Читать далее
🚨UPDATES:- Afisa wa Bodi ya Ligi kuu ya NBC, Karim Boimanda amethibitisha kupokea barua kutoka kwa Simba SC juu ya kutaka kuhama uwanja wa KMC Complex na kwenda uwanja wa Azam Complex . Simba Sc wametuma barua ya kuhama uwanja wa KMC Complex ili kuweza kuhamia uwanja wa Azam Complex . #paulswai
Love
Like
3
· 0 Комментарии ·0 Поделились ·500 Просмотры