4/21.Tumia biblia kuomba ulinzi wa Mungu.
*Maisha ya mwanadamu hayako mikononi mwa mwanadamu bali yako mikononi mwake mwokozi Mungu wetu.*
*Ukijua kuwa uweponi mwa bwana jukumu la kujilinda linakuwa siyo lako.*
Zaburi 127:1-2
*BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure. Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi."*
Kumbe lazima Bwana akulinde kwani kujilnda uwezi hata siku moja.
1.Mfanye Bwana kuwa mlinzi wako
Mithali18:10. *Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama*
Zaburi 27:1.BHN *Mwenyezi-Mungu ni mwanga wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa? Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha yangu, sitamwogopa mtu yeyote*
Kumbe lazima ifike mahara bwana awe ngome yako na kimbilio lako na uo ndio wakovu mkuu.
2.Bwana atakulinda dhidi ya mabaya
Zaburi 91:4
*Bwana atakufunika chini ya mbawa zake*
Zaburi 121:1-4
Zaburi 34:7
*Malaika wa Mwenyezi-Mungu huwalinda wote wamchao, na kuwaokoa katika hatari.*
Kumbe kama tu ukiamua kuokoka Bwana anaanza kuwa mtetezi wako .
*Kiwango chako cha kumjua Mungu kinaamua kiwango gani Mungu awa mtetezi wako .*
Ayubu 22:21
*Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia*
Kumbe mema yako ni uwezo wako wa kumjua Mungu.
Kutoka 14;14 SUV
*BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.*
Zaburi 23:4
*Nijapopita katika bonde la giza kuu la kifo, sitaogopa hatari yoyote, maana wewe ee Mwenyezi-Mungu u pamoja nami; gongo lako na fimbo yako vyanilinda*
*Wokovu ndio siri inayo kukutaniisha na Mungu na kuwa mlinzi wa karibu*
*Mtafute sana Mungu ndipo atakuzidishia ulinzi kiasi cha kuweza kukuandalia meza katikati ya watesi wako.*
*Mungu akiwa mlinzi wako ndivyo anavyo weza kuwa kimbilio lako na ngome yako na mtetezi wako.*
#build new eden
#restore men position
*Maisha ya mwanadamu hayako mikononi mwa mwanadamu bali yako mikononi mwake mwokozi Mungu wetu.*
*Ukijua kuwa uweponi mwa bwana jukumu la kujilinda linakuwa siyo lako.*
Zaburi 127:1-2
*BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure. Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi."*
Kumbe lazima Bwana akulinde kwani kujilnda uwezi hata siku moja.
1.Mfanye Bwana kuwa mlinzi wako
Mithali18:10. *Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama*
Zaburi 27:1.BHN *Mwenyezi-Mungu ni mwanga wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa? Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha yangu, sitamwogopa mtu yeyote*
Kumbe lazima ifike mahara bwana awe ngome yako na kimbilio lako na uo ndio wakovu mkuu.
2.Bwana atakulinda dhidi ya mabaya
Zaburi 91:4
*Bwana atakufunika chini ya mbawa zake*
Zaburi 121:1-4
Zaburi 34:7
*Malaika wa Mwenyezi-Mungu huwalinda wote wamchao, na kuwaokoa katika hatari.*
Kumbe kama tu ukiamua kuokoka Bwana anaanza kuwa mtetezi wako .
*Kiwango chako cha kumjua Mungu kinaamua kiwango gani Mungu awa mtetezi wako .*
Ayubu 22:21
*Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia*
Kumbe mema yako ni uwezo wako wa kumjua Mungu.
Kutoka 14;14 SUV
*BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.*
Zaburi 23:4
*Nijapopita katika bonde la giza kuu la kifo, sitaogopa hatari yoyote, maana wewe ee Mwenyezi-Mungu u pamoja nami; gongo lako na fimbo yako vyanilinda*
*Wokovu ndio siri inayo kukutaniisha na Mungu na kuwa mlinzi wa karibu*
*Mtafute sana Mungu ndipo atakuzidishia ulinzi kiasi cha kuweza kukuandalia meza katikati ya watesi wako.*
*Mungu akiwa mlinzi wako ndivyo anavyo weza kuwa kimbilio lako na ngome yako na mtetezi wako.*
#build new eden
#restore men position
4/21.Tumia biblia kuomba ulinzi wa Mungu.
*Maisha ya mwanadamu hayako mikononi mwa mwanadamu bali yako mikononi mwake mwokozi Mungu wetu.*
*Ukijua kuwa uweponi mwa bwana jukumu la kujilinda linakuwa siyo lako.*
Zaburi 127:1-2
*BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure. Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi."*
Kumbe lazima Bwana akulinde kwani kujilnda uwezi hata siku moja.
1.Mfanye Bwana kuwa mlinzi wako
Mithali18:10. *Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama*
Zaburi 27:1.BHN *Mwenyezi-Mungu ni mwanga wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa? Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha yangu, sitamwogopa mtu yeyote*
Kumbe lazima ifike mahara bwana awe ngome yako na kimbilio lako na uo ndio wakovu mkuu.
2.Bwana atakulinda dhidi ya mabaya
Zaburi 91:4
*Bwana atakufunika chini ya mbawa zake*
Zaburi 121:1-4
Zaburi 34:7
*Malaika wa Mwenyezi-Mungu huwalinda wote wamchao, na kuwaokoa katika hatari.*
Kumbe kama tu ukiamua kuokoka Bwana anaanza kuwa mtetezi wako .
*Kiwango chako cha kumjua Mungu kinaamua kiwango gani Mungu awa mtetezi wako .*
Ayubu 22:21
*Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia*
Kumbe mema yako ni uwezo wako wa kumjua Mungu.
Kutoka 14;14 SUV
*BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.*
Zaburi 23:4
*Nijapopita katika bonde la giza kuu la kifo, sitaogopa hatari yoyote, maana wewe ee Mwenyezi-Mungu u pamoja nami; gongo lako na fimbo yako vyanilinda*
*Wokovu ndio siri inayo kukutaniisha na Mungu na kuwa mlinzi wa karibu*
*Mtafute sana Mungu ndipo atakuzidishia ulinzi kiasi cha kuweza kukuandalia meza katikati ya watesi wako.*
*Mungu akiwa mlinzi wako ndivyo anavyo weza kuwa kimbilio lako na ngome yako na mtetezi wako.*
#build new eden
#restore men position
