8/21 NGUVU YA MSAMAHA.
Msamaha si tukio la kimwili bali ni tukio la kiroho .
Mungu mwenyewe ndo mwenye asili ya msamaha hivyo basi kukosa ndo tabia ya mwanadamu lakini kusamehe ni tabia ya mungu mwenyewe.
Efeso 4:32 BHN
*Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe mwenzake kama naye Mungu alivyowasamehe*
Moja y ishara inayo thibitisha upendo wetu kwa Mungu ni msamaha ,tunasamehe ili tumuone Mungu katika namna ya upendo wake .
Lawi 19:18
*Usifanye kisasi, wala kuwa na kinyongo juu ya wana wa watu wako; bali umpende jirani yako kama nafsi yako; Mimi ndimi BWANA.*
*Kumbe msamaha uashiria upendo na upendo ni Amri kuu ambayo Mungu alituachia ya kuwa yatupasa pendana*
*Atusamehe ili tumnufaishe aliye tukosea tunasamehe ili tumuone Mungu katika maisha yetu*
Kwanini tunasamehe.
1.kusamehe kuna kupa fursa ya kusamehewa makosa yako
Mathayo 6:12 *Na utusamehe makosa yetu kama sisi tulivyokwisha kuwa samehe waliotukosea*
2.kusamehe kunakupa fursa ya kusikilizwa maombi yako .
Isaya 59:1-2
Kumbe ili kusamehewa na Mungu wetu ni lazima wewe usamehe pia.
3.kusamehe kunaweza saidia kufungua mlango wa sadaka ili ipate kibali.
Mathayo 5:23-24
4.Msamaha ni mlango wa uponyaji wako .yakobo5:14-15
5.Msamaha ni mlango wa baraka katika maisha yako
mwanzo 37:23-27
6.Msamaha ni mlango wa wokovu kwa watu wengine.
Luka 23:33-34
Rumi 12:14
Ko kumbe ukitizama vizuri tunasamehe kwa ajiri ya kutimiza kusudi lake Mungu wetu.
*Jifunze kusamehe ili utumiwe na Mungu na kusikilizwa haja zako.*
Ahsante naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
#build new eden
#Restoremenposition
Msamaha si tukio la kimwili bali ni tukio la kiroho .
Mungu mwenyewe ndo mwenye asili ya msamaha hivyo basi kukosa ndo tabia ya mwanadamu lakini kusamehe ni tabia ya mungu mwenyewe.
Efeso 4:32 BHN
*Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe mwenzake kama naye Mungu alivyowasamehe*
Moja y ishara inayo thibitisha upendo wetu kwa Mungu ni msamaha ,tunasamehe ili tumuone Mungu katika namna ya upendo wake .
Lawi 19:18
*Usifanye kisasi, wala kuwa na kinyongo juu ya wana wa watu wako; bali umpende jirani yako kama nafsi yako; Mimi ndimi BWANA.*
*Kumbe msamaha uashiria upendo na upendo ni Amri kuu ambayo Mungu alituachia ya kuwa yatupasa pendana*
*Atusamehe ili tumnufaishe aliye tukosea tunasamehe ili tumuone Mungu katika maisha yetu*
Kwanini tunasamehe.
1.kusamehe kuna kupa fursa ya kusamehewa makosa yako
Mathayo 6:12 *Na utusamehe makosa yetu kama sisi tulivyokwisha kuwa samehe waliotukosea*
2.kusamehe kunakupa fursa ya kusikilizwa maombi yako .
Isaya 59:1-2
Kumbe ili kusamehewa na Mungu wetu ni lazima wewe usamehe pia.
3.kusamehe kunaweza saidia kufungua mlango wa sadaka ili ipate kibali.
Mathayo 5:23-24
4.Msamaha ni mlango wa uponyaji wako .yakobo5:14-15
5.Msamaha ni mlango wa baraka katika maisha yako
mwanzo 37:23-27
6.Msamaha ni mlango wa wokovu kwa watu wengine.
Luka 23:33-34
Rumi 12:14
Ko kumbe ukitizama vizuri tunasamehe kwa ajiri ya kutimiza kusudi lake Mungu wetu.
*Jifunze kusamehe ili utumiwe na Mungu na kusikilizwa haja zako.*
Ahsante naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
#build new eden
#Restoremenposition
8/21 NGUVU YA MSAMAHA.
Msamaha si tukio la kimwili bali ni tukio la kiroho .
Mungu mwenyewe ndo mwenye asili ya msamaha hivyo basi kukosa ndo tabia ya mwanadamu lakini kusamehe ni tabia ya mungu mwenyewe.
Efeso 4:32 BHN
*Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe mwenzake kama naye Mungu alivyowasamehe*
Moja y ishara inayo thibitisha upendo wetu kwa Mungu ni msamaha ,tunasamehe ili tumuone Mungu katika namna ya upendo wake .
Lawi 19:18
*Usifanye kisasi, wala kuwa na kinyongo juu ya wana wa watu wako; bali umpende jirani yako kama nafsi yako; Mimi ndimi BWANA.*
*Kumbe msamaha uashiria upendo na upendo ni Amri kuu ambayo Mungu alituachia ya kuwa yatupasa pendana*
*Atusamehe ili tumnufaishe aliye tukosea tunasamehe ili tumuone Mungu katika maisha yetu*
Kwanini tunasamehe.
1.kusamehe kuna kupa fursa ya kusamehewa makosa yako
Mathayo 6:12 *Na utusamehe makosa yetu kama sisi tulivyokwisha kuwa samehe waliotukosea*
2.kusamehe kunakupa fursa ya kusikilizwa maombi yako .
Isaya 59:1-2
Kumbe ili kusamehewa na Mungu wetu ni lazima wewe usamehe pia.
3.kusamehe kunaweza saidia kufungua mlango wa sadaka ili ipate kibali.
Mathayo 5:23-24
4.Msamaha ni mlango wa uponyaji wako .yakobo5:14-15
5.Msamaha ni mlango wa baraka katika maisha yako
mwanzo 37:23-27
6.Msamaha ni mlango wa wokovu kwa watu wengine.
Luka 23:33-34
Rumi 12:14
Ko kumbe ukitizama vizuri tunasamehe kwa ajiri ya kutimiza kusudi lake Mungu wetu.
*Jifunze kusamehe ili utumiwe na Mungu na kusikilizwa haja zako.*
Ahsante naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
#build new eden
#Restoremenposition
0 Commentaires
·0 Parts
·88 Vue