.𝐄𝐱đĨ𝐮đŦđĸđ¯đž 𝐈𝐧𝐭𝐞đĢđ¯đĸ𝐞𝐰

“Kabla ya kusaini mkataba mpya, Kocha wetu Miguel Gamondi alipata ofa nyingi sana kutoka Klabu nyingine kubwa Afrika na aliahidiwa hela nyingi lakini alichagua kubaki Yanga kwa sababu ya ubora wa timu tuliyoitengeneza. Hii timu yetu inaweza kumpa heshima kubwa zaidi Afrika,” Eng Hersi Said

#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
.𝐄𝐱đĨ𝐮đŦđĸđ¯đž 𝐈𝐧𝐭𝐞đĢđ¯đĸ𝐞𝐰🔰 “Kabla ya kusaini mkataba mpya, Kocha wetu Miguel Gamondi alipata ofa nyingi sana kutoka Klabu nyingine kubwa Afrika na aliahidiwa hela nyingi lakini alichagua kubaki Yanga kwa sababu ya ubora wa timu tuliyoitengeneza. Hii timu yetu inaweza kumpa heshima kubwa zaidi Afrika,” Eng Hersi Said #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
Like
Love
11
2 Reacties 0 aandelen 599 Views