Erling Braut Haaland amesaini mkataba na Machester City wa miaka tisa na nusu mpaka 2034 ambao utajumuisha rekodi ya mshahara .

Mshahara mnono zaidi kuwahi kutokea Man City , na pia mmoja wa mshahara mkubwa katika historia ya Ligi kuu England na Football kiujumla

Source : @fabriziorom @davidornstein

Piga hela tu , kuna maisha baada ya kusakata kandanda.!

#neliudcosih
Erling Braut Haaland amesaini mkataba na Machester City wa miaka tisa na nusu mpaka 2034 ambao utajumuisha rekodi ya mshahara . Mshahara mnono zaidi kuwahi kutokea Man City , na pia mmoja wa mshahara mkubwa katika historia ya Ligi kuu England na Football kiujumla Source : @fabriziorom @davidornstein Piga hela tu , kuna maisha baada ya kusakata kandanda.! 😀 #neliudcosih
Like
2
· 0 Comments ·0 Shares ·428 Views