"Goli 8 Asisti 9 So Far .. Kabatini kwake kuna TUZO 6 za MAN OF THE MATCH. Tuzo 3 kazibeba kwenye mechi za ugenini, Tuzo 3 kazibeba kwenye mechi za Nyumbani

Na kubwa zaidi, Tuzo 3 za Man of The Match kazibeba kwenye MECHI 3 MFULULIZO

Mabibi na Mabwana .. Huyu sio mwingine ni EL PROFFESSSSOR @pacom_zouzoua .. HE IS ON FIRE🫡

Mungu aendelee kumpa afya njema Tukamilishe Jambo letu Msimu huu" - Ali Kamwe, Msemaji wa klabu ya Yanga SC.

"Goli 8 Asisti 9 So Far .. Kabatini kwake kuna TUZO 6 za MAN OF THE MATCH. Tuzo 3 kazibeba kwenye mechi za ugenini, Tuzo 3 kazibeba kwenye mechi za Nyumbani Na kubwa zaidi, Tuzo 3 za Man of The Match kazibeba kwenye MECHI 3 MFULULIZO Mabibi na Mabwana .. Huyu sio mwingine ni EL PROFFESSSSOR @pacom_zouzoua .. HE IS ON FIRE🫡 Mungu aendelee kumpa afya njema Tukamilishe Jambo letu Msimu huu👑" - Ali Kamwe, Msemaji wa klabu ya Yanga SC.
0 Reacties ·0 aandelen ·36 Views