentino Mashaka kutoka Geita Gold kwa mkataba wa miaka miwili.
.
Valentino mwenye umri wa miaka 18 ni kijana mwenye kipaji na uwezo mkubwa wa kufunga na kutengeneza nafasi hivyo wamemuona kama mtu sahihi katika ujenzi wa kikosi chetu kipya.
0 Σχόλια
·0 Μοιράστηκε
·94 Views