Alhamisi saa moja usiku katika Uwanja wa Benjamin Mkapa itapigwa KARIAKOO DERBY katika mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii.
.
Viingilio vya mchezo huo mkubwa ambao unasubiriwa kwa hamu na wadau wengi wa soka tayari vimewekwa wazi.
.
Viingilio hivyo ni kama ifuatavyo:
◉VIP A Sh 50,000
◉VIP B Sh 30,000
◉VIP C Sh 20,000
◉Machungwa Sh 10,000
◉Mzunguko Sh 5,000
.
Viingilio vya mchezo huo mkubwa ambao unasubiriwa kwa hamu na wadau wengi wa soka tayari vimewekwa wazi.
.
Viingilio hivyo ni kama ifuatavyo:
◉VIP A Sh 50,000
◉VIP B Sh 30,000
◉VIP C Sh 20,000
◉Machungwa Sh 10,000
◉Mzunguko Sh 5,000
🚨 Alhamisi saa moja usiku katika Uwanja wa Benjamin Mkapa itapigwa KARIAKOO DERBY katika mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii.
.
Viingilio vya mchezo huo mkubwa ambao unasubiriwa kwa hamu na wadau wengi wa soka tayari vimewekwa wazi.
.
Viingilio hivyo ni kama ifuatavyo:
◉VIP A Sh 50,000
◉VIP B Sh 30,000
◉VIP C Sh 20,000
◉Machungwa Sh 10,000
◉Mzunguko Sh 5,000