RHODE MOHAN kijana mbabe mtaani,hana kazi ya maana inayomuweka mjini zaidi ya kuishi akiwa anamtegemea kaka yake..anakula bure na kulala bure,hali hii inamkera sana kaka yake AJAY...lakini Sasa Atafanyaje

Kutokana na ubabe wake katengeneza idadi kubwa ya maadui mtaani, licha ya kuishi kibabe na kihuni kitaa linapokuja suala la kuwasaidia watu pale anapoona wanaonewa basi anajitoa sana kuwasaidia

Siku moja akiwa kijiweni na crue yake jobless wenzake alikatiza Binti mgeni kwa jina la NIRJARA aliyekuwa anaripoti chuoni kwa mala ya kwanza..hivyo akakaribishwa na wahuni hao

Hawakuwa na sababu ya msingi kumsimamisha bibie huyo mrembo na mpole,zaidi ya kumsumbua huku wakipekua mizigo yake na kuchukua baadhi ya vitu aliyokuwa kabeba ikiwemo chakula

Baada ya hapo akaamliwa kumsalim RHODE kwa kumpa salute mala zote watakapokuwa wanakutana...bibie huyu mtoto wa kiongozi wa dini hakuwa na makuu mala zote alipokutana na RHODE alimuamkia kwa kumpa salute..hata walilokutana nyumba za ibada alifanyaa hivyo

Mpaka Ikawa kero kwa RHODE kupigiwa salute mala kwa mala...kwa kipindi kifupi alochokutana na bibie RHODE akavutiwa na NIRJARA..shida ikawa ni namna ya kumuingia bibie huyo maana hayo ni mambo mageni kwake..yeye ni mtu wa ugomvi tu na kushinda vijiweni

Ikabidi ajikaze na kutafuta lugha nzuri itakayofanya bibie amuelewe...alipofika kwa bibie alijing'ata ng'ata..ila ujumbe aliufikisha..lakini mala kadhaa bibie aliwai kushuhudia baadhi ya vitendo vya kubutua watu RHODE akivifanya hadharani bila kujua sababu hivyo akagoma kuwa nae

RHODE ikabidi afosi kupendwa kibabe baada ya lugha ya mapendo kufeli..bibie akaingia lain na kumkubali mbabe huyo hasa baada ya kusikia story zake kwa baadhi ya watu ikiwemo ndugu zake juu ya baadhi ya matukio ya ukarimu aliyowai kuyatenda

Siku ya RHODE ikawa nzuri baada ya ombi lake kukubaliwa..siku chache baada ya bibie kutengeneza furaha ya RHODE..RHODE akiwa kitaa Kuna genge la wahuni lilimvamia..alikuwa mwenye akashindwa kukabiliana nao

Walimpiga vibaya sehemu ya kichwani kwa kumchangia kiasi Cha kuwa mahututi na kupelekwa hospital..Majibu yake ya afya hayakuwa mazuri baada ya kugundulika akili zimeruka na kawa chizi na hawawezi kumtibia tatizo Hilo

Solution ni kupelekwa sehemu wanakoishi matahira kama yeye...mwanzo wa maisha mapya ya mateso kwa mbabe RHODE..akiwa kituoni hapo mpenzi wake alikuwa mtu wa ibada mala zote akiomba mungu amponye mpenzi wake

Baada ya muda mrefu maombi hayo yalisikilizwa..Afya ya RHODE ilirejea kama awali akawa anashangaa muonekano wake na mazingira alipo..lakini watamuamini vipi kama kapona

Baada ya jitihadaa za kawaida kugonga mwamba ili aondoke Kituo hicho aliona solution ni kutoroka..katika harakati za kutoroka bahati mbaya alipata jeraha baada ya kuanguka umbali mrefu sana na kurejeshwa ndani..akafungwa nyororo kuzuwia asitoroke tena

Siku moja bibie NIRJARA alifunga safari mpaka Kituo hicho kumjulia Hali RHODE alikuta amelala akiwa na jeraha kubwa mguuni,yuko rafu na kafungwa nyororo,hakutaka kumuamsha..alijua Bado anashida ya akili..alimuachia baadhi ya vitu ili aliamka avikute Kisha akaenda zake

Bibie alipofika mbali kidogo RHODE aliamka na kumuona bibie kwa mbali..alimuita kwa nguvu lakini hakusikia sababu ya kelele za matahira kituoni hapo

Mwamba akapanga mpango mwingine wa kutoroka...wakati anasuka mipango kumbe uraiani bibie kachaguliwa mtu mwingine wa kuolewa nae baada ya kuona uwezekano wa RHODE kupona ni sifuri

RHODE alifanikiwa kutoroka baada ya kutembeza kichapo kwa baadhi ya wasimamizi kituoni hapo..moja kwa moja akaelekea mpaka nyumbani kwakina bibie..alipofika alikuta Hali ya tofauti ya majonzi nyumbani hapo

Kumbe maskin bibie hakuwa tayali kuolewa na mtu mwingine hivyo akaamuwa kujiuwa..siku mbaya sana kwa RHODE.. furaha aliyoipigania kaikosa...wakati huo anaugulia maumivu Kuna Kikosi kimeagizwa Kwenda kumkamata baada ya kutoroka

Mambo ya SALMAN KHAN na TERE NAAM
👉RHODE MOHAN kijana mbabe mtaani,hana kazi ya maana inayomuweka mjini zaidi ya kuishi akiwa anamtegemea kaka yake..anakula bure na kulala bure,hali hii inamkera sana kaka yake AJAY...lakini Sasa Atafanyaje 🤔 Kutokana na ubabe wake katengeneza idadi kubwa ya maadui mtaani, licha ya kuishi kibabe na kihuni kitaa linapokuja suala la kuwasaidia watu pale anapoona wanaonewa basi anajitoa sana kuwasaidia Siku moja akiwa kijiweni na crue yake jobless wenzake alikatiza Binti mgeni kwa jina la NIRJARA aliyekuwa anaripoti chuoni kwa mala ya kwanza..hivyo akakaribishwa na wahuni hao Hawakuwa na sababu ya msingi kumsimamisha bibie huyo mrembo na mpole,zaidi ya kumsumbua huku wakipekua mizigo yake na kuchukua baadhi ya vitu aliyokuwa kabeba ikiwemo chakula Baada ya hapo akaamliwa kumsalim RHODE kwa kumpa salute mala zote watakapokuwa wanakutana...bibie huyu mtoto wa kiongozi wa dini hakuwa na makuu mala zote alipokutana na RHODE alimuamkia kwa kumpa salute..hata walilokutana nyumba za ibada alifanyaa hivyo Mpaka Ikawa kero kwa RHODE kupigiwa salute mala kwa mala...kwa kipindi kifupi alochokutana na bibie RHODE akavutiwa na NIRJARA..shida ikawa ni namna ya kumuingia bibie huyo maana hayo ni mambo mageni kwake..yeye ni mtu wa ugomvi tu na kushinda vijiweni Ikabidi ajikaze na kutafuta lugha nzuri itakayofanya bibie amuelewe...alipofika kwa bibie alijing'ata ng'ata..ila ujumbe aliufikisha..lakini mala kadhaa bibie aliwai kushuhudia baadhi ya vitendo vya kubutua watu RHODE akivifanya hadharani bila kujua sababu hivyo akagoma kuwa nae RHODE ikabidi afosi kupendwa kibabe baada ya lugha ya mapendo kufeli..bibie akaingia lain na kumkubali mbabe huyo hasa baada ya kusikia story zake kwa baadhi ya watu ikiwemo ndugu zake juu ya baadhi ya matukio ya ukarimu aliyowai kuyatenda Siku ya RHODE ikawa nzuri baada ya ombi lake kukubaliwa..siku chache baada ya bibie kutengeneza furaha ya RHODE..RHODE akiwa kitaa Kuna genge la wahuni lilimvamia..alikuwa mwenye akashindwa kukabiliana nao Walimpiga vibaya sehemu ya kichwani kwa kumchangia kiasi Cha kuwa mahututi na kupelekwa hospital..Majibu yake ya afya hayakuwa mazuri baada ya kugundulika akili zimeruka na kawa chizi na hawawezi kumtibia tatizo Hilo Solution ni kupelekwa sehemu wanakoishi matahira kama yeye...mwanzo wa maisha mapya ya mateso kwa mbabe RHODE..akiwa kituoni hapo mpenzi wake alikuwa mtu wa ibada mala zote akiomba mungu amponye mpenzi wake Baada ya muda mrefu maombi hayo yalisikilizwa..Afya ya RHODE ilirejea kama awali akawa anashangaa muonekano wake na mazingira alipo..lakini watamuamini vipi kama kapona Baada ya jitihadaa za kawaida kugonga mwamba ili aondoke Kituo hicho aliona solution ni kutoroka..katika harakati za kutoroka bahati mbaya alipata jeraha baada ya kuanguka umbali mrefu sana na kurejeshwa ndani..akafungwa nyororo kuzuwia asitoroke tena Siku moja bibie NIRJARA alifunga safari mpaka Kituo hicho kumjulia Hali RHODE alikuta amelala akiwa na jeraha kubwa mguuni,yuko rafu na kafungwa nyororo,hakutaka kumuamsha..alijua Bado anashida ya akili..alimuachia baadhi ya vitu ili aliamka avikute Kisha akaenda zake Bibie alipofika mbali kidogo RHODE aliamka na kumuona bibie kwa mbali..alimuita kwa nguvu lakini hakusikia sababu ya kelele za matahira kituoni hapo Mwamba akapanga mpango mwingine wa kutoroka...wakati anasuka mipango kumbe uraiani bibie kachaguliwa mtu mwingine wa kuolewa nae baada ya kuona uwezekano wa RHODE kupona ni sifuri RHODE alifanikiwa kutoroka baada ya kutembeza kichapo kwa baadhi ya wasimamizi kituoni hapo..moja kwa moja akaelekea mpaka nyumbani kwakina bibie..alipofika alikuta Hali ya tofauti ya majonzi nyumbani hapo Kumbe maskin bibie hakuwa tayali kuolewa na mtu mwingine hivyo akaamuwa kujiuwa..siku mbaya sana kwa RHODE.. furaha aliyoipigania kaikosa...wakati huo anaugulia maumivu Kuna Kikosi kimeagizwa Kwenda kumkamata baada ya kutoroka Mambo ya SALMAN KHAN na TERE NAAM
Like
1
· 0 Comments ·0 Shares ·106 Views