Maazimio (22) ya Marais wa Nchi Wanachama wa SADC na EAC kwenye mkutano uliofanyika leo hii Jijini Dar Es Salaam, Tanzania , Azimio la (12) limewataka Wakuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa Nchi zote Wanachama kukutana ndani ya siku tano (5) na kutoa mwelekeo wa kitalaam kuhusu mambo yafuatayo:
- Kusitisha mara moja mapigano huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo .
- Kutoa misaada ya Kibinadamu na kuwasaidia Wahanga wa vita.
- Kutoa mpango kazi wa ulinzi ndani ya Mji wa Goma na maeneo Jirani.
- Kuzifungua njia muhimu za mawasiliano kwenye Miji ya Goma - Kibumba- Rumangambo - Kalengera- Rutshuru na Goma - Kiwanja- Rwindi lakini pia matumizi ya Ziwa Kivu kwa ajili ya usafiri.
- Kuufungua Uwanja wa Ndege wa Mji Goma mara moja.
- Kusitisha mara moja mapigano huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo .
- Kutoa misaada ya Kibinadamu na kuwasaidia Wahanga wa vita.
- Kutoa mpango kazi wa ulinzi ndani ya Mji wa Goma na maeneo Jirani.
- Kuzifungua njia muhimu za mawasiliano kwenye Miji ya Goma - Kibumba- Rumangambo - Kalengera- Rutshuru na Goma - Kiwanja- Rwindi lakini pia matumizi ya Ziwa Kivu kwa ajili ya usafiri.
- Kuufungua Uwanja wa Ndege wa Mji Goma mara moja.
Maazimio (22) ya Marais wa Nchi Wanachama wa SADC na EAC kwenye mkutano uliofanyika leo hii Jijini Dar Es Salaam, Tanzania ๐น๐ฟ, Azimio la (12) limewataka Wakuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa Nchi zote Wanachama kukutana ndani ya siku tano (5) na kutoa mwelekeo wa kitalaam kuhusu mambo yafuatayo:
- Kusitisha mara moja mapigano huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo ๐จ๐ฉ.
- Kutoa misaada ya Kibinadamu na kuwasaidia Wahanga wa vita.
- Kutoa mpango kazi wa ulinzi ndani ya Mji wa Goma na maeneo Jirani.
- Kuzifungua njia muhimu za mawasiliano kwenye Miji ya Goma - Kibumba- Rumangambo - Kalengera- Rutshuru na Goma - Kiwanja- Rwindi lakini pia matumizi ya Ziwa Kivu kwa ajili ya usafiri.
- Kuufungua Uwanja wa Ndege wa Mji Goma mara moja.
0 Comments
ยท0 Shares
ยท27 Views