Alhamisi saa moja usiku katika Uwanja wa Benjamin Mkapa itapigwa KARIAKOO DERBY katika mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii.
.
Viingilio vya mchezo huo mkubwa ambao unasubiriwa kwa hamu na wadau wengi wa soka tayari vimewekwa wazi.
.
Viingilio hivyo ni kama ifuatavyo:
â—‰VIP A Sh 50,000
â—‰VIP B Sh 30,000
â—‰VIP C Sh 20,000
â—‰Machungwa Sh 10,000
â—‰Mzunguko Sh 5,000
🚨 Alhamisi saa moja usiku katika Uwanja wa Benjamin Mkapa itapigwa KARIAKOO DERBY katika mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii. . Viingilio vya mchezo huo mkubwa ambao unasubiriwa kwa hamu na wadau wengi wa soka tayari vimewekwa wazi. . Viingilio hivyo ni kama ifuatavyo: ◉VIP A Sh 50,000 ◉VIP B Sh 30,000 ◉VIP C Sh 20,000 ◉Machungwa Sh 10,000 ◉Mzunguko Sh 5,000
Like
2
0 Reacties 0 aandelen 296 Views